Bad news: CAF kufuta kombe la shirikisho je, Simba tumejiandaaje?

Bad news: CAF kufuta kombe la shirikisho je, Simba tumejiandaaje?

African super league

Kuongezeka Kwa kibunda kwenye AFCON
African super league nayo huko mbeleni itaenda kupoteza mvuto kutokana na vilabu visivyokuwa na hadhi navyo vitapata fursa ya kushiriki

Na ndio maana CAF walisema hakutakuwa na uwekezaji mkubwa kama uliofanywa kwenye mashindano yaliyopita.

Its like everything you touch is get ruined or cursed
 
Challenge ilionekana , hakukuwa na timu iliyokuwa inajitafuta kushuka daraja.

Bahati haikuamua matokeo, bahati haikuamua kwenye plots.

Nyinyi mlipopangwa na Rivers mkapiga vigelegele. Juzi mlipopangwa na Al Ahly hatukusikia vigelegele zaidi ya kuona mmekuwa wakimya kama wakiwa
Mnaenda kucheza mpira mkitegemea bahati? you are soo loser
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??
Kwani Simba si itashiriki African Football League? Au safari hii ni zamu ya walio chini ya Simba?
 
Kipindi hicho mashindano hayo yalikuwa na mvuto sana, lakini baada ya kuingia Yanga na Marumo yakawa ni kama mashindano ya kutafuta Miss Tanzania

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Yanga ndiye aliyeleta mvuto mkubwa pale mkuu

That's y kina mayele wapo timu kubwa
Prof Nabi saizi anampiga wydad nje ndani
 
Mnaenda kucheza mpira mkitegemea bahati? you are soo loser
Bahati ndio iliyowafanya mfike fainali sio uwezo.

Kwanini mlishangilia mlipoona mmepangwa na Rivers

Na kwanini hamkushangilia Club bingwa mlipopangwa na Al Hilal na Al Ahly?
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Sasa Simba SC imeingiaje hapo??
 
Una chuki na Yanga kupita maelezo, kwani hao Yanga na Marumo walifika level za juu kwa shortcut au kufunga timu zingine? Anaenda mbele kwa kuifunga timu zingine inamaana uwezo wake ni mkubwa. Pyramid alitolewa, Berkane alitolewa, Tp Mazembe alitolewa ni kwasababu waliowatoa mashindanoni kawa bora dhidi ya hao. Achana na mpira wa kukariri majina tu makubwa ya timu.
Sio mtoa post mwenye chuki na Simba Sc?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Bahati ndio iliyowafanya mfike fainali sio uwezo.

Kwanini mlishangilia mlipoona mmepangwa na Rivers

Na kwanini hamkushangilia Club bingwa mlipopangwa na Al Hilal na Al Ahly?
Itakuchukua miaka 5 kurudi kwenye akili yako timamu Rivers tulikutana nae makundi? alf hao Al Ahly unao wapa hype mechi ili isha aje?
NB nyie hamna bahati ndio maana mnaishia robo kila siku?
 
Itakuchukua miaka 5 kurudi kwenye akili yako timamu Rivers tulikutana nae makundi? alf hao Al Ahly unao wapa hype mechi ili isha aj
Nani kasema makundi?

Rivers mlipangwa nao kwenye robo fainali ndio waliokuja na tiketi yenu ya nusu fainali. Hawa ndio waliotuletea kelele mjini

Al Ahly mlitoa nao sare na hata Al Hilal nao matokeo yalikuwa hivi hivi.
 
Simba hata wasipochukua ubingwa mwakani watakuwepo tena kwenye CAF Champions League kama ulikuwa hujui. Mwakani zitaenda timu nne

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Usipochukua ubingwa, unatakiwa uwe nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ndio upate tiketi ya kushiriki klabu bingwa. Kinyume na hapo hauchezi klabu bingwa
 
CAF jinga sana badala ya kuboresha mashindano kwa kuongeza hata michuano mingine midogo ili pia team ndogo ambazo hazipati nafasi club bingwa zicheze Kama ilivokua kwa UEFA conference league Bado wanapunguzu hiyo michache iliyokuepo.
 
African super league nayo huko mbeleni itaenda kupoteza mvuto kutokana na vilabu visivyokuwa na hadhi navyo vitapata fursa ya kushiriki

Na ndio maana CAF walisema hakutakuwa na uwekezaji mkubwa kama uliofanywa kwenye mashindano yaliyopita.

Its like everything you touch is get ruined or cursed
Yaah mkuu... kikubwa Simba wasiende kutuabisha Kwa kuchoma moto viwanja huko super league
 
Nani kasema makundi?

Rivers mlipangwa nao kwenye robo fainali ndio waliokuja na tiketi yenu ya nusu fainali. Hawa ndio waliotuletea kelele mjini

Al Ahly mlitoa nao sare na hata Al Hilal nao matokeo yalikuwa hivi hivi.
Sasa kama nyie Mabingwa wa Africa tumewapiga 5G ulitegemea nini kwa Rivers United?
 
Mkuu ulipotea ghafla kutoa updates za Singida vs Simba. Nini kilikusibu? Nikahisi umeungana na Okra hospitali
Mama Ako mdogo alinihitaji nimpe haki yake ya ndoa mkuu
 
Back
Top Bottom