Lis
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 471
- 347
Mbona nasikia Shamim anaishi mbezi beach n anadrive prado!?!!!!!......
muamini lara 1 anaishi nae jirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nasikia Shamim anaishi mbezi beach n anadrive prado!?!!!!!......
na kule chanika anaendaga kusali?? Km kuroga yy ndo mrogaji mkubwa. Bibi wewe usitujazie nzi hana cha kuonesha zaidi ya stroller. Mashauzi meeeeengi vifaa haba mkaage kimya tu. Tuendeleze libeneke kesho mie nalaza mbavu zangu.
Hahaaaaaaa! Wametaka fact nimewapa FACT naona walikuwa hawazijui wanadandiaga treni mbele! AIBU YAO WENYEWEEEEEE,! Chezea ,MBA International banker!?hujui kama chanika ana mashamba yake? ulikua nae alipoenda kuroga? we nenda c utatukuta tumejaa tele.
hahaaaaa! Nyumba ya nini wewe huku machakani.??? Mwenzio alisema wamenunu nyumba la wanarenovate, ! Machakani inabidi mjenge nyie mnaoishi nchi za watu kama digi digi hamna karatasi wala nini mnasubiri ile za mwizi 40! Ila mwenzenu uraia uhakika, ! Wanae wana uhakika wa the american dream,! Bibi yao ana uwezo si ajabu wakaachiwa trust fund, ! Tutahama mjini humu! Watarithi nyumba ya babu jst a matter of time! Ndo aje kujisumbua saka nyoka huku? Atakuwa mwehu!
Millen lazima ashushe, hana future marekani na american dream anaisoma ru humu, ! Wote na odemba aliebahatika zungu choka mbaya. Mwammy ndo ana property/real estate mikocheni worth 3b yes i said b for billion acha hao unaowataja vijumba tu.
Mzungu yule pale kwao, ana privillages kibao, ata akiwa mfagia bustani benefit kibao, sio nyie mnaenda ulaya adu mnazaa na wapopo au negro basi inakuwa purukushani. Mashaui kama yale michosho tu. Klyn usiyaongelee coz sitaki shari mie.
wapiiii kimambi ivi alifanyaga baby shower.
Sasa hapa na mie mmeniambukiza umbeya...... Haya dada wa US ndo ndani tena? Mwe... Mtaa huu mgumu kuishi.
Ile master ya kuandika makombe kule dubai ambayo hata uhousegirl haimpatii au kuna nyingine? Lara ujue nakuaminia kwa fact za nguvu usiniangushe ohooo
FACTS
1. MANGE KIMAMBI (MBA) INTERNATIONAL BANKER, MARRIEDTO INTERNATIONAL ARCHTECTRE WHO HANDLED MULTIPLE WORL PROJECTS IN DUBAI, WORKED WITH STANBIC BANK (PART OF STANDARD BANK) BARCLAYS DUBAI, DUBAI WORD BANK, ARRIED ONCE, MOTHER OF THREE, LIVES IN LA, DRIVES A PORSCHE CYNE, RICH IN LAWS WITH A POOL AND A BIG BACK YARD, DAUGHTER IN PRIVATE SCHOOL, BUSINESS WOMAN AND SOCIALITE
2.SHAMIM (FORM FOUR LEAVER) BLOGGER, DIVORCED AND MARRIED AGAIN TO A ....... DEALER, 1 DAUGHTER, PREVIOLY WORKED WITH DAR HOT WIRE ONLINE CHAT AS MODERATOR, BUSINESS WOMAN NOW WITH 2 SHOPS, LIVES IN MAGOMENI, DRIVES A RAV 4 METALIC.
HAPOCHACHAAAAAAAA! Si mmetaka facts! Hizo hapo! Sijawa Biased kabisaaa! Kila mtu nimempa haki yake! WALE WA FACTS NAOMBA MKUJE HAPA,!
Yaani katisha mbayaa.... kafunika
Ivi mange anachukuaga namba za watu tigo na Airtel anaanza kuwapigia au kuwatumia message za mashauzi.siwanaenda kwenye blog yake....sasa nashindwa kuelewa kelele za nini.Sio blog ya serikali ile ni yakeeeeee.heeKubabake hakufanya baby shoewer ili mumpe FAKE ZONE UCHAFU UCHAFU WENU! Thubutuuuuuu! Amefanya matusi shamim anapanga folleni miaka 8000000!
Kuzalia SINAI CEDARS MCHEZO. ? Walipozalia Kim K, Queen Bey et al!ntena deluxe room! Maza fantaaaaaa! Akavuta na stroller ya $1500 watu KIMYAAAAAAAAA,!
Mama mzungu japo anajikamua ila za uso anatoa vibaya mno!
Ivi mange anachukuaga namba za watu tigo na Airtel anaanza kuwapigia au kuwatumia message za mashauzi.siwanaenda kwenye blog yake....sasa nashindwa kuelewa kelele za nini.Sio blog ya serikali ile ni yakeeeeee.hee
Hamjasema mna hela nyie SI NYIE NDO TIMU HAMCHOVI.??? NO FAKE ZONE,! Mnavaa tanzanite, saphire na ehuby?. We treni umeidandia kwa mbele hujajua chanzo kizima! Google TEAM HATUCHOVYI,!
Lazima tupige kelele WATU STROLLER MADE IN CHINA KILA SIKU MNAEUSHA INSTA,! Afu mnajifanya ya mwenzenu aliojikamua mwanae apate luxury sio ishu sanaaa! Nyooookolosti! BIMA MNAYOOOOO.? Au mnaongea tu mradi kuosha vinywa! Karatasi zenyewe za kuunga unga huko kwa watu itakuwa bima?
Mr. SEMBE KAJALA ANAMCHUNA SANAA JAMANI HE IS A DISGRACE TO SEMBE DEALERS,! Ndo nini kile? HAO LIMEWASHIKA SHUUUUU,!
muamini lara 1 anaishi nae jirani
mange ndo kiboko ya wadada wa mujini, mkubali mkatae habari ndo hiyo.
Ndo unachojua.mgao wa nguo.stop hating wewe.hajakuita kwenye blog yake.Fanya yakoMgao wa nguo unakujaaa jiandaeee