tatizo la wabongo wanaweka ushabiki usio na mantiki kwenye vitu vya kawaida sana cjui ni ulimbukeni mtu kama tajiri aonyeshe chanzo cha mapato yake kodi anayolipa na aingizwe kwenye list ya matajiri ajulikane kutumia nguvu kujionyesha unacho badala ulivo navo vionekane
kwa hiyo we kinakuuma nn? mange kujulikana tajiri au?
ata kugawa chupi za vitenge kwa watu ni utajiri tosha, sema ni mbongo gani aliyeko majuu anagawia funs wake vyupi bure?
tatizo la wabongo wanaweka ushabiki usio na mantiki kwenye vitu vya kawaida sana cjui ni ulimbukeni mtu kama tajiri aonyeshe chanzo cha mapato yake kodi anayolipa na aingizwe kwenye list ya matajiri ajulikane kutumia nguvu kujionyesha unacho badala ulivo navo vionekane
Sintah SI ALIOMBA KAZI QUALITY GROUP AKAPELEKA CV YAKE KWA MKONO WAKE MWENYEWE BILA KUSHURUTISHWA NA MTU YEYOTE INAELEZEA ELIMU, EXPERIENCE, KILA KITU, AKAWEKA NA VYETI VYAKE.?? Sasa ushabiki gani jamani wakati mwenyewe alijiandikia UKWELI wa elimu yake akadhibitisha na vyetinvyake? Mbona mwanichimba nimseme binti Manoge wakati hahusiki hapa! MASTERS HAIKUWEMO PALE! Yaliyokuwamo siri yangu! KUNA SNITCH MMOJA NDO AKAISAMBAZA NA MIMI SNITCH THE SECOND NIKAIPATA,!
Na hio list grafuates sio ya Mange ni ya WUDONG UNIVERSITYnunaweza tu ku google WODONG GRADUATES 20100 SIJUI 11 ile inakuja kiganjani kwako!
SINA USHABIKI WOWOTE!
Nashangaa mtu anashupalia utajiri na biashara utajiri hata ujaqualify kulipa VAT bado anajiita mfanya biashara mkubwa... Kweli ukosefu wa elimu anawachota wengi aisee
kwa hiyo we kinakuuma nn? mange kujulikana tajiri au?
we ndo kinakuuma sifa za kijinga huyo hawezi kuniumiza chochote mana na maisha yangu kinachonishangaza ni nyie kumtafutia ucelebrity kwa nguvu kwangu wa kawaida hv unajua tajiri au unaropoka i wonder change your mentality cwez kuumwizwa na yoyote njoo na evidence basi za kuonyesha utajiri wake i need strong evidence sio kubwabwaja hapa action speaks louder than words
Sasa kama ukweli umesema si utuwekee basi ushahidi wa hiyo cv alivyoenda kuombea kazi huko... Kwani CV ni siri? Snitch wa kweli alete evidence ya hiyo tuamini ila kumsema mwingine bila evidence ni kama kuwa bias na upande mmoja. Na inaonyesha ni ushabiki tu usio na tija.
Hahahaaaaa! KWA UMBEA WEWE! SIO SIRI ANGE UPLOAD ONLINE! KAIADRESS MAHALI FLANI SO NI CONFIDENCIAL REPORT!
Msitake ma SNITCH tupatwe na kash kash
Kitendo cha maada kuhusu mtu mwingne then watu wanaanza kumdiscus Mange na Mange mwenye hawafuati muingie katk blog yake,mnamfuata wenyewe af mnanza kukerwa na mashauzi yake,ye hatafut kiki ila nyie ndo mnampa kiki..naona thread kama mbili ivi ni za mtu mwngne lakini wenyewe mnamleta Mange kati hyo n evidence tosha kua kuna kitu kinawauma,kama hampend mambo yake mpotezeeni fanyeni yenu muachen na mashauzi yake..
Nimepitwaje mtaa huu lol
FACTS
1. MANGE KIMAMBI (MBA) INTERNATIONAL BANKER, MARRIEDTO INTERNATIONAL ARCHTECTRE WHO HANDLED MULTIPLE WORL PROJECTS IN DUBAI, WORKED WITH STANBIC BANK (PART OF STANDARD BANK) BARCLAYS DUBAI, DUBAI WORD BANK, ARRIED ONCE, MOTHER OF THREE, LIVES IN LA, DRIVES A PORSCHE CYNE, RICH IN LAWS WITH A POOL AND A BIG BACK YARD, DAUGHTER IN PRIVATE SCHOOL, BUSINESS WOMAN AND SOCIALITE
2.SHAMIM (FORM FOUR LEAVER) BLOGGER, DIVORCED AND MARRIED AGAIN TO A ....... DEALER, 1 DAUGHTER, PREVIOLY WORKED WITH DAR HOT WIRE ONLINE CHAT AS MODERATOR, BUSINESS WOMAN NOW WITH 2 SHOPS, LIVES IN MAGOMENI, DRIVES A RAV 4 METALIC.
HAPOCHACHAAAAAAAA! Si mmetaka facts! Hizo hapo! Sijawa Biased kabisaaa! Kila mtu nimempa haki yake! WALE WA FACTS NAOMBA MKUJE HAPA,!
Nimepitwaje mtaa huu lol
Hahaaaaaaa! Wametaka fact nimewapa FACT naona walikuwa hawazijui wanadandiaga treni mbele! AIBU YAO WENYEWEEEEEE,! Chezea ,MBA International banker!?
Tena umepitwa na mengi mpk nikashangaa sikuoni maeneo haya hahaaaa
Karibu mwaya, sisi wengine tumebaki kuwa observers.