Baby Come Back.........

Baby Come Back.........

jamani kuna mtu anaitwa KIBEBII humu ndani.......!naomba anipigie simu

Kwa mama Sande leo msiniache.

Eti mikscha ya bia na maembe mabichi inaweza kuwa dawa ya hangover?
 
Kwa mama Sande leo msiniache.

Eti mikscha ya bia na maembe mabichi inaweza kuwa dawa ya hangover?
asee pale ni kwa ''BABA SUNDAY''....mama sundey alipewa kubwa bado anaisubiri ''BABY COME BACK'' ambayo kwa necha ya ile kinywaji ni sawa na kumsubiri jizas......!
 
asee pale ni kwa ''BABA SUNDAY''....mama sundey alipewa kubwa bado anaisubiri ''BABY COME BACK'' ambayo kwa necha ya ile kinywaji ni sawa na kumsubiri jizas......!

Hahahaa mama Sande anasubiri mama come back...lol

Grrrrrr mpaka kwenye maembe mabichi + Valeur!
 
Nilishawahi kuumia, nayajua maumivu ya mapenzi. Nikimuona mtu anaumia najua maumivu anayoyapata. Usiombee.

Nilishaumizwa kiasi kwamba nimekuwa sugu. Niko tayari kuumizwa na watu 10 nyakati tofauti kuliko niumizwe na mtu mmoja mara mbili.

Lakini babu jamani.........
kama umeshawahi kuumia hivyo,
na unajua vema maumivu yanakuwaje....
kwanini umuumize huyo mwenzio uliyenaye sasa???
as long as yeye hakuumizi....?
eti jamani........
 
Lakini babu jamani.........
kama umeshawahi kuumia hivyo,
na unajua vema maumivu yanakuwaje....
kwanini umuumize huyo mwenzio uliyenaye sasa???
as long as yeye hakuumizi....?
eti jamani........
Babu hurts no body!
 
Toka lini jogoo akafa kwa utitiei!!!:Cry:
 
Leo kwa Baba Sande hakukaliki na hii topic ya kufanya mrejesho.:smile-big::smile-big::smile-big:

Lakini Mrejesho muhimu wakuu wa infii
 
Leo kwa Baba Sande hakukaliki na hii topic ya kufanya mrejesho.:smile-big::smile-big::smile-big:

Lakini Mrejesho muhimu wakuu wa infii

Huu mrejesho labda uambatane na limbwata, azawaiz..........
 
Leo kwa Baba Sande hakukaliki na hii topic ya kufanya mrejesho.:smile-big::smile-big::smile-big:

Lakini Mrejesho muhimu wakuu wa infii
aisee nampigia simu Baba Sunday sasa hivi aweke lita kumi ya mbege aisee!
maanake leo patachimbika
 
aisee nampigia simu Baba Sunday sasa hivi aweke lita kumi ya mbege aisee!
maanake leo patachimbika

😛eace: baada je mrejesho ni muhimu kufanya baada ya kuachana? 😛eace:

:drum: hapo kama DJ Kimey akipiga drums kama baba Diana
 
tatizo wewe nikiagiza unaenda kunywa tandale siku hizi,umekuwa fidel80 weye?

:bounce::bounce::bounce:hahahahaha raha ya uswazi nyie hamjui tu huko balaaa kuna raha zake ambazo uzunguni hupati
 
tatizo wewe nikiagiza unaenda kunywa tandale siku hizi,umekuwa fidel80 weye?

We unaambatana na walevi, mi nawaogopa bana. DEUSI peke yake anaweza kumaliza dabe zima la mbege.
 
Aksante Baba Enock so should we say.............Baby Come back huwa ni kwa kina dada tu?..............mie nikimkosea kipenzi nisijihangaishe kumplease anirudie??

MwanaJamiiOne:

Whatever happened mpaka mkafikia kusema "sasa basi" will always haunt your soul and mind! Hakuna any sense of Love baada ya hapo.. Normally kinachotokea ni kwamba wote wawili baada ya "kuachana" huko mlikoelekea kumaliza upweke wenu mlikutana na "ghosts" as the result and probably coincidentally ndiyo "jitu" linakuja na kusema " oh you know this oh you know that..and a lot of blah's...!

Baby come back is a failure in itself.. Things will never be the same - No way!
 
Back
Top Bottom