Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashaangaa? Cheki Audi A4 B8 utastaajabu ulaji wake1litre kwa 15 km?
Bei yake inakuwaje?
Meaning??Bmw sio mbaya lakini hizo sifa ni za audi, vw na benz......
Yeah kama hicho kisport pichani.. Engine kubwa powerful marvellous looks... Mafuta stareheMkuu kuna 320td??? Yani kuna 320 ya Turbo?? Mbona wanasema 320 ni naturally aspitared????
Kiukweli ni gari nzuri...wenye mpango wa kununua magari ya kushuka 2007 bora wanunue 320 aisee interior yake haipitwi na wakati
(niunganishe na huyu jamaa, naweza tatua tatizo la gar yake)Kuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.
Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
Ila ukweli ni kua BMW 3 series ya ukweli ni F-30 hiyo ndo inaweza kuizidi A4 B8...ila e90 inaziburuza vibaya audi a4 b7 kushuka chini...Sijaandika mda mrefu sana jamiiforum lakini hapa kwa huyu mnyamwa umenishawishi niandike.
BMW ni balaa ni machine isiyo ya kawaida nadiriki kusema it's like imefungwa jet-engine. Machine is very stable ikikaa barabarani, speed skwambii kaangalie tu review ikilinganishwa na audi au M.benz ambazo zote zinaburuzwa. Machine inamuonekano wa kuvutia. Taa zake mbele ni amaizing![]()
![]()
![]()
Ila hizo si za ulaya mkuu...kwani Japan zinapatikana????Yeah kama hicho kisport pichani.. Engine kubwa powerful marvellous looks... Mafuta starehe
Mimi ni MGONJWA wa BMW kwahiyo naipa no moja hayo mengine sina mzuka nayo kabisa labda at least VW sportsMshana. Hebu yapange haya madude ya wajukuu wa Adolf kwa kuanzia na dude ambalo spea zake ni rahisi kupatikana. Mambo ya bei achana nayo.
BMW. BENZ. VW. AUDI.
Mkuu mzigo unafika ndani ya siku tatu?
Td...turbo dieselMkuu kuna 320td??? Yani kuna 320 ya Turbo?? Mbona wanasema 320 ni naturally aspitared????
Kiukweli ni gari nzuri...wenye mpango wa kununua magari ya kushuka 2007 bora wanunue 320 aisee interior yake haipitwi na wakati
Audi,VW spares zake ni cheap,zinaingiliana na zinapatikana kirahisi.Mshana. Hebu yapange haya madude ya wajukuu wa Adolf kwa kuanzia na dude ambalo spea zake ni rahisi kupatikana. Mambo ya bei achana nayo.
BMW. BENZ. VW. AUDI.
Ok. Thanks.Audi,VW spares zake ni cheap,zinaingiliana na zinapatikana kirahisi.
Mkuu kuna 320td??? Yani kuna 320 ya Turbo?? Mbona wanasema 320 ni naturally aspitared????
Kiukweli ni gari nzuri...wenye mpango wa kununua magari ya kushuka 2007 bora wanunue 320 aisee interior yake haipitwi na wakati
Spea kama ipi?Kulinunua sio tatizo,tatizo ni kulifanya liendelee kukaa barabarani, upatikanaji wa spea ni mgumu kwa bongo pia ni ghali,unaweza kuwa na pesa lakini ukakosa spea bongo mpaka uagize toka nje!!
Maisha lazima yawe na changamoto... If you choose to be xcluziv be ready to pay the price .....ipo ndugu... miaka kadhaa nyuma nilikuwa napush hyo 320 turbo diesel ila nikaisukuma baada ya vyuma kukaza since ilikuwa inaumiza kwenye spare parts nimerudi kwenye ulimwengu wa toyota... maana car enthusiast's wa bongo wanakwambia TOYOTA is our god SUZUKI is our jesus sasa jiroge utoke nje ya hizo brand na mfuko umetoboka
hakika!Maisha lazima yawe na changamoto... If you choose to be xcluziv be ready to pay the price .....