Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Hata serikalin wapo walimu zuri sana,Laki kwa mwezi, masaa mawili halafu mwalimu kichwa? Labda walimu wa serikalini, au wasome kama kundi (si one-on-one) plus, mwalimu awe average.
Walimu wazuri wako busy sana.
Walimu wa primary private schools wanchaji 10,000+ kwa risali.
Asante sana mkuuMafundi nyumba pia nao wasinge pata kazi za ujenzi kutoka kwake, lakini bank pia zimepata kuaminiwa na jamaa kaweka 8m bank, dukani wameuza pia TV na mafundi cherehani nao wameshona uniforms za watoto wake; mwamba kazungusha pesa kwa wengine as well
Kabisa mkuuHata serikalin wapo walimu zuri sana,
Baba zao si tumesoma shule hizo za Kiswahili? Wasomi wote unao waona sasa hvi ni products za saint Kayumba, hizo shule za saints watakatifu zimeanza katikati ya miaka ya 90, kwenye system hawapo wengi kiviile so what do u mean kwamba sijui Kingereza?Unless hiyo kayumba unayosomesha wanao iwe ni english medium, uaamuzi wako utakuja kukugharimu mbele ya safari, kiswahili kama lugha ya kufundishia kinadumaza sana uelewa wa watoto wetu maana vitu bingi vinavyofungua upeo vipo katika lugha ya kiingereza.
Nakuunga mkono,mimi hizi shule zilichangia pa kubwa sana kunichomea pesa zangu,bahati nzuri wa mwisho alifaulu form 4 akachaguliwa special school nikampeleka huko,mwaka kesho anamaliza form 6,no ada na anafanya vizuri sana...Nilifuata ushauri wa Likud Nina watoa watoto wangu shule ya English Mediums.
Niliwatoa mwaka jana katikati. So mwaka huu mzima watoto wangu wamesoma Kayumba.
1. Kwa mwaka huu mzima pamoja na kumalizia kibanda changu na kununua kiwanja kingine,nimeweza kuhifadhi shilingi milioni 8 na uchafu.
2. Hili limewezekana kwa sababu nimewatoa watoto wangu shule ya English Medium.
Nilikuwa nasomesha watoto wa3. Mtoto mmoja kwa mwaka ada tu ni milioni mbili, bado hajaweka usafiri na vikorokocho vingine tuseme ukihesabu na hivyo inakuwa milioni 3 na ushee.
So kwa watoto watatu maana yake ningekuwa nimetoa milioni kumi halafu pia nisingekuwa na akiba yani sasa hivi ningekuwa naumiza kichwa ntapata wapi hela za kuwalia wanangu.
But :
1. Nimehamia kwangu. Watoto wangu wanaishi nyumbani kwababa yao. Nisinge wahamisha hadi muda huu ningekuwa sijajenga wala nisinge kuwa na kiwanja cha ziada wala hiyo milioni nane.
2. Nina kimilioni nane changu ambacho kufikia mwakani mwezi wa kumi na.mbili kwa mipango niliyo iweka itakuwa imezalisha mara kumi yake.
3. Watoto wangu wanasoma shule kifalme. Wanaenda kwa miguu umbali wa kama dakika kumi. Wanakula vizuri, wanalala pazuri, wanavaa vizuri, shuleni wana sare pea tano tano viatu pea tano tano mabegi pea 3 tatu kila mmoja.
Nawasimamia vizuri.
Wanafanya vizuri darasani.
Nimewawekea programme za kitaaluma : home tuition; English, Hesabu na Sayansi plus programme za kitaaluma kupitia kwenye Tv ya nchi 40+ ambayo pengine nisinge weza kuinunua kama wangesoma shule ya Em coz hela yote ingeishia kwenye ada.
Asante sana Likud.
Watanzania wenzangu wenye kipato cha kawaida fikirieni mara mbili. Wacheni kujistress na ada kwenye shule za EM wakati uwezo wenu ni wa kuunga unga.
Kusomea EM at least uwe na networth ya kuanzia walau milioni 150 plus.
Hawa wasomi wa phd wanaosema waliokotwa. Jaalalani? Umeshawahi kuona integrity level ya mtu wa phd huko first class world?Baba zao si tumesoma shule hizo za Kiswahili? Wasomi wote unao waona sasa hvi no products za saint Kayumba, hizo shule za saints watakatifu zimeanza katikati ya miaka ya 90, kwenye system hawapo wengi kiviile so what do u mean kwamba sijui Kingereza?
Alafu cha maana hakuna zaidi ya mtoto kuzungumza lugha ya watu,Hizi shule za kina Junior ukicheza nazo zinakufirisi kimya kimya.
Unakuwa unazitafutia ada tu. Mambo mengine ya muhimu yanasimama
Labda EM zipi mkuu?English Mediums hizi hizi?
Waalimu wenyewe hawana exposure
ni hivi hao watoto wanaosoma kayumba sio kama huwa hawafaulu, no. wanafaulu vizuri tu ila nadhani kuna namna inafanyika.Hiyo ni propaganda tu mkuu wala usiogope
KayngaySayngay
Cheki avatar yangu , imetulia Unyamer sanaKayngay
Wewe dawa yako iko jikoni. Subiri tu I will fix you upCheki avatar yangu , imetulia Unyamer sana
Hahahahaha!! Don't ever threaten me againWewe dawa yako iko jikoni. Subiri tu I will fix you up
Kama nakuelewa vizuri ni kwamba, in recently years tutaanza kubuni vitu vyetu cause saint saints zime produce products za kutosha na zipo mtaani by now, right? Tutaanza kua na magari yetu nk.Hawa wasomi wa phd wanaosema waliokotwa. Jaalalani? Umeshawahi kuona integrity level ya mtu wa phd huko first class world?
Saint Kayumba zinazalisha wasomu wa kukariri ndo maana hata sindano hatuvumbui.
Haipo hivyo japo umeongea kwa kejeli.Kama nakuelewa vizuri ni kwamba, in recently years tutaanza kubuni vitu vyetu cause saint saints zime produce products za kutosha na zipo mtaani by now, right? Tutaanza kua na magari yetu nk.
Hongera na pole sana mkuuNakuunga mkono,mimi hizi shule zilichangia pa kubwa sana kunichomea pesa zangu,bahati nzuri wa mwisho alifaulu form 4 akachaguliwa special school nikampeleka huko,mwaka kesho anamaliza form 6,no ada na anafanya vizuri sana...
Elimu bora ni nini?Umewanyima watoto haki ya kupata elimu bora kisa kusave milioni 8?? For what?