Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Wamelishwa uongo na mange ....bibi yao ndo kasema ati huko cedar sjui ndo wanakojifungulia na kutibiwa mastar so si makosa yake ni ushamba wa kutojua mamboAnataka aonekane data bank
manina Lara limbukeni tu
Ofcourse , nasikia CEO wako hana hata hamu ya kuja daslam
Mi nomaaaaaaa! Nimepita mtoano na watu kibao! JESHI LA MTU MMOJA! Watu wanaibuka na ujumvi mwingiii wakipigwa swali wanayoyoma kimya kimya! Bado napasha nipo gado!
Hakuna aliyesema hutapata mama don't deviate the QN
Besides probably the guy who did the coding(programing point of view(wrote codes))for jamii forum#maxen has no masters lakini wewe mm na manshunshuda wenzio wote tupo mpaka mida hii tunatumia hii framework lakini hujawah sikia akiongelea masters
Kubabake hakufanya baby shoewer ili mumpe FAKE ZONE UCHAFU UCHAFU WENU! Thubutuuuuuu! Amefanya matusi shamim anapanga folleni miaka 8000000!
Kuzalia SINAI CEDARS MCHEZO. ? Walipozalia Kim K, Queen Bey et al!ntena deluxe room! Maza fantaaaaaa! Akavuta na stroller ya $1500 watu KIMYAAAAAAAAA,!
Mama mzungu japo anajikamua ila za uso anatoa vibaya mno!
Wanajijua walionza hii mada umeikuta ukingoni!Nani kayoyoma?
"Sifa za kijinga"
Hahahahaaaa! ILE COMMENT YA JUU ULICOMENTIWA NINI? Hahahaa! Sio kila mtu anapenda sifa zako jamani! Hahaaaaa!
Hahaaaaaaaaaaa! Sizitaki hizi mbichi!Ushaambiwa wangu sio limbukeni mama una taka Wa nn au una taka kwenye hcho ki -uturn chenu?
The question is DOES WHAT YOU THINK MATTER TO ME.??? The ANSWER IS NAAAAAAAAAAAAH! Not a second!U shed learn to think outside the box
Do u real think I complemented u?
Do read btn the lines next time
Hahaaaaaa! Mi yile namjua hadi kwao Morogoro labda alikohamia nitapajua tu kwa mda wangu!
Make yourself clear and choose a side! Karibu kwenye baby shower!hospital aliyojifungulia ndio kweli ma celebrity wengi wamejifungulia hapo lakini kwa delux room ni uzushi mtupu kajifungulia kwenye room ya kawaida tu Bidada anapenda sana kujishaua, nasi watz ni wavivu wa kugoogle. Kwa uhakika zaidi google hapa: Give birth like a star: Inside A-list maternity suites
Uone tofauti ya chumba chake na vyumba vya wenyenazo.
hospital aliyojifungulia ndio kweli ma celebrity wengi wamejifungulia hapo lakini kwa delux room ni uzushi mtupu kajifungulia kwenye room ya kawaida tu Bidada anapenda sana kujishaua, nasi watz ni wavivu wa kugoogle. Kwa uhakika zaidi google hapa: Give birth like a star: Inside A-list maternity suites
Uone tofauti ya chumba chake na vyumba vya wenyenazo.
Nyani kashuka nondo hapa pakawa kimyaaaa... yani hata mtu akikaa anakula chips mahali akaweka pic kwa blog basi watasifia weeee, kasema amejifungua cedar na kuongezea akasema ndiko akina kim wanakotibiwa basi hawa waliojulia ndege fast jet wakashika bango tajir tajir, stroler la dola 1500 nalo likatangazwa eti la fashenista wa ukweli na wabeba bendera km kawa wakavalia njuga bila upembuzi. Mengine wanatia aibu jinsi upeo wao ulivyo wa kisoda
HAHAHAAAAAAA,! NAONA WATU WOTE WANAJIFICHA KWA BABU YAO.! Cant you all people here STAND FOR YOURSELVES? Hahaaaaa! Anaehitaji jibu ANICOTE DIRECT NAANGALIA MUVI YA KIKOREA HUKU!
Bundle ni UNLIMITED! Niko gado!
Hahaaaaaaa! Leta ubishi bwana niweke heshima jf! Namna hiinunaua band! IM THE BAD GUY HERE IN JF REMEMBER,!Mi naangalia movie ya kijapan huku kwenye deki ya Hitachi
Bundle ni UNLIMITED! Niko gado!
Hahahaaaaaaaaa! You wish? Mwenzio Dina si alikuwa ananiponda bundle nazipata kwa jasho hizi na POLE alinipa?Eeeh bundle za.mange hzo?
Anakulisha mpaka kukuvalisha na bundle juu kweli umaarufu gharama
Wamelishwa uongo na mange ....bibi yao ndo kasema ati huko cedar sjui ndo wanakojifungulia na kutibiwa mastar so si makosa yake ni ushamba wa kutojua mambo