Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Congratulation
Unaelekea stage ya ukahaba
Unaelekea stage ya ukahaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wangu autunze nani?. Kama hujaolewa huna haki yakudai matunzo, mwambie baba yako mzazi akutunze.Mbona unautaka na huutunzi?
Mke tunatunza vizuri tu, lakini nyie mnotaka kutunzwa kwenye mahusiano yasiyo rasmi ndio tunawaita mbwa na omba omba.Tulia Sasa mtunziwe na wanaojua wajibu kwa wakeze
Unauza nini haswa hadi uumie Me kutokukuhudumia?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Mimi sio mzazi wako wala mumeoUsikwepe majukumu yako kwa visingizio
Babu! Mwanamke akikupenda atataka utimize malengo yako kwanza badala ya kutumia hela kwenye mambo yasiyo ya msingi kwakeKwani mrembo iwapo your Man has paid 50% na you paid the remaining 50% Kuna tatizo akikusifia.
Wakati mwingine shukuruni hata Kwa hiko kidogo ambacho mnapewa, mkikutana na Timu ya "Kuna hela naisikilizia" hupewi hata mia mbovu 😜🙌
Kuweni na Moyo wa shukrani Kwa Wanaume wanaojitoa kwaajili yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii wiki wanaume wa humu wanapitiwa na vimbunga hadi sio poa.....
Ngoja watoke church make wengi ni waimba kwaya.
Wajibu wa mwanaume siyo kukwepa majukumu,mpendezeshe msifie
Nakusifia ili nile hilo tunda kimasiharaSifa za nini sasa?
Mwanaume nae ni ua muda wowote linhitaji jua ili lizidi kunyauka sio?. Jihudumie mwenyewe, wewe sio omba omba au mlemavu mpaka basic need ushindwe kujihudumia. Acha kuishi kutegemea ufanyiwe vitu na mwingingine ambae sio mumeo au baba yako.Mwanamke ni ua muda wote linahitaji maji ili lizidi kuchanua
Maisha yatambadilisha,My life goals, nitamfundisha dear daughter kuwa yeye sio kundi maalum. Ni binadamu kamili ambaye hatakiwi kuwa tegemezi kwa basic needs kama mlo na muonekano. Kiufupi mwanaume ni patner na sio solution ya matatizo madogo kama hayo
Na huu sio msimamo wangu ila ni maisha waliyoishi bibi, shangazi na mama zangu. Kwa hiyo asitafute laana yao