BIGURUBE acha ulimbukeni bwana. Toyota is one of the most competitive car making company in the world( na kwa sasa inaongoza katika makampuni 10 mkubwa duniani ya kutengeneza magari)
- 8th place: Honda Motor.
- 7th place: Fiat-Chrysler.
- 6th place: Ford Motor.
- 5th place: Hyundai-Kia.
- 4th place: Nissan-Renault Group.
- 3rd place: Volkswagen Group.
- 2nd place: General Motors.
- 1st place: Toyota Motor.
wanazalisha gari zenye sifa tofaut kwa sababu tofauti. ulaya na marekani wanatumia Toyota itakuwa wewe tu mswahili wa hapa unajidai eti si magari.... huo ni ulimbukeni tu. labda uwe huzifahamu gari za Toyota.
katika gari imara duniani
20. Toyota FJ Cruiser
19.Lexus LX 570
11.Toyota 4Runner
6.Toyota Land Cruiser FJ 40
5.Toyota Land Cruiser Mkonga
number 1 is Jeep Wrangler,
Mercedes Benz G Class ikiw anamba 7
kama vile haitoshi kuna Toyota Crown Majesta ni moja ya magari ambayo ni ya kifahari
View attachment 686817
View attachment 686819
View attachment 686820
View attachment 686821
View attachment 686822 View attachment 686823
Hi ni Toyota Crown ya mwaka 2013
price
150 000 $
Top speed 250 kph / 155 mph
Speed from 0-100 kph 5.7 seconds
Power 343 bhp / 252 kW
bhp / weight
185 bhp per tonne
Displacement
3.5 litre / 3456 cc
Weight
1850 kg / 4079 lbs
halafu wewe mlalahoi tu huna mbele wala nyuma unakuja kusimama mbele ya wanaume unaponda magari ya toyota? we utawafanya watu wagundue kuwa hufahamu magari na una ulimbukeni. magari yanazidiana uzuri na thamani lakini kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ponda magari ya Mjapani hata siku moja. Japan wanauza magari all over the world. wanatengeneza magari kulingana na mahitaji ya watu husika. watu wa aina yako wakue sasa.