Siku hizi kuibiwa kwenye malipo ya kimtandao ni suala la bidii yako binafs kuhakikisha unaibiwa. Jaribu kufanya malipo hata ya kalam kwa paypal au namna ya hivyo km trustee wa pesa yako. La kuibiwa ni hiari yako km inakupendezaHao matapeli wa mtandao je? Umewasahau ee?
Ok mkuu wewe unatumia ipi?
Umetumia kwa muda gani sasa?
Sasa Mshana Jr naomba ushauri wako kuhusu service ya BMW
1. Je service nangoja notification from car computer au nazingatia tu km?
2. Kuna haja ya kutafuta fundi specific wa BMW au hata mafundi wa kawaida?
3. Ni vitu gani hasa vya kubadilisha wakati wa service tofauti na oil? Hata huku Kuna kubadilisha filters?
Ni hayo tu ndugu mbadilisha mawazo, waweza ukawa sio fundi ila kutokana na uzoefu wa kuyatumia haya ukawa na majibu
NB: nafikiria ku enhance music system, je nikibadilisha redio ya gari ni replace na new Android radios haitasumbua mfumo wa compyuta ya gari
Nitaomba nirudi kwako baadae nikujibu kwa welediSasa Mshana Jr naomba ushauri wako kuhusu service ya BMW
1. Je service nangoja notification from car computer au nazingatia tu km?
2. Kuna haja ya kutafuta fundi specific wa BMW au hata mafundi wa kawaida?
3. Ni vitu gani hasa vya kubadilisha wakati wa service tofauti na oil? Hata huku Kuna kubadilisha filters?
Ni hayo tu ndugu mbadilisha mawazo, waweza ukawa sio fundi ila kutokana na uzoefu wa kuyatumia haya ukawa na majibu
NB: nafikiria ku enhance music system, je nikibadilisha redio ya gari ni replace na new Android radios haitasumbua mfumo wa compyuta ya gari
Na hii kiukweli inasababisha ajali ya gari za serikali na madereva wanalaumiwa bure maana mafundi wamekariri tu vitu vichache na vingine hata hawana uelewa nao wakati mwingine....
Niliwahi shuhudia dereva mmoja wa boss kazini kwetu, ile V8 ilikuwa inawaka taa kama tatu za kuashiria tatizo kwenye engine, anapeleka garage maalum ya hayo magari ya 'SU' mafundi wanapuuzia inabadilishwa oil na vingine ila zile taa hazizimi, kuna siku imekwenda safari ana-overtake anashtuka brakes hamna hata kidogo na lile dude lilivyo zito linakolea tu na ni SUV ukivuta handbrake kijinga jinga mnapinduka, tunashukuru hakufa mtu huko ndani siku hyo!
Mafundi wengi wa Bongo ndo wanafanya tunaogopa kununua hizi BMW au VW au AUDI, ila kiukweli hizo gari ukizingia zile warnings inazokupa hutakaa upate shida hata siku moja kwenye spares za engine labda kama we ni mtu wa kugonga gonga gari unapasua pasua taa e.t.c ndo utaumia kidogo
View attachment 686106ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida
Lakini nikwambie tu kitu kimoja hakuna gari imara kama BMW na ukiweza kufuata masharti ya kumiliki gari hutakaa ujutie pesa yako
Kama una uwezo wa kununua Brevis, Nissan Fuga au Klugger... Magari ya kijapan yenye engine kubwa na matumizi makubwa ya mafuta... Hakika HUWEZI kushindwa kununua BMW ya kawaida lakini yenye viwango sawa na hizo gari hapo juu.. Huku ukifurahia ulaji mdogo wa mafuta... Mfumo wa BMW uko tofauti sana... Umejengwa kwenye mfumo wa kuokoa ulaji wa mafuta huku nguvu ya mashine ikiwa ni ileile
Gari nyingi za kijapan hazina body ngumu tofauti kabisa na huyu mnyama BMW... Yani hata unapokaa kwenye seat unahisi kabisa umekaa kwenye mashine ya ukweli... Na ni aghalabu kukuta BMW imepinduka kichwa chini mijuu guu
Hizo magari hapo juu nazo spare zake ni ngumu na ghali kupatikana kama BMW tuu... Tena sometimes unaweza kuipata ya mnyama kirahisi zaidi kuliko hizo nyingine
Kingine ni kwamba BMW wana variety of different styles na kila style ni bakora tofauti na hizi nyingine.... Ukikuta mabrevis yote yanafanana
Badili mtazamo wako BMW ni gari ngumu nzuri na sio ghali kama unavyodhani.. Kuwa tofauti... Miliki mnyama... Pichani hapo juu ni 320td fuel consumption ni km 15 kwa Lita sawasawa na duet tuu... Lakini mkiwa rodini mnyama atatamba
Siyo wamezoea magari ya kijapan lah, hawana elimu wanafanya kubahatisha, kwa wazungu hakuna kitu kama icho lazima mtu ukasoma system maalumu ndo ufanye nayo kaziYap!suala lingine ni mafundi,wengi wa mafundi wetu bongo wamezoea magari ya kijapan
Hata mimi shuhuda wa hii ishu, gari beforward ni cheap kuliko hio mitandao mengine. Na baadhi ya magari ndio hayo hayo na picha ndio hizo hizo zilizotumika huku na kule zipo. Tradecarview wao ndio kiboko kwa bei za ajabu naona..... nihsakuta BMW 7 series beforward inauzwa $1500 FOB ya 2003 nyeupe, mnyama anaita kabisa ila ingia tradecarview uone bei zao.....
Itabidi tuwe mafundi kama wazungu. Unakuwa na zana zote ikiwemo car diagnotic machine, zile service za kawaida unazifanya mwenyewe.
Sio kutishwa na huo ndo ukweli na mimi mwenyewe ni shuhuda!kuna jamaa namfahamu alikuwa na hyo BMW 320 series iligongwa upande mmoja,taa kubwa ya mbele pamoja na side mirror zikavunjika!Alizunguka jiji zima hela anayo spea akakosa ikabidi gari ipaki mpaka spea ilipopatikana kwa kuagiza toka nje na kwa gharama kubwa!!sasa nambie ingekuwa ni toyota angehangaika kiasi hicho?!chukulia angekuwa na brevis,mark 2 au any toyota brand ambayo ni common in TZ angehangaika?!Ukweli ni kwamba unapoamua kununua gari kwa bongo tofauti toyota hakikisha una connection nzuri ya kupata spea mara itakapohitajika,pia uwe na pesa ya kutosha coz haitakuwa cheap km unavodhani!!
spea zipo nyng tu DSM hapo...tatizo wamiliki hawana INFO ya wapi pa kuzipataSio kutishwa na huo ndo ukweli na mimi mwenyewe ni shuhuda!kuna jamaa namfahamu alikuwa na hyo BMW 320 series iligongwa upande mmoja,taa kubwa ya mbele pamoja na side mirror zikavunjika!Alizunguka jiji zima hela anayo spea akakosa ikabidi gari ipaki mpaka spea ilipopatikana kwa kuagiza toka nje na kwa gharama kubwa!!sasa nambie ingekuwa ni toyota angehangaika kiasi hicho?!chukulia angekuwa na brevis,mark 2 au any toyota brand ambayo ni common in TZ angehangaika?!Ukweli ni kwamba unapoamua kununua gari kwa bongo tofauti toyota hakikisha una connection nzuri ya kupata spea mara itakapohitajika,pia uwe na pesa ya kutosha coz haitakuwa cheap km unavodhani!!
bahati mbaya au nzuri mimi hata gari sina. sijawahi miliki tofauti na wewe ambaye ushamiliki nyngi tofaut tofauti mpaka ukagundua Toyota ni Mbolea.
sijaelewa uliposema kuwa hujaona popote niliposema hizo toyota ni gari moja... nifafanulie.
anyway.... hata ungesema toyota ni ya 3 bado ungegundua inastahili heshima yake.lakini nakupa link pia ikusaidie.
Top 10 biggest automakers in the world
so inawezekana zikawa zina badilishana kwa maana ya kuwa na Vokwagen wanampiku Toyota sikatai wakienda wanabadilishana. ila nachozungumza watu wenye kufahamu na waliomiliki au wanaomiliki magari kiukweli kweli wakisikia una watukana watengeneza magari kama Toyota au Nissan n.k watakushangaa sana na wanaweza kufikiria kuwa wewe ni limbukeni kumbe maskini unaweza kuwa na akili yako tu vizuri. ashakum si matusi. hizo unazosema ni mbolea wali zi categorize ni waungu katika top 20 yao. sasa kama unawabishia au wewe unajua zaidi hilo siwezi kukupinga maana najua waswahili ni wajuvi sana.
anyway.. mimi nakwambia hivi ili usiwafanye watu wagundue.ukikaa kimya hawawezi gundua. halafu nikupe hongera sasa wewe unamiliki gari za mjerumani tu kwa kwenda mbele baada ya kudundua Toyota si kitu. mimi nakukubalia kabisa... kwa wenye magari wanasema kuna tofauti. lakini kiuhalisia huwezi kuwa na toyota Verossa ukailinganisha hata na Toyota Crown. au Toyota Verossa/ Spacio ukailinganisha na BMW. hali ni uongo. Toyota wana gari za kumfaa kila mhusika ukiyaangalia yale ma kilimo kwanza huwezi fananisha na RAV 4. na ndo maana hata marais kadhaa wanatumia those cars kama ambavyo wengine wanaamua kutumia escalade au range rover.
All over the internet watu watakuambia bila kupepesa kwamba Toyota ndio kampuni (na Japan ndiyo nchi) inayoongoza kwa kutengeneza magari reliable yanayodumu...