Badala ya kuwa Chama cha siasa wamegeuzwa "pressure group"..na wanafurahia...

Badala ya kuwa Chama cha siasa wamegeuzwa "pressure group"..na wanafurahia...

Tofauti ya chama cha siasa na "pressure group"...Chama cha siasa huwa hakitumiii nguvu kubwa sana "kushinikiza serikali isikosee".

Chama cha siasa husubiri serikali ikosee na kuvuna Kura iwapo serikali itakosea Kwa kutangaza policies tofauti na serikali iliyopo ...vile vile chama cha siasa huwa na Sera na mijadala ya masuala mbalimbali.

Huwa hawashupai na jambo moja kama Alfa na omega...hatari ya kushupaa na jambo moja ni kuwa likiisha..mtakuwa hamna Jambo lingine....unless litokee...lakini pressure group wao hukomaa na jambo Lao ...likiisha hao wanasambaratika.

Kingine chama cha siasa huwa Wanafanya lobbying na Ku compromise kwaajili ya chama...siasa nyingi hufanywa "background"...majukwaani huwa ni "image branding"...huwezi kukuta wanasiasa serious "wanafoka"majukwaani.....lakini pressure groups huwa na wanaharakati ambao kazi Yao ni "kutema moto" kwenye media na majukwa na kufanya "public stunts"…

Chama cha siasa huwa Viongozi wake huongea machache katika mengi wanayo yajua...wakati pressure groups hutumia kila information wanayoipata kusambaza propaganda ili mradi kuongeza shinikizo kupata wanacho kitaka...

Pressure groups Wana sifa kubwa ya kukubali kutumika na wasiasa ili na wao ajenda zao pia zipite...wakati chama cha siasa wao hutumia pressure groups kupata kueneza Sera zao....sio kutumika na wanasiasa WA chama kingine kusambaza propaganda za hao wanasiasa ukiamini labda mgawanyiko utasaidia....

Pressure groups huwa Wana ongozazwa na mentality za "do or die" "kama hawataki basi"..refer ..Bunge la katiba.

Wakati chama cha siasa hutafuta namna ya kupata Jambo moja muhimu litakalo leta mengine...
Mfano badala ya kukomaa na serikali tatu...why wasinge komaa na tume ya uchaguzi?..sababu tume ya uchaguzi inaweza rahisisha kabisa zoezi la kuamua Aina gani ya Muungano tunataka au hatutaki.

Chama cha siasa Mwenyekiti wake hawezi sema "usalama wameniambia niongelee Bandari"..
Wakati hao usalama hawakuwahi mwambia Makamu wake alipigwa risasi na kina nani?msaidizi wake alizikwa wapi? Walikuwa wapi wakati anafilisiwa na kuwekwa mahabusu kila mara?...unless offcourse.. Mwenyekiti kakubali sasa kutumika kama "pressure group"..Kwa agenda yeyote Ile watakayo mpa.

Pressure groups huwa pia zinaongezewa watu ...na kunyang"anywa watu....Dr Slaa,Lipumba na wengine...huweza kuwekwa na kuchukuliwa kupewa maagizo mengine wakati wowote ule ..watumike kama pressure group activists.

Pressure groups huwa na sifa ingine pia ya kupenda kuchangisha wananchi na kuwa wakali wakiulizwa lolote kuhusu hiyo michango.

Pressure groups huwa ina wananchama wakali wenye jazba..kama sio matusi ukibishana nao kidogo tu...wakati chama cha siasa huwa na watu werevu wenye ushawishi..ambao hutumia hoja kushawishi na hutumia hoja kuonesha kwanini lazima tubadili chama.

Pressure groups hutumia ujinga WA wananchi kuwajaza hofu ili Tu kupata sapoti ...mfano wa zile pressure groups za climate change...zinavyo Tia watu hofu.

Labda wenzetu waanze kujiuliza ...wao ni chama cha siasa au ni pressure group? Kama Samia anakosea si mumuache akosee ili mje mvune kura? Mkimzuia akosee halafu mnapata nini? Kuwa mmepiga Kelele akawasikia?hayo ndo mafanikio? Kuwa kazi yenu ni kukosoa serikali ijirekebishe? Na nyinyi mmekubali hiyo title? Title wanayopewa "pressure groups"?

Sifa kubwa ya pressure group ni kutumika na kuachwa agenda ya wanaowatumia ikipita... tusubiri tuone....
Kama kungekuwa na chaguzi halali huenda hii hoja yako ingekuwa na maana zaidi ya hii nongwa uliyooandika hapa. Sasa maelezo mengi, ikifika wakati wa uchaguzi watu wapime matakwa ya wananchi linatokea kundi linajiita system linaamua nani awe kiongozi na sio wananchi! Inshort umeamua kuanika hasira yako hadharani badala ya uchambuzi kama ulivyotaka ionekane. Unataka kuonyesha kama kuna chama cha siasa fulani kinachojitambua, lakini uhalisia unakataa.
 
Huna lolote ww jamaa
Ndugu yako Mwabukusi njaa inamsumbua. Madeni ya huko mahakamani yamemjaa mpaka shingoni.

Aligombea ubunge akashindwa na Mwakibete, kesi zake zote zinamtokea puani.

Deni la shilingi milioni 80 lipo pale pale linamsubiri. Leo anafungua kesi yeye mwenyewe halafu anataka tumchangie!.

Haraka haraka video mnaiweka mitandaoni ili wakubwa huko Marekani na Ulaya waweze kumpatia pesa za uanaharakati.

Kazi mnayo kwani serikali inawaangalia tu, inajua itawabania sehemu gani.
 
Mkuu The Boss , nimeipenda hii ya chama na pressure group!. Niliwahi kuzungumza kitu kama hiki kuhusu chama cha siasa kinachojiandaa kushika nchi na vyama vya kiharakati.

Chadema has never been serious with anything!. Hili tuliwaambia humu CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! hii ilikuwa kwa ajili ya 2015, hawakujipanga!.

Kuelekea uchaguzi wa 2020 tukauliza humu Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition? na tukija kwenye specific issues ndio kabisa! Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza? hivyo hata sasa kuelekea 2025, hakuna kitu ni vile vile!.

Kwenye hili la pressure group wasamehe bure kwasababu Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
P
Mzee huwa una uandishi wa bendera fuata upepo, wala huna lolote jipya. Umekaa kwenye uandishi wa habari toka uko kijana, na sasa uzee umekukutia humo humo. Waandishi mmekuwa mkipambana na sheria mbaya za vyombo vya habari, lakini hadi leo hakuna mabadiliko ya maana na sheria zinazidi kuwa mbovu. Kama uko serious na una mbinu sana, kipi kimekushinda ww na waandishi wenzako wa habari kubadili hizo sheria mbovu, ili tuseme ww au nyie kuna cha kuwaiga?
 
Tofauti ya chama cha siasa na "pressure group"...Chama cha siasa huwa hakitumiii nguvu kubwa sana "kushinikiza serikali isikosee".

Chama cha siasa husubiri serikali ikosee na kuvuna Kura iwapo serikali itakosea Kwa kutangaza policies tofauti na serikali iliyopo ...vile vile chama cha siasa huwa na Sera na mijadala ya masuala mbalimbali.

Huwa hawashupai na jambo moja kama Alfa na omega...hatari ya kushupaa na jambo moja ni kuwa likiisha..mtakuwa hamna Jambo lingine....unless litokee...lakini pressure group wao hukomaa na jambo Lao ...likiisha hao wanasambaratika.

Kingine chama cha siasa huwa Wanafanya lobbying na Ku compromise kwaajili ya chama...siasa nyingi hufanywa "background"...majukwaani huwa ni "image branding"...huwezi kukuta wanasiasa serious "wanafoka"majukwaani.....lakini pressure groups huwa na wanaharakati ambao kazi Yao ni "kutema moto" kwenye media na majukwa na kufanya "public stunts"…

Chama cha siasa huwa Viongozi wake huongea machache katika mengi wanayo yajua...wakati pressure groups hutumia kila information wanayoipata kusambaza propaganda ili mradi kuongeza shinikizo kupata wanacho kitaka...

Pressure groups Wana sifa kubwa ya kukubali kutumika na wasiasa ili na wao ajenda zao pia zipite...wakati chama cha siasa wao hutumia pressure groups kupata kueneza Sera zao....sio kutumika na wanasiasa WA chama kingine kusambaza propaganda za hao wanasiasa ukiamini labda mgawanyiko utasaidia....

Pressure groups huwa Wana ongozazwa na mentality za "do or die" "kama hawataki basi"..refer ..Bunge la katiba.

Wakati chama cha siasa hutafuta namna ya kupata Jambo moja muhimu litakalo leta mengine...
Mfano badala ya kukomaa na serikali tatu...why wasinge komaa na tume ya uchaguzi?..sababu tume ya uchaguzi inaweza rahisisha kabisa zoezi la kuamua Aina gani ya Muungano tunataka au hatutaki.

Chama cha siasa Mwenyekiti wake hawezi sema "usalama wameniambia niongelee Bandari"..
Wakati hao usalama hawakuwahi mwambia Makamu wake alipigwa risasi na kina nani?msaidizi wake alizikwa wapi? Walikuwa wapi wakati anafilisiwa na kuwekwa mahabusu kila mara?...unless offcourse.. Mwenyekiti kakubali sasa kutumika kama "pressure group"..Kwa agenda yeyote Ile watakayo mpa.

Pressure groups huwa pia zinaongezewa watu ...na kunyang"anywa watu....Dr Slaa,Lipumba na wengine...huweza kuwekwa na kuchukuliwa kupewa maagizo mengine wakati wowote ule ..watumike kama pressure group activists.

Pressure groups huwa na sifa ingine pia ya kupenda kuchangisha wananchi na kuwa wakali wakiulizwa lolote kuhusu hiyo michango.

Pressure groups huwa ina wananchama wakali wenye jazba..kama sio matusi ukibishana nao kidogo tu...wakati chama cha siasa huwa na watu werevu wenye ushawishi..ambao hutumia hoja kushawishi na hutumia hoja kuonesha kwanini lazima tubadili chama.

Pressure groups hutumia ujinga WA wananchi kuwajaza hofu ili Tu kupata sapoti ...mfano wa zile pressure groups za climate change...zinavyo Tia watu hofu.

Labda wenzetu waanze kujiuliza ...wao ni chama cha siasa au ni pressure group? Kama Samia anakosea si mumuache akosee ili mje mvune kura? Mkimzuia akosee halafu mnapata nini? Kuwa mmepiga Kelele akawasikia?hayo ndo mafanikio? Kuwa kazi yenu ni kukosoa serikali ijirekebishe? Na nyinyi mmekubali hiyo title? Title wanayopewa "pressure groups"?

Sifa kubwa ya pressure group ni kutumika na kuachwa agenda ya wanaowatumia ikipita... tusubiri tuone....
Ugumu wa afrika kupiga hatua unaanzia katika suala zima la hivi vyama vya siasa na pressure groups nani anayeziwezesha kupata mkate wa kila siku.

Leo Lissu anazunguka Kariakoo kutangaza ubaya wa DPW, ni demokrasia anayotumia inayompa uhuru huo.

Hao hao wanamfadhili Lissu mikutano yake ya hadhara ndio hao hao waliopiga picha na viongozi wa juu wa serikali wiki iliyopita baada ya serikali kupata pesa za EU.

Hizi ndizo siasa za afrika, kila taasisi inayojionyesha machoni mwa watu inao viongozi wanaopata ulaji wao sehemu moja wakiwa wamejifungia ndani ya vyumba na hawaonwi na wapita njia.
 
Ndugu yako Mwabukusi njaa inamsumbua. Madeni ya huko mahakamani yamemjaa mpaka shingoni.

Aligombea ubunge akashindwa na Mwakibete, kesi zake zote zinamtokea puani.

Deni la shilingi milioni 80 lipo pale pale linamsubiri. Leo anafungua kesi yeye mwenyewe halafu anataka tumchangie!.

Haraka haraka video mnaiweka mitandaoni ili wakubwa huko Marekani na Ulaya waweze kumpatia pesa za uanaharakati.

Kazi mnayo kwani serikali inawaangalia tu, inajua itawabania sehemu gani.

Kama kuweka video huku mitandaoni ni ili kupata fedha kwa wakubwa, mbona hata serikali yetu hizo ndio zake. Ama hujui ni kwa kiwango gani serikali yetu inajibebisha kuomba hela kwa wafadhili. Kama baba anaomba kwa wazungu, kipi kinakushangaza mtoto akienda kupewa hela na wakubwa?

Eti serikali inawaangalia tu, ukisema hivyo utadhani ni serikali ya maana. Kama ingekuwa ya maana kama unavyotaka ionekane, ingejitokeza kukiri kuwa imeshindwa kuendesha bandari sasa hadi inaitoa kwa wenye uwezo?
 
Kama kuweka video huku mitandaoni ni ili kupata fedha kwa wakubwa, mbona hata serikali yetu hizo ndio zake. Ama hujui ni kwa kiwango gani serikali yetu inajibebisha kuomba hela kwa wafadhili. Kama baba anaomba kwa wazungu, kipi kinakushangaza mtoto akienda kupewa hela na wakubwa?

Eti serikali inawaangalia tu, ukisema hivyo utadhani ni serikali ya maana. Kama ingekuwa ya maana kama unavyotaka ionekane, ingejitokeza kukiri kuwa imeshindwa kuendesha bandari sasa hadi inaitoa kwa wenye uwezo?
Huyo mwanasheria serikali inajua imkamate sehemu gani.

Suala la bandari linakaribia kumalizika, muda sio mrefu DPW wanafunga mitambo yao bandarini. Siasa nyingi za mitandaoni zisikudanganye.
 
Mkuu The Boss , nimeipenda hii ya chama na pressure group!. Niliwahi kuzungumza kitu kama hiki kuhusu chama cha siasa kinachojiandaa kushika nchi na vyama vya kiharakati.

Chadema has never been serious with anything!. Hili tuliwaambia humu CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! hii ilikuwa kwa ajili ya 2015, hawakujipanga!.

Kuelekea uchaguzi wa 2020 tukauliza humu Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition? na tukija kwenye specific issues ndio kabisa! Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza? hivyo hata sasa kuelekea 2025, hakuna kitu ni vile vile!.

Kwenye hili la pressure group wasamehe bure kwasababu Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
P
Mkuu P, pamoja na kukubali kuwa ni mmoja wa wachangiaji hoja wazuri; lakini kwa hili nasita kuamini kama ni Mr. P ninaye mfahamu. Hivi kweli TZ kuna Uchaguzi wa Haki, kuna Tume ya Uchaguzi Huru, Kuna Mahakama Uhuru za kutoa haki kwenye mapingamizi ya Uchaguzi.
Ebu tuwe wakweli, Tz hakuna Uchaguzi Huru na wa Haki. Vyama vya upinzani vinakwenda kwenye Chaguzi kutimiza takwa la chama cha siasa na sio takwa la Chama cha Siasa kwa tafsiri sahihi ya Democracy.
 
Tofauti ya chama cha siasa na "pressure group"...Chama cha siasa huwa hakitumiii nguvu kubwa sana "kushinikiza serikali isikosee".

Chama cha siasa husubiri serikali ikosee na kuvuna Kura iwapo serikali itakosea Kwa kutangaza policies tofauti na serikali iliyopo ...vile vile chama cha siasa huwa na Sera na mijadala ya masuala mbalimbali.

Huwa hawashupai na jambo moja kama Alfa na omega...hatari ya kushupaa na jambo moja ni kuwa likiisha..mtakuwa hamna Jambo lingine....unless litokee...lakini pressure group wao hukomaa na jambo Lao ...likiisha hao wanasambaratika.

Kingine chama cha siasa huwa Wanafanya lobbying na Ku compromise kwaajili ya chama...siasa nyingi hufanywa "background"...majukwaani huwa ni "image branding"...huwezi kukuta wanasiasa serious "wanafoka"majukwaani.....lakini pressure groups huwa na wanaharakati ambao kazi Yao ni "kutema moto" kwenye media na majukwa na kufanya "public stunts"…

Chama cha siasa huwa Viongozi wake huongea machache katika mengi wanayo yajua...wakati pressure groups hutumia kila information wanayoipata kusambaza propaganda ili mradi kuongeza shinikizo kupata wanacho kitaka...

Pressure groups Wana sifa kubwa ya kukubali kutumika na wasiasa ili na wao ajenda zao pia zipite...wakati chama cha siasa wao hutumia pressure groups kupata kueneza Sera zao....sio kutumika na wanasiasa WA chama kingine kusambaza propaganda za hao wanasiasa ukiamini labda mgawanyiko utasaidia....

Pressure groups huwa Wana ongozazwa na mentality za "do or die" "kama hawataki basi"..refer ..Bunge la katiba.

Wakati chama cha siasa hutafuta namna ya kupata Jambo moja muhimu litakalo leta mengine...
Mfano badala ya kukomaa na serikali tatu...why wasinge komaa na tume ya uchaguzi?..sababu tume ya uchaguzi inaweza rahisisha kabisa zoezi la kuamua Aina gani ya Muungano tunataka au hatutaki.

Chama cha siasa Mwenyekiti wake hawezi sema "usalama wameniambia niongelee Bandari"..
Wakati hao usalama hawakuwahi mwambia Makamu wake alipigwa risasi na kina nani?msaidizi wake alizikwa wapi? Walikuwa wapi wakati anafilisiwa na kuwekwa mahabusu kila mara?...unless offcourse.. Mwenyekiti kakubali sasa kutumika kama "pressure group"..Kwa agenda yeyote Ile watakayo mpa.

Pressure groups huwa pia zinaongezewa watu ...na kunyang"anywa watu....Dr Slaa,Lipumba na wengine...huweza kuwekwa na kuchukuliwa kupewa maagizo mengine wakati wowote ule ..watumike kama pressure group activists.

Pressure groups huwa na sifa ingine pia ya kupenda kuchangisha wananchi na kuwa wakali wakiulizwa lolote kuhusu hiyo michango.

Pressure groups huwa ina wananchama wakali wenye jazba..kama sio matusi ukibishana nao kidogo tu...wakati chama cha siasa huwa na watu werevu wenye ushawishi..ambao hutumia hoja kushawishi na hutumia hoja kuonesha kwanini lazima tubadili chama.

Pressure groups hutumia ujinga WA wananchi kuwajaza hofu ili Tu kupata sapoti ...mfano wa zile pressure groups za climate change...zinavyo Tia watu hofu.

Labda wenzetu waanze kujiuliza ...wao ni chama cha siasa au ni pressure group? Kama Samia anakosea si mumuache akosee ili mje mvune kura? Mkimzuia akosee halafu mnapata nini? Kuwa mmepiga Kelele akawasikia?hayo ndo mafanikio? Kuwa kazi yenu ni kukosoa serikali ijirekebishe? Na nyinyi mmekubali hiyo title? Title wanayopewa "pressure groups"?

Sifa kubwa ya pressure group ni kutumika na kuachwa agenda ya wanaowatumia ikipita... tusubiri tuone....
Ng'ombe wako wengi sana nchi hii!
 
Huyo mwanasheria serikali inajua imkamate sehemu gani.

Suala la bandari linakaribia kumalizika, muda sio mrefu DPW wanafunga mitambo yao bandarini. Siasa nyingi za mitandaoni zisikudanganye.
Sio pa kumkamatia, sema inajua pa kumkomolea.

Ni kweli watafunga hiyo mitambo na kuanza kazi, lakini bila ridhaa yetu wananchi tulio wengi. Kama siasa za mitandaoni ni za kudanganya, ww unafanya nini humu?
 
Sio pa kumkamatia, sema inajua pa kumkomolea.

Ni kweli watafunga hiyo mitambo na kuanza kazi, lakini bila ridhaa yetu wananchi tulio wengi. Kama siasa za mitandaoni ni za kudanganya, ww unafanya nini humu?
Watanzania watakuwa ni wapuuzi sana iwapo wataugomea uwekezaji wenye lengo zuri la kuongeza tija ya bandari yetu kulinganisha na washindani wetu.

Watanzania watakuwa ni wapuuzi sana iwapo watakuwa hawana sababu yoyote ya maana ya kuupinga uwekezaji mkubwa kama wa DPW utakaoisaidia sekta nzima ya uchukuzi kwa kukubali kutumiwa na wenye pesa wa huko nje.

Lakini kizuri siku zote ni lazima kipigwe mawe, hata mradi wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere ulipigwa vita lakini miezi michache ijayo hao walioupiga vita wataenda kimya kimya kufaidika nao kama vile wao sio walioupinga hapo kabla.
 
Nadhani ni sahihi lakini kwa nchi yetu hapa tanzania hizo kura utapata wapi wakati mihimili yote imeshikiliwa na serikali?

ndio maana hata wabunge wetu wanasimama zaidi upande wa serikali kuliko upande wa wananchi ambao inaaminika kuwa ndio huwaweka madarakani.

hii maana yake ni kwamba chama/serikali ina mamlaka makubwa kwa mbinu zozote zile ya kuamua hatma ya mbunge kuliko sanduku la kura/wananchi.
 
Tofauti ya chama cha siasa na "pressure group"...Chama cha siasa huwa hakitumiii nguvu kubwa sana "kushinikiza serikali isikosee".

Chama cha siasa husubiri serikali ikosee na kuvuna Kura iwapo serikali itakosea Kwa kutangaza policies tofauti na serikali iliyopo ...vile vile chama cha siasa huwa na Sera na mijadala ya masuala mbalimbali.

Huwa hawashupai na jambo moja kama Alfa na omega...hatari ya kushupaa na jambo moja ni kuwa likiisha..mtakuwa hamna Jambo lingine....unless litokee...lakini pressure group wao hukomaa na jambo Lao ...likiisha hao wanasambaratika.

Kingine chama cha siasa huwa Wanafanya lobbying na Ku compromise kwaajili ya chama...siasa nyingi hufanywa "background"...majukwaani huwa ni "image branding"...huwezi kukuta wanasiasa serious "wanafoka"majukwaani.....lakini pressure groups huwa na wanaharakati ambao kazi Yao ni "kutema moto" kwenye media na majukwa na kufanya "public stunts"…

Chama cha siasa huwa Viongozi wake huongea machache katika mengi wanayo yajua...wakati pressure groups hutumia kila information wanayoipata kusambaza propaganda ili mradi kuongeza shinikizo kupata wanacho kitaka...

Pressure groups Wana sifa kubwa ya kukubali kutumika na wasiasa ili na wao ajenda zao pia zipite...wakati chama cha siasa wao hutumia pressure groups kupata kueneza Sera zao....sio kutumika na wanasiasa WA chama kingine kusambaza propaganda za hao wanasiasa ukiamini labda mgawanyiko utasaidia....

Pressure groups huwa Wana ongozazwa na mentality za "do or die" "kama hawataki basi"..refer ..Bunge la katiba.

Wakati chama cha siasa hutafuta namna ya kupata Jambo moja muhimu litakalo leta mengine...
Mfano badala ya kukomaa na serikali tatu...why wasinge komaa na tume ya uchaguzi?..sababu tume ya uchaguzi inaweza rahisisha kabisa zoezi la kuamua Aina gani ya Muungano tunataka au hatutaki.

Chama cha siasa Mwenyekiti wake hawezi sema "usalama wameniambia niongelee Bandari"..
Wakati hao usalama hawakuwahi mwambia Makamu wake alipigwa risasi na kina nani?msaidizi wake alizikwa wapi? Walikuwa wapi wakati anafilisiwa na kuwekwa mahabusu kila mara?...unless offcourse.. Mwenyekiti kakubali sasa kutumika kama "pressure group"..Kwa agenda yeyote Ile watakayo mpa.

Pressure groups huwa pia zinaongezewa watu ...na kunyang"anywa watu....Dr Slaa,Lipumba na wengine...huweza kuwekwa na kuchukuliwa kupewa maagizo mengine wakati wowote ule ..watumike kama pressure group activists.

Pressure groups huwa na sifa ingine pia ya kupenda kuchangisha wananchi na kuwa wakali wakiulizwa lolote kuhusu hiyo michango.

Pressure groups huwa ina wananchama wakali wenye jazba..kama sio matusi ukibishana nao kidogo tu...wakati chama cha siasa huwa na watu werevu wenye ushawishi..ambao hutumia hoja kushawishi na hutumia hoja kuonesha kwanini lazima tubadili chama.

Pressure groups hutumia ujinga WA wananchi kuwajaza hofu ili Tu kupata sapoti ...mfano wa zile pressure groups za climate change...zinavyo Tia watu hofu.

Labda wenzetu waanze kujiuliza ...wao ni chama cha siasa au ni pressure group? Kama Samia anakosea si mumuache akosee ili mje mvune kura? Mkimzuia akosee halafu mnapata nini? Kuwa mmepiga Kelele akawasikia?hayo ndo mafanikio? Kuwa kazi yenu ni kukosoa serikali ijirekebishe? Na nyinyi mmekubali hiyo title? Title wanayopewa "pressure groups"?

Sifa kubwa ya pressure group ni kutumika na kuachwa agenda ya wanaowatumia ikipita... tusubiri tuone....
Kama umekosa la kuandika heri kunyamaza badala ya kutoa utopolo.

Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu The Boss , nimeipenda hii ya chama na pressure group!. Niliwahi kuzungumza kitu kama hiki kuhusu chama cha siasa kinachojiandaa kushika nchi na vyama vya kiharakati.

Chadema has never been serious with anything!. Hili tuliwaambia humu CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! hii ilikuwa kwa ajili ya 2015, hawakujipanga!.

Kuelekea uchaguzi wa 2020 tukauliza humu Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition? na tukija kwenye specific issues ndio kabisa! Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza? hivyo hata sasa kuelekea 2025, hakuna kitu ni vile vile!.

Kwenye hili la pressure group wasamehe bure kwasababu Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
P
How can you hate a political party to such extent man..
Waandishi mkiambiwa njaa na kujipendekeza kupata ugali mnageuka mbogo..

Tuseme CDM haipo imekufa kabisa, unadhani nini kitatokea... embu ipende nchi yako wewe.
 
Huyu jamaa atakuwa wale waarabu wa Kayenze.

Toka nijiunge JF hii issue ya bandari ndiyo kaibebea bango kuliko kitu chochote kilichowahi kuwa topic nchini.
 
Watanzania watakuwa ni wapuuzi sana iwapo wataugomea uwekezaji wenye lengo zuri la kuongeza tija ya bandari yetu kulinganisha na washindani wetu.

Watanzania watakuwa ni wapuuzi sana iwapo watakuwa hawana sababu yoyote ya maana ya kuupinga uwekezaji mkubwa kama wa DPW utakaoisaidia sekta nzima ya uchukuzi kwa kukubali kutumiwa na wenye pesa wa huko nje.

Lakini kizuri siku zote ni lazima kipigwe mawe, hata mradi wa maji wa bwawa la Mwalimu Nyerere ulipigwa vita lakini miezi michache ijayo hao walioupiga vita wataenda kimya kimya kufaidika nao kama vile wao sio walioupinga hapo kabla.
Hata mradi wa bomba la gas sifa zilikuwa ni hizi. Hilo bwawa la Nyerere zitazalishwa 2,115mw wakati wa porojo za gas ilikuwa zitazalishwa 5,000mw. Je kuna kipi cha kusifia hapo?
 
Back
Top Bottom