Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Hao matapeli wa mtandao je? Umewasahau ee?
Ok mkuu wewe unatumia ipi?
Umetumia kwa muda gani sasa?
Siku hizi kuibiwa kwenye malipo ya kimtandao ni suala la bidii yako binafs kuhakikisha unaibiwa. Jaribu kufanya malipo hata ya kalam kwa paypal au namna ya hivyo km trustee wa pesa yako. La kuibiwa ni hiari yako km inakupendeza
 

Mshana Jr sijaona km ulijibu haya maswali matatu ya mkuu alikuuliza. Ikikupendeza kaka yatolee majibu tujifunze

Asante
 
Nitaomba nirudi kwako baadae nikujibu kwa weledi
 

Mafundi wa BMW, Audi, VW mbona wapo bongo wengi tu
Ila ukijifanya unabania matumizi uende mwembeni basi utakuja kulia
 
Nnamiliki hio gari pichan
Cc 1995 piston 4 ina turbo na inatumia diesel
Consumption n nzuri sana km 16 kwa lita

Nikiwa barabaran v8 haijawah nishika
 
Nnamiliki hio gari pichan
Cc 1995 piston 4 ina turbo na inatumia diesel
Consumption n nzuri sana km 16 kwa lita

Nikiwa barabaran v8 haijawah nishika
[emoji123][emoji123][emoji123]ziko chache sana bongo
 
Naipenda sana BMW ila kuna hizi nyingine mbili nao zinanitia wazimu, still in dilemma but it’s not an urgent matter right now.
 
Naipenda sana BMW ila kuna hizi nyingine mbili nao zinanitia wazimu, still in dilemma but it’s not an urgent matter right now.
Please share
 
Kweli kabisaa mkuu,ni mwendo wa be forward tu.
 
na hili ndo tatizo la wabongo wengi...yani nyny mnajali UNAFUU zaidi kuliko USALAMA...

katka kitu ambacho mjapan amefel ni usalama...aisee ukipata ajali na gari za aina ya toyota usalama wako ndan ya gari unakuwa ni mdogo sana...sijui kwa nn watu hamdhamin UHANIwenu mnadhamini UNAFYU

gari za ulaya...BMW..VW nk ni gari ambazo zina kuhakikishia USALAMA wa maisha yako mara ajali inapotokea..kwa kuanza tu Airbag 8 huko...toyota unakuta Airbag 2 tena zote za mbele aisee

Gari za ulaya hazitak ukanjanja...kila kitu kipo kwenye dash board...yan chochote kinachotokea ktk gari utakiona kwenye dashboard

Nilikuwa na TOYOTA premio..nilipata ajali moja hv...gari iliharibika vbya sana wkt ajali haikuwa kubwa kivile..hapo ndo niligundua toyota ni gari mayai sana!!

Nikaamua kuiuza...nikakamata kitu VW touran(ingawa ukipita humu watu wanaiponda sana)..nna mwaka wa 2 huu nnayo na inapiga kazi fresh...haijawah niletea tatizo lolote..sijawah badili chochote zaid ya service tu(narudia,sijawah badili chochote)na gari napiga nayo To and From kazin daily umbali wa kilometa 40+ huko(sasa kwa toyota ningekuwa nishabadili vingapi)

Gari cc 1500 lakn inakula mafuta kiduchu kuliko hata premio yangu niliyokuwa nayo ya cc 1496

Nilichokigundua Wa TZ wanapenda wamiliki gari ila wanaogopa sana maintenance ya gari

Yani mtu anaona ni bora aweke oil ya ya kuungaunga ya 50 or 60k+( km 3000 ) lkn ukimwambia toa 150k ununue ya km 10000(genuine) huko anaona ni hela nyingi kweli..

Kiufupi tu,gari za ulaya hazitak UKANJANJA..na WABONGO wengi wanapenda sana KITONGA

Na mwisho..hapa kazin nnapofanyia kazi...mm peke yangu ndo namiliki chuma cha ulaya...wengine wote ni toyota tu na mmoja ana nissan...inasababisha hd wenzangu wanaogopa kuniazima gari(maana wanaogopa gharama kam likitokea la kutokea)...NDO YALE YALE...UKITONGA
Sent using Jamii Forums mobile app
 
spea zipo nyng tu DSM hapo...tatizo wamiliki hawana INFO ya wapi pa kuzipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu gudume labda nimekuelewa ila naomba niongeze jambo moja

Embu naomba ulinganishe gari za toyota na za ulaya zenye hadhi moja/gharama zinazoendana alafu uje hapa

mm katika post ya hapo juu nimesema nilikuwa na toyota premio(13-14m) na sasa nna VW Touran(13-14)

Narudia tena kusema...baada ya kuchukua TOURAN...nilijiona fala sana kumiliki TOYOTA...nilipoteza mda na hela yangu tu ktk toyota

Ukilinganisha Speed...comfortability..Usalama..aisee toyota imeachwa mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu...tatizo mnauziwa vifaa feki vya toyota ndo maana mnadhani toyota ina vipuri vya bei rahisi...mnavyouziwa k.koo vingi si genuine...jaribu tu kuulizia vipuri genuine vya toyota alafu ulete majibu...
All over the internet watu watakuambia bila kupepesa kwamba Toyota ndio kampuni (na Japan ndiyo nchi) inayoongoza kwa kutengeneza magari reliable yanayodumu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…