kingjohn255
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 400
- 513
Sio kwamba genuine spare hazipo z Toyota zipo nyingi sana ila watanzania wengi hawapend vitu genuine kwa bei kubwa wao wana msemo wao nikiweka hiki kikipiga miezi mitatu ni mingi sana pia Toyota ni kampuni ambayo mchina amemtolea spare nyingi sana hii ni kutokana na mfumo wake aliouweka ni tofaut na magari ya ulaya ambayo ni ngumu kwa mchina kumtolea copy yakemkuu...tatizo mnauziwa vifaa feki vya toyota ndo maana mnadhani toyota ina vipuri vya bei rahisi...mnavyouziwa k.koo vingi si genuine...jaribu tu kuulizia vipuri genuine vya toyota alafu ulete majibu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mshana naona siku hizi umeachana na story za mauchawi na majini. BMW tumekusoma mkuu, vipi una uzoefu na Benz utupemo pia hints?View attachment 686106ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida...
Hakika!!Sio kwamba genuine spare hazipo z Toyota zipo nyingi sana ila watanzania wengi hawapend vitu genuine kwa bei kubwa wao wana msemo wao nikiweka hiki kikipiga miezi mitatu ni mingi sana pia Toyota ni kampuni ambayo mchina amemtolea spare nyingi sana hii ni kutokana na mfumo wake aliouweka ni tofaut na magari ya ulaya ambayo ni ngumu kwa mchina kumtolea copy yake
Mkuu naomba kuuliza hivi Vw touran na Vw golf touran ni gari mbili tofauti?na hili ndo tatizo la wabongo wengi...yani nyny mnajali UNAFUU zaidi kuliko USALAMA...
katka kitu ambacho mjapan amefel ni usalama...aisee ukipata ajali na gari za aina ya toyota usalama wako ndan ya gari unakuwa ni mdogo sana...sijui kwa nn watu hamdhamin UHANIwenu mnadhamini UNAFYU...
Mimi nina BMW SUV, X5. Electronics isues sijaona hivyo.
Ila pia baada ya muda kidogo nataka kujiongeza nichukue Porsche Macan S.
Hahaaa.
Mwezi uliopita kuna kijiwe gani sijui kimepiga kwenye kioo. Ufa ukaanza kidogo. Ukawa unatambaa by the day.
Mzee mzima nikasema sitaki gozigozi kuendesha gari kioo kina ufa. Nikafanya research kioo cha mbele nafuu kilikuwa $450. Ukienda kichwa kichwa kuna sehemu mpaka $1200. Nikaambiwa kwa sababu kioo kina sensor ya kujua mvua inanyesha.
Nikasema isiwe tabu. Nikajipiga nikawekewa kipya.
Mfano mpaka leo.Service ya gari mara nyingi wanabadili oil na oil filter. basi...kumbe ata airbags zinatakiwa kuwa checked na Computer kama zipo OK au hapana.Automatic brake System kama zipo OK au hapana na Sensors haya hayafanyiki..kweli kabisa safari bado ndefu.Serikali inatakiwa kuwekeza kwenye kuzalisha mafundi mchundo wengi kuendana na kasi ya teknolojia na ukuwaji wa uchumi
ABS kirefu chake ni nini?Hakuna automatic brake system ...ni antlock/ skid
ABS kirefu chake ni nini?
mkuu gudume labda nimekuelewa ila naomba niongeze jambo moja....
Audi na bmw ni mtoto wa shangazi na mjomba,,sema bmw ni mkubwa upande wa mjomba( kiumeni)vp kuhusu Audi