Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Umesema uligongwa nanunalalamika kwamba hyo taa gharama sijui na vitu gani..sasa ndo nauliza hukuwa na bima
Ooh!hukusoma vzr uzi wangu mkuu, sio mimi ni jamaa namfahamu ndo alikutwa na huo mkasa,ndo nikawa namuona alivyokuwa anahangaika kutafuta spea
 
Mimi nina BMW SUV, X5. Electronics isues sijaona hivyo.

Ila pia baada ya muda kidogo nataka kujiongeza nichukue Porsche Macan S.
Hizi walau kwa Bongo nazionaga zipo nyingi nyingi
 
Kuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.

Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
Mafundi wengi Tanzania ni magumashi!njaa tu .Fundi wa kweli awezi tumia lisaa limoja kama ana computer kujua tatizo.gari lina Computer system inaitwa Electronic Control Unity amabyo nayo ina software kama vile computer.Tatizo unaweza kuta hao mafundi wana diagnostic kit yenye let say bmw za mwaka 2002 mpaka na 2005 wakati BMW wanayotakiwa waicheck tatizo ni ya 2006! Hapa hizo computer zao azitoona tatizo.pia mafundi wengi hapa Tanzania awataki kujisomea wao ni try and erro.
Kwa sasa unaingi E bay unaweka part no.unalipia kwa Pay pal baada ya siku tatu DHL wanakugongea mlango spea zimeshafika.Mimi na X3 na wala sikosi usingizi wa kuwaza spea sijui nini.Watanzania walio wengi ni maji kufanta mkondo awajiongezi! Wananunua magari kufuata maongezi ya vijiweni,matokeo yake wanakuwa waoga ktk kubadilika
 
Model ya nyuma kidogo hazina shida ila ukichukua kama X6 nk... Mtihani kukitokea hitilafu
Yeah kama lile la Diamond X6 ile.sema ana uwezo ila X5 za nyuma naona wengi wanamudu. Kuna jamaa yangubaliibahatiaha ya mkononi 20 M miaka kama minne imepita anadunda nayo
 
Yeah kama lile la Diamond X6 ile.sema ana uwezo ila X5 za nyuma naona wengi wanamudu. Kuna jamaa yangubaliibahatiaha ya mkononi 20 M miaka kama minne imepita anadunda nayo
Ukizingatia miiko yake hutajuta kamwe
 
Kuyanunua sawa inaweza isiwe ghali ila kuyanaintain ndio mtihani ulipo!
Hahaaa.

Mwezi uliopita kuna kijiwe gani sijui kimepiga kwenye kioo. Ufa ukaanza kidogo. Ukawa unatambaa by the day.

Mzee mzima nikasema sitaki gozigozi kuendesha gari kioo kina ufa. Nikafanya research kioo cha mbele nafuu kilikuwa $450. Ukienda kichwa kichwa kuna sehemu mpaka $1200. Nikaambiwa kwa sababu kioo kina sensor ya kujua mvua inanyesha.

Nikasema isiwe tabu. Nikajipiga nikawekewa kipya.
 
Kuyanunua sawa inaweza isiwe ghali ila kuyanaintain ndio mtihani ulipo!
Tatizo mpaka leo VETA awafundishi Automotive Electronics ,mpaka leo sylubus yao ni Ya 1947 pijot na Landlover yenye only 5 wires (wirring nzima ya gari).Ata ukiend KJ Motors ambao ni dealer wa Toyota zipo Toyota mafundi wamechemka ishu za umeme! Tanzania bado tuna safari ndefu kwenye kuzalisha mafundi wa uhakika wa magari ya kisasa,LED TVs,Simu na Vifaa vypte vya kisasa vya Kielectronics mpaka vile vya mahospital....Natamani ningeanzisha darasa juu ya hivi vitu kama ningepata patners so sad pale unaponunua kifaa cha electronic alafu kikifa ujui fundi umpelekee nani
 
Hahaaa.

Mwezi uliopita kuna kijiwe gani sijui kimepiga kwenye kioo. Ufa ukaanza kidogo. Ukawa unatambaa by the day.

Mzee mzima nikasema sitaki gozigozi kuendesha gari kioo kina ufa. Nikafanya research kioo cha mbele nafuu kilikuwa $450. Ukienda kichwa kichwa kuna sehemu mpaka $1200. Nikaambiwa kwa sababu kioo kina sensor ya kujua mvua inanyesha.

Nikasema isiwe tabu. Nikajipiga nikawekewa kipya.
Hapo ilikuwa ulaji wa matraffic police maana wanahesabu ni kosa. Mi mwenyewe ni mhanga wa hivi vijiwe yaan vikishasababisha crack kidogo inaendelea.

Sasa hapo kwenye bei..kwa toyota isingezidi $100 au $200 kulingana na aina ya gari. Sasa hayo mambo ya sensor ya mvua tena? [emoji2]
 
Tatizo mpaka leo VETA awafundishi Automotive Electronics ,mpaka leo sylubus yao ni Ya 1947 pijot na Landlover yenye only 5 wires (wirring nzima ya gari).Ata ukiend KJ Motors ambao ni dealer wa Toyota zipo Toyota mafundi wamechemka ishu za umeme! Tanzania bado tuna safari ndefu kwenye kuzalisha mafundi wa uhakika wa magari ya kisasa,LED TVs,Simu na Vifaa vypte vya kisasa vya Kielectronics mpaka vile vya mahospital....Natamani ningeanzisha darasa juu ya hivi vitu kama ningepata patners so sad pale unaponunua kifaa cha electronic alafu kikifa ujui fundi umpelekee nani
This is sad kwa kweli. Mfano serikali inanunua mashangingi ya 2016 mapyaaa halafu watu wa kuyaendesha na kufanyia ukarabati ni wa miaka 47 wapi na wapi..matokeo yake gari ikienda service wanajua kureplace tu vifaa kurepair ni ngumu
 
Sijaandika mda mrefu sana jamiiforum lakini hapa kwa huyu mnyamwa umenishawishi niandike.
BMW ni balaa ni machine isiyo ya kawaida nadiriki kusema it's like imefungwa jet-engine. Machine is very stable ikikaa barabarani, speed skwambii kaangalie tu review ikilinganishwa na audi au M.benz ambazo zote zinaburuzwa. Machine inamuonekano wa kuvutia. Taa zake mbele ni amaizing
9cb66a914057ed873352287713d72dd4.jpg
6f3599f1d6fd07e147119664c89df8c8.jpg
aff198ee1f295c152cb1c22b18a8a74b.jpg
 
Hapo ilikuwa ulaji wa matraffic police maana wanahesabu ni kosa. Mi mwenyewe ni mhanga wa hivi vijiwe yaan vikishasababisha crack kidogo inaendelea.

Sasa hapo kwenye bei..kwa toyota isingezidi $100 au $200 kulingana na aina ya gari. Sasa hayo mambo ya sensor ya mvua tena? [emoji2]
Mashikolo mageni.

Rain sensor inafanya wipers zianze kufanya kazi automatically mvua ikianza kunyesha.

Rain Sensing Windshield & Wipers | Car Rain Sensors | Safelite | Safelite AutoGlass®
 
This is sad kwa kweli. Mfano serikali inanunua mashangingi ya 2016 mapyaaa halafu watu wa kuyaendesha na kufanyia ukarabati ni wa miaka 47 wapi na wapi..matokeo yake gari ikienda service wanajua kureplace tu vifaa kurepair ni ngumu
Mfano mpaka leo.Service ya gari mara nyingi wanabadili oil na oil filter. basi...kumbe ata airbags zinatakiwa kuwa checked na Computer kama zipo OK au hapana.Automatic brake System kama zipo OK au hapana na Sensors haya hayafanyiki..kweli kabisa safari bado ndefu.Serikali inatakiwa kuwekeza kwenye kuzalisha mafundi mchundo wengi kuendana na kasi ya teknolojia na ukuwaji wa uchumi
 
Mafundi wengi Tanzania ni magumashi!njaa tu .Fundi wa kweli awezi tumia lisaa limoja kama ana computer kujua tatizo.gari lina Computer system inaitwa Electronic Control Unity amabyo nayo ina software kama vile computer.Tatizo unaweza kuta hao mafundi wana diagnostic kit yenye let say bmw za mwaka 2002 mpaka na 2005 wakati BMW wanayotakiwa waicheck tatizo ni ya 2006! Hapa hizo computer zao azitoona tatizo.pia mafundi wengi hapa Tanzania awataki kujisomea wao ni try and erro.
Kwa sasa unaingi E bay unaweka part no.unalipia kwa Pay pal baada ya siku tatu DHL wanakugongea mlango spea zimeshafika.Mimi na X3 na wala sikosi usingizi wa kuwaza spea sijui nini.Watanzania walio wengi ni maji kufanta mkondo awajiongezi! Wananunua magari kufuata maongezi ya vijiweni,matokeo yake wanakuwa waoga ktk kubadilika
Mkuu mzigo unafika ndani ya siku tatu?
 
Kulinunua sio tatizo,tatizo ni kulifanya liendelee kukaa barabarani, upatikanaji wa spea ni mgumu kwa bongo pia ni ghali,unaweza kuwa na pesa lakini ukakosa spea bongo mpaka uagize toka nje!!
Dunia ya leo ugumu wa upatikanaji wa spare unatoka wapi? Siku hizi hadi kandambili ukitaka unaagiza kutoka duka la ujerumani wanakuletea hadi bongo.
 
Back
Top Bottom