Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Nilikua nasoma kwenye website ya Forbes wiki iliyopita ,kuna kampuni inaitwa JD power huko US of A pamoja na ulaya ambapo ina deal na car rating. JD wanazipa kampuni za kutengeneza magari marks au points kutokana na ubora hasa breakdowns. Wanafanya vipi?

JD wanakusanya taarifa za Wateja wa gari mpya 100 kutoka kila brand kama Toyota,BMW,Mercedes, Hyundai etc. Baada ya hapo watakua wanalusanya report za breakdown kwa miezi 12 halafu watafananisha brand zote ili kujua ni brand gani wateja wake hawakwenda garage mara nyingi zaidi toka waliponunua gari.

So far kwa miezi 12 iliyopita Hyundai/KIA wameongoza kwa kuwa na matatizo machache zaidi katika kila gari 100 kuliko wateja wa brand nyingine. Brand ya mwisho kabisa kwenye reliability imekua ni BMW kwa na faults nyingi kuliko brand nyingine.
Hiyo ni general view kwa matakwa binafsi na vita ya ushindani wa biashara kimataifa... Bado mtu hataweza kunishawishi kwenye hizo tafiti za faults zinazompa mkorea alama nyingi kwakuwa mkorea ni mchanga sana na si maarufu kivile kwenye kuuza magari yake kimataifa
 
Hiyo ni general view kwa matakwa binafsi na vita ya ushindani wa biashara kimataifa... Bado mtu hataweza kunishawishi kwenye hizo tafiti za faults zinazompa mkorea alama nyingi kwakuwa mkorea ni mchanga sana na si maarufu kivile kwenye kuuza magari yake kimataifa
Kaka mshana mkorea sasaiv ni moto wa kuotea mbali,usisahau pia kwamba Hyundai/Kia ndiyo kampuni pekee ambayo inatengeneza magari kwa kutumia chuma chao wenyewe.Manufacturers wengine wananunua chuma kutengenezea magari wao wanazalisha wenyewe.

Pia shida nyingine hapo kwetu tz ni kwamba soko kubwa la magari ni ya zamani kuanzia miaka 8 na kuendelea,magari mapya ni machache sana lakini ya serikali ambayo ni Toyota na Nissan kidogo. Ukitizama soko la magari nchi zilizoendelea ushindani ni mkali sana kiasi kwamba Toyota hana free pass pamoja na akina BMW ,Mercedes nk.

Unakuta hakuna kampuni moja ambayo imeshika soko lote,kampuni inaweza hodhi segment flani tu ya soko,mfano pick up unakuta Toyota anaongoza,SUV kubwa Audi, hatchback BMW, ukija kwenye luxury sedans unakuta Mercedes na lexus wameshikana.

Hyundai/Kia wamekuja juu sana kwa sasa na pia wana luxury brand yao inaitwa Genesis ni moto wa kuotea mbali.Wao wanakula market share ya wakongwe kwa kuna na bidhaa reliable ambazo pia zina hold value mtu akinunua ikiwa mpya.Shida kubwa ya BMW nje ya reliability ni depreciation kaka, angalia beforward bei ya 7 series ya mwaka 2004 halafu fananisha na bei ya Lexus LS 500 sedan ya mwaka 2004 ushangae.
 
Kaka mshana mkorea sasaiv ni moto wa kuotea mbali,usisahau pia kwamba Hyundai/Kia ndiyo kampuni pekee ambayo inatengeneza magari kwa kutumia chuma chao wenyewe.Manufacturers wengine wananunua chuma kutengenezea magari wao wanazalisha wenyewe.

Pia shida nyingine hapo kwetu tz ni kwamba soko kubwa la magari ni ya zamani kuanzia miaka 8 na kuendelea,magari mapya ni machache sana lakini ya serikali ambayo ni Toyota na Nissan kidogo. Ukitizama soko la magari nchi zilizoendelea ushindani ni mkali sana kiasi kwamba Toyota hana free pass pamoja na akina BMW ,Mercedes nk.

Unakuta hakuna kampuni moja ambayo imeshika soko lote,kampuni inaweza hodhi segment flani tu ya soko,mfano pick up unakuta Toyota anaongoza,SUV kubwa Audi, hatchback BMW, ukija kwenye luxury sedans unakuta Mercedes na lexus wameshikana.

Hyundai/Kia wamekuja juu sana kwa sasa na pia wana luxury brand yao inaitwa Genesis ni moto wa kuotea mbali.Wao wanakula market share ya wakongwe kwa kuna na bidhaa reliable ambazo pia zina hold value mtu akinunua ikiwa mpya.Shida kubwa ya BMW nje ya reliability ni depreciation kaka, angalia beforward bei ya 7 series ya mwaka 2004 halafu fananisha na bei ya Lexus LS 500 sedan ya mwaka 2004 ushangae.
BMW n the like are Xcluziv beasts that why they are few... They are not for every one [emoji38] [emoji38] [emoji114] [emoji119]
 
Gari gani ambayo bmw inalingana na toyota brevis mtu kama wa singida atapata wapi spea labda awe anafata dar
Mbona Singida ndio njiapanda ya nchi mkuu. Ukishindwa kupata ukiwa Singida itakuwaje walioko Kigoma au nkasi, Sumbawanga??
 
Tatizo mpaka leo VETA awafundishi Automotive Electronics ,mpaka leo sylubus yao ni Ya 1947 pijot na Landlover yenye only 5 wires (wirring nzima ya gari).Ata ukiend KJ Motors ambao ni dealer wa Toyota zipo Toyota mafundi wamechemka ishu za umeme! Tanzania bado tuna safari ndefu kwenye kuzalisha mafundi wa uhakika wa magari ya kisasa,LED TVs,Simu na Vifaa vypte vya kisasa vya Kielectronics mpaka vile vya mahospital....Natamani ningeanzisha darasa juu ya hivi vitu kama ningepata patners so sad pale unaponunua kifaa cha electronic alafu kikifa ujui fundi umpelekee nani
Kuna kipindi tulikua tunaenda kijiji na Discover yale ya kizamani, likazingua njiani pale hedaru mafundi wa pale wakawa wanahangaika nalo siku 3 ndio ikapona,
Kichekesho sasa! ile siku tunaondoka mafundi wanamalizia gari yetu na walikua wa3 gari 1, mida ya saa 5 asubuhi jamaa kaja na Discover new model mpya inavujisha mafuta sana kibomba kilikatika, wote wakaacha gari yetu wakakimbilia ile iliyofika wakaingia chini wakachungulia wakakiona ila kukifikia mpaka wafungua kwa juu, walipofungua ule mfuniko wa juu ya injini wakaona namna ya kufungua mpaka wakifikie watashindwa kurudishia km ilivyo walianza kukimbia mmoja baada ya mwingine, wakamwambia jamaa akachukue chumba kabisa na demu alkua na mle maana wao hawezi mpaka fundi atoke moshi mjini au dar, jamaa alichoka lkn ikabidi akubali matokeo tuu.
 
Hahaaa.

Mwezi uliopita kuna kijiwe gani sijui kimepiga kwenye kioo. Ufa ukaanza kidogo. Ukawa unatambaa by the day.

Mzee mzima nikasema sitaki gozigozi kuendesha gari kioo kina ufa. Nikafanya research kioo cha mbele nafuu kilikuwa $450. Ukienda kichwa kichwa kuna sehemu mpaka $1200. Nikaambiwa kwa sababu kioo kina sensor ya kujua mvua inanyesha.

Nikasema isiwe tabu. Nikajipiga nikawekewa kipya.
[emoji23]
 
Kuna mtu ana alikuwa na bwm x5 ikafa feni ya a/c kubadilisha akaambiwa 1m...kuna siku nikarnda gereji nikqkuta bmw x5 nyingine imefunikeq turubai kuuliza tatizo nn nkaambiwa gear box imekufa bei yake bora ukanunua kluger mpya
aiseeh,, huyo mtu mlete hapa naye aongee lolote, maaana ntacheka sana najua[emoji23]
 
Maintainance ya hizo gari ni shida sana kwa raianwa kipato cha kawaida
 
Ata mimi nipo tayari kupingana hapa 😀. Usidanganywe na ule msemo wao "German Engeneering". Engine za hawa jamaa ni pain in a**. Tofauti kabisa na Toyota. Engine za toyota zipo very simple, hazina complications and easy and cheap to maintain. BMW/MB, ni wazuri kwenye kukuwekea latest technology, lakini hizi latest technology zao, ndio chanzo cha matatizo ya gari. The whole car ipo controlled with electronics, complicated electronics, kikifeli kitu utajuta. Kuna kipindi niliona BMW 7 series kutoka beforward, yaani mpaka inafika bandarini ni dola $2500 apo ukalipe ushuru tu tena. Nikaona this is a nice car, alot of features, kisha kitu ukiingia ndani kama upo kwenye ndege ivi, hata crown ya 2007 haingii ndani kwa hii kitu. Nikaona ngoja nitizame reviews ya hii gari. Ukweli ni kama imesettiwa ivi ikifika kuanzia kilomita laki moja jitaarishe kuvunja benki. Maana matatizo hayaishi. Common issue ni transmission failure. Out of nowhere, unaweza ukadrive ukajikuta gear 3 haingii, wala moja hairudi, inakwama kwenye 2 au inacheza kwenye 1 na 2. Speed ya gari nayo haivuki 40kmhr kwa sababu haibadilishi tena gia. Maintainance yake hapo, ni new Transmission tu. Sio kwamba sijui ubadilishe solenoid, unanunua new transmission na uombe hio transamission nayo bado inayo mda mrefu wa kuishi.

Ama ukija kwa comfortability na features, wajerumani wapo juu. Lakini when it comes to engine reliability, narudia tena, Mjapan (naongea kuhusu toyota) aachwe tu.

Ukitaka kujua kama hawa jamaa wana complicate mambo, BMW betri wanaweka nyuma ya gari (kwenye buti) halafu mbele kwenye engine compartment wameweka vichuma vya negative and positive kwa ajili ya kujump start gari, thats German engeneering
😀😀😀😀😀😀 hiyo yote kutaka kijiweka wa kipekee bora hizo watu wanaita mbolea kwakweli
 
Back
Top Bottom