Baby my ex hana pakuishi anaomba ajihifadhi hapa kwetu.

Baby my ex hana pakuishi anaomba ajihifadhi hapa kwetu.

Kitendo cha yeye kukuambia, ujuwe wana mawasiliano ya mda sana. Huenda pia kitumbua kinaliwa bila wewe kujua.

Well, kama ni case yako culture gal najua mnakuwa na wivu nyie balaa. BTW, I'd like to have two chicks at ago, it's been my fantasy [emoji12][emoji12]

Hapo kwenye wivu hapooo ndio penyewee, aisee kwanza babymama hawezi hata kuleta maongezi ya ex wake maana ananijua nitakavyo react.

Two chicks, mbona inawezekana jichanganye tu maeneo na pesa yako lakini usije ukategemea uchukue mtu na rafiki yake utapigwa kisu.
 
Kwa ninavyoishi na mke wangu hawezi kuthubutu kuniambia hilo maana anajua nini kitafuata.

Kwa mantiki hiyo hii mada kwangu haina reflection yoyote
Mpenzi wako anakuambia kua ex wake amemcall na kumwambia hana pa kuishi anaomba msaada wenu wa hifadhi kwa muda ajipange.

Je utamjibu nini??
(Jibu kama wewe ndie mume/mke uliyeletewa hilo jambo na umpendae)
 
Mpenzi wako anakuambia kua ex wake amemcall na kumwambia hana pa kuishi anaomba msaada wenu wa hifadhi kwa muda ajipange.

Je utamjibu nini??
(Jibu kama wewe ndie mume/mke uliyeletewa hilo jambo na umpendae)
SIWEZI KUWA SHARE HOLDER AMA CO-PARTNER NA MTIBWA SUGAR NDANI YA SHAMBA LANGU LA MIWA😂😂😂😂😂
 
Matusi haya. Kwamba sikuchapi kisawasawa aje huyo x , wahispaniola Wana neno moja , FIN . Yaani End . Huo utakuwa mwisho .
 
Back
Top Bottom