Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Inspection ya gari inakuja kufanyikia Tanzania na gari kama litakutwa na ubovu utalazimika kulitengeneza kwa gharama zako mwenyewe.

Pia BMW zinazotumika Japan zinatofautiana kidogo na zinazotumika Singapore.
Vp naonaga Be Forward wanauzaga pia na magari ya Singapore...hiyo imekaaje kitaalam kua BF kuuza gari za Singapore hapo BF wanafanya inspenction au ndo ile ile sawa kununua kwenye sites nyingine za Singapore kua hakuna Inspection?

Tofauti ya BMW za Japan na Sinagpore nini? Maana naona kama za Singapore ndo zipo kwenye good condition kushinda Japan japo bei ya Singapore imesimama.

Pia Menu Ya kiJapan kwa BMW inaweza kuifix vp hapo au unabadilisha kabisa ? Maana haina English language
 
Hio kitu hata TRADECARVIEW wanayo sana,kuna gari niliichek be forward CIF yake ni $3700 kule nimeenda gari ile ile nimeikuta ni $ 5300,upuuzi sana.
Hata mimi shuhuda wa hii ishu, gari beforward ni cheap kuliko hio mitandao mengine. Na baadhi ya magari ndio hayo hayo na picha ndio hizo hizo zilizotumika huku na kule zipo. Tradecarview wao ndio kiboko kwa bei za ajabu naona..... nihsakuta BMW 7 series beforward inauzwa $1500 FOB ya 2003 nyeupe, mnyama anaita kabisa ila ingia tradecarview uone bei zao.....
 
 
 
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GuDume,nimekuvulia kofia mwanaume...hayo maelezo na hizo ndinga kwa picha ni shida tupu
Binafsi huwa naipenda sana Land Cruiser mkonge nje (kama zile za police) tatzo uwezo sina
Pia,gari nyingine ninazozipenda ni pamoja na volts,Brevis,na Athlete Crown...Mungu akipenda na akiniongezea uhai ipo siku nitamiliki gari moja kati ya hayo niliyoyataja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen.....na Mungu akikuongezea umri mpaka ifike miaka hiyo hizo gari ulizozitaja hapo zitakuwa zinaonekana kama vile leo hii tunavyoiona carina....au yale ma..Mark ii na machaser baloon..

I mean wakati huo technology itakuwa imeshakuwa.....pengine ikawa gari likihisi tu makalio ya mmiliki linawaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye red, mkuu ina CC ngapi? Nataka kuagiza mwezi ujao maana sipendi magari ya toyota, nilihitaj gari toka BMW, BENZI au AUDI ila BMW ni 1st choice tangu miez 3 iliyopita nazungukia humu kupata maoni ya watu 80% ni maoni hasi nikataka nipate maoni toka kwa aliyewahi kumiliki, nataka unihakikishie hapo kwenye fuel consumption ni kweli au ni typing error maana kwa kuiangalia ni kama ina 1990CC
 
1800 chukua mnyama huyo yuko makini
 
1800 chukua mnyama huyo yuko makini
Diesel sio? za petrol CC 1900 inaweza kwenda KM ngapi? mimi suala la spare siogopi hata kama taa ni milioni 1 maana silinunui kwaajili ya kuligongagonga hovyo hivyo najua hata nikilipa service ya laki 5 kila baada ya miez 3 sio mbaya pia utanipa namba ya fundi unayemwamini wa haya madubwasha
 
Zote poa lakini diesel the best... Hiyo ya petrol haipungui km 10 kwa liter... Kumbe wewe ni kama mimi tu
 
Zote poa lakini diesel the best... Hiyo ya petrol haipungui km 10 kwa liter... Kumbe wewe ni kama mimi tu
Yes mkuu, BMW inaishi moyoni, hata mimi naona TOYOTA ni usafiri tu sio gari, huo ni mtazamo wangu na hayupo wa kunibadilisha. Naweza kuagiza kupitia site gani? Nimeangalia beforward naona zipo za petrol tu mkuu. Nikiwa na 25 M si inatosha kuliingiza nchini.
 
Inatosha kabisa tena na change inabaki... Check na SBT Japan wanazo za diesel pia check na Gumtreee
 
Inatosha kabisa tena na change inabaki... Check na SBT Japan wanazo za diesel pia check na Gumtreee
Poa mkuu ngoja nianze kupitisha macho huko, hao waoga waache waendelee na toyota (baby walkers), pia wajitahid kuwazuia wapenzi wao kutukodolea macho tukiwa kwenye foleni na kuwaambia baby nataka kama ile.
 
Poa mkuu ngoja nianze kupitisha macho huko, hao waoga waache waendelee na toyota (baby walkers), pia wajitahid kuwazuia wapenzi wao kutukodolea macho tukiwa kwenye foleni na kuwaambia baby nataka kama ile.
[emoji108][emoji108][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…