African super league nayo huko mbeleni itaenda kupoteza mvuto kutokana na vilabu visivyokuwa na hadhi navyo vitapata fursa ya kushirikiAfrican super league
Kuongezeka Kwa kibunda kwenye AFCON
Mnaenda kucheza mpira mkitegemea bahati? you are soo loserChallenge ilionekana , hakukuwa na timu iliyokuwa inajitafuta kushuka daraja.
Bahati haikuamua matokeo, bahati haikuamua kwenye plots.
Nyinyi mlipopangwa na Rivers mkapiga vigelegele. Juzi mlipopangwa na Al Ahly hatukusikia vigelegele zaidi ya kuona mmekuwa wakimya kama wakiwa
Kwani Simba si itashiriki African Football League? Au safari hii ni zamu ya walio chini ya Simba?•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??
Yanga ndiye aliyeleta mvuto mkubwa pale mkuuKipindi hicho mashindano hayo yalikuwa na mvuto sana, lakini baada ya kuingia Yanga na Marumo yakawa ni kama mashindano ya kutafuta Miss Tanzania
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mvuto anakuaga nao mwanamkeKipindi hicho mashindano hayo yalikuwa na mvuto sana, lakini baada ya kuingia Yanga na Marumo yakawa ni kama mashindano ya kutafuta Miss Tanzania
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Bahati ndio iliyowafanya mfike fainali sio uwezo.Mnaenda kucheza mpira mkitegemea bahati? you are soo loser
Sasa Simba SC imeingiaje hapo??•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Sio mtoa post mwenye chuki na Simba Sc?Una chuki na Yanga kupita maelezo, kwani hao Yanga na Marumo walifika level za juu kwa shortcut au kufunga timu zingine? Anaenda mbele kwa kuifunga timu zingine inamaana uwezo wake ni mkubwa. Pyramid alitolewa, Berkane alitolewa, Tp Mazembe alitolewa ni kwasababu waliowatoa mashindanoni kawa bora dhidi ya hao. Achana na mpira wa kukariri majina tu makubwa ya timu.
Mkuu ulipotea ghafla kutoa updates za Singida vs Simba. Nini kilikusibu? Nikahisi umeungana na Okra hospitaliHakikaaa mkuu
Anaugua kiseyeye huyo utopwise.Unaisemea Simba zaidi ya Uto!
Itakuchukua miaka 5 kurudi kwenye akili yako timamu Rivers tulikutana nae makundi? alf hao Al Ahly unao wapa hype mechi ili isha aje?Bahati ndio iliyowafanya mfike fainali sio uwezo.
Kwanini mlishangilia mlipoona mmepangwa na Rivers
Na kwanini hamkushangilia Club bingwa mlipopangwa na Al Hilal na Al Ahly?
Nani kasema makundi?Itakuchukua miaka 5 kurudi kwenye akili yako timamu Rivers tulikutana nae makundi? alf hao Al Ahly unao wapa hype mechi ili isha aj
Wameshasahau. Ukimpeleka mshamba mjini jihadhari.Unajua nafasi nne zinatoa wawikilishi kwenye michuano ya kimataifa zimetokana na ushiriki wa simba na point zake.
Usipochukua ubingwa, unatakiwa uwe nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ndio upate tiketi ya kushiriki klabu bingwa. Kinyume na hapo hauchezi klabu bingwaSimba hata wasipochukua ubingwa mwakani watakuwepo tena kwenye CAF Champions League kama ulikuwa hujui. Mwakani zitaenda timu nne
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Yaah mkuu... kikubwa Simba wasiende kutuabisha Kwa kuchoma moto viwanja huko super leagueAfrican super league nayo huko mbeleni itaenda kupoteza mvuto kutokana na vilabu visivyokuwa na hadhi navyo vitapata fursa ya kushiriki
Na ndio maana CAF walisema hakutakuwa na uwekezaji mkubwa kama uliofanywa kwenye mashindano yaliyopita.
Its like everything you touch is get ruined or cursed
Sasa kama nyie Mabingwa wa Africa tumewapiga 5G ulitegemea nini kwa Rivers United?Nani kasema makundi?
Rivers mlipangwa nao kwenye robo fainali ndio waliokuja na tiketi yenu ya nusu fainali. Hawa ndio waliotuletea kelele mjini
Al Ahly mlitoa nao sare na hata Al Hilal nao matokeo yalikuwa hivi hivi.