Baby my ex hana pakuishi anaomba ajihifadhi hapa kwetu.

Baby my ex hana pakuishi anaomba ajihifadhi hapa kwetu.

Yeye na huyo ex watalala nje. Si kwenye nyumba yangu. Na mazoea yaishe hapo hapo.
Mpenzi wako anakuambia kua ex wake amemcall na kumwambia hana pa kuishi anaomba msaada wenu wa hifadhi kwa muda ajipange.

Je utamjibu nini??
(Jibu kama wewe ndie mume/mke uliyeletewa hilo jambo na umpendae)
 
Kitendo cha yeye kukuambia, ujuwe wana mawasiliano ya mda sana. Huenda pia kitumbua kinaliwa bila wewe kujua.

Well, kama ni case yako culture gal najua mnakuwa na wivu nyie balaa. BTW, I'd like to have two chicks at ago, it's been my fantasy [emoji12][emoji12]
 
Nitafanya test kichwani kwa mtu na kitu kinacho itwa, Tsar Bomba was the most powerful atomic bomb ever created.........
 
Mtoa malalamiko na msikilizaji wote haziwatoshi
 
Ex wa mwanamke kuomba kuja kukaa kwa mwanaume mwenzake inakuaga ngumu sana...

Ila ex wa mwanaume kuomba kuja kukaa kwa ex wake ni rahisi sana...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom