Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
- Thread starter
-
- #81
Jamani kaomba msaada wa hifadhi sio wa kuchapana.Matusi haya. Kwamba sikuchapi kisawasawa aje huyo x , wahispaniola Wana neno moja , FIN . Yaani End . Huo utakuwa mwisho .
Hakuna kinachoshindikana chini ya jua babe.Kwanza haiwezekani mtu aseme hivyo
Hahaha umejiwahi mapemaaaaSIWEZI KUWA SHARE HOLDER AMA CO-PARTNER NA MTIBWA SUGAR NDANI YA SHAMBA LANGU LA MIWA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaaa.
That dude has balls made of steel.
Lol,Kwa jinsi wife anavyonijua hawezi kuniambia upuuzi kama uo sababu anajua anajua atakacho kipata
Safi sanaaa.haina shida with the saying keep your friends close but your enemy closer
Lol,Labda kama diabetes imeshika ukomo
Unamkunjia sana mpaka anakuona Hitler, sio poaaaa.Kwa ninavyoishi na mke wangu hawezi kuthubutu kuniambia hilo maana anajua nini kitafuata.
Kwa mantiki hiyo hii mada kwangu haina reflection yoyote
Umeanza lini Ubasha Baba Swalehe.Mi na kilo mia mbili ila vigezo vingine na kidhi
Safi sana,How dare u tell me ur x stuffs. Shubaamit. Ukome
nam nahitaji mtu wa kuwa nae kwenye relation
sifa zangu
male, mrefu sana.
uzito; 85 kgs
afya: nzuri
mawasilian: 0628548331
AiseeUmeanza lini Ubasha Baba Swalehe.
HahahaaaHahaha Mbalizi punguza ukauzu kwa mama mjengo.
wait niwazingue kidogo.Madame utatuandikia lini tena
Dah. Wewe mkaka upo?
Long time!