Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Sitegemei kama unapuliza mkuuNajua mkuu mlokole.. Ni uzi wangu ule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitegemei kama unapuliza mkuuNajua mkuu mlokole.. Ni uzi wangu ule
Unajua masaa tunatofautiana mkuu?? Siku tatu mpaka nne.kuna tatizo hapo au ??Mkuu mzigo unafika ndani ya siku tatu?
Ugumu upo mkuu,wewe vunja taa yako ya brevis(mfano tu), halafu mwingine avunje taa yake ya BMW halafu nendeni town uone nani ataipata kwa uharaka!wa brevis akienda ilala tu anapata taa fasta,haya mwenzangu na mimi wa BMW unaanzia wapi?si mpaka uagize toka nje wakati huo gari imepaki,mlolongo wa kuagiza mpaka uipate ni leo?!Dunoa ya leo ugumu wa upatikanaji wa spear unatola wapi? Siku hizi hadi kandambili ukitaka unaaguza kutoka duka la ujerumani wanakuletea hadi bongo.
mmhKuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.
Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
Kuna mtu ana alikuwa na bwm x5 ikafa feni ya a/c kubadilisha akaambiwa 1m...kuna siku nikarnda gereji nikqkuta bmw x5 nyingine imefunikeq turubai kuuliza tatizo nn nkaambiwa gear box imekufa bei yake bora ukanunua kluger mpyaUgumu upo mkuu,wewe vunja taa yako ya brevis(mfano tu), halafu mwingine avunje taa yake ya BMW halafu nendeni town uone nani ataipata kwa uharaka!wa brevis akienda ilala tu anapata taa fasta,haya mwenzangu na mimi wa BMW unaanzia wapi?si mpaka uagize toka nje wakati huo gari imepaki,mlolongo wa kuagiza mpaka uipate ni leo?!
Sio kwa majibu hayaNajua mkuu mlokole.. Ni uzi wangu ule
Kwanini
Si rahisi hvyo..Unajua masaa tunatofautiana mkuu?? Siku tatu mpaka nne.kuna tatizo hapo au ??
Si masikhara hayo magari!Kuna mtu ana alikuwa na bwm x5 ikafa feni ya a/c kubadilisha akaambiwa 1m...kuna siku nikarnda gereji nikqkuta bmw x5 nyingine imefunikeq turubai kuuliza tatizo nn nkaambiwa gear box imekufa bei yake bora ukanunua kluger mpya
Wacha wee..bora uwe hivi ndugu lakini yale mabishano yako uwe unapunguza braza.Mimi nina BMW SUV, X5. Electronics isues sijaona hivyo.
Ila pia baada ya muda kidogo nataka kujiongeza nichukue Porsche Macan S.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taratibu broDunoa ya leo ugumu wa upatikanaji wa spear unatola wapi? Siku hizi hadi kandambili ukitaka unaaguza kutoka duka la ujerumani wanakuletea hadi bongo.