Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Hapana watu wanatishwa sana kwenye hili
Sio kutishwa na huo ndo ukweli na mimi mwenyewe ni shuhuda!kuna jamaa namfahamu alikuwa na hyo BMW 320 series iligongwa upande mmoja,taa kubwa ya mbele pamoja na side mirror zikavunjika!Alizunguka jiji zima hela anayo spea akakosa ikabidi gari ipaki mpaka spea ilipopatikana kwa kuagiza toka nje na kwa gharama kubwa!!sasa nambie ingekuwa ni toyota angehangaika kiasi hicho?!chukulia angekuwa na brevis,mark 2 au any toyota brand ambayo ni common in TZ angehangaika?!Ukweli ni kwamba unapoamua kununua gari kwa bongo tofauti toyota hakikisha una connection nzuri ya kupata spea mara itakapohitajika,pia uwe na pesa ya kutosha coz haitakuwa cheap km unavodhani!!
 
Kuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.

Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
Wengi wanafeli hapa
Kupuuzia warning lights
Kudhani kila mwenye diagnosis mashine anajua kutafuta, kugundua faults na kusoma code errors
 
Sio kutishwa na huo ndo ukweli na mimi mwenyewe ni shuhuda!kuna jamaa namfahamu alikuwa na hyo BMW 320 series iligongwa upande mmoja,taa kubwa ya mbele pamoja na side mirror zikavunjika!Alizunguka jiji zima hela anayo spea akakosa ikabidi gari ipaki mpaka spea ilipopatikana kwa kuagiza toka nje na kwa gharama kubwa!!sasa nambie ingekuwa ni toyota angehangaika kiasi hicho?!chukulia angekuwa na brevis,mark 2 au any toyota brand ambayo ni common in TZ angehangaika?!Ukweli ni kwamba unapoamua kununua gari kwa bongo tofauti toyota hakikisha una connection nzuri ya kupata spea mara itakapohitajika,pia uwe na pesa ya kutosha coz haitakuwa cheap km unavodhani!!
Hakuna bima mkuu
 
Kama iyo inasimamia bei gani?
Screenshot_20180128-085629.png
 
Kuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.

Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
Waipeleke msata kwa mnyama mshana [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.

Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
Kuna fundi wa gari za BMW yuko maeneo ya mwenge karib na tamal hotel! Fanya kumcheki tatizo litatatuliwa hilo
contact zake bahat mbaya zilishapotea!
 
Back
Top Bottom