Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Niliwahi kuandika hapa jukwaani kwamba Makonda ndio Rais ajaye baada ya Samia raia wakanishukia but time will tell. Jamaa ana uthubutu wa hali ya juu na anakubalika na wananchi kupita maelezo.

Jamaa ni jasiri na haogopi mtu wala kitu chochote.

Hayumbishwi wala hatishwi na kitu chochote.

Halafu ana " a saviour aura " watu wakimuona wana muona mkombozi na mtetezi wa maisha yao...

Adui zake wana tetemeka na kumuogopa kama mtu alie toa sadaka ya kuwatisha na kuwoagopesha adui zake vile.

Watu kama Makonda ndo wanapataga wafuasi watiifu kwa sababu kwa nature ya binadamu huwa anamkubali na kumuamini sana binadamu jasiri.

Halafu ni lichapa kazi kinoma noma.

Jamaa atakuja kuwa Rais na watu watashangaa.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Record ya Makonda inakubalika na wajinga tu.
 
Anaandaliwa hapo mbeleni ashike!!Lakini najiuliza 2025-2030 nani anasimama!!?

Tusubiri,labda majaliwa kwa muhula mmoja coz inaonekana ulinzinwake uliimarishwa!!

Sasa FDR vip!!?ataingiaje!!?

Haya!!!?
FDR nahis ataingia 2033 jarbu kuangalia mwaka aliozaliwa FDR zile tarakimu zake mbili za mwsho znafanana na Konda, pia kipind FDR anaingia urais alkuw na umri wa miaka 51, pia ikifika 2033 kijana atakuw ametimiza 51.......

Ukitak kuelewa zaid karejee kuusoma vizuri uzi wa Tumia akili
 
FDR nahis ataingia 2033 jarbu kuangalia mwaka aliozaliwa FDR zile tarakimu zake mbili za mwsho znafanana na Konda, pia kipind FDR anaingia urais alkuw na umri wa miaka 51, pia ikifika 2033 kijana atakuw ametimiza 51.......

Ukitak kuelewa zaid karejee kuusoma vizuri uzi wa Tumia akili
FDR? Eti GENTAMYCINE FDR ndio nani?
 
Ila P muda mwingne kuwa kimya, ili kuepuka aibu na fedheha ndogondogo zisizokua na maana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • tapatalk_1488873578481.jpeg
    tapatalk_1488873578481.jpeg
    79.3 KB · Views: 6
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Tuweke macho na masikio yetu wazi.

Nimekuelewa kaka. Uhalisia utajieleza
 
Alisemaga jk mnasema mim.mpole mpole sasa nawaletea chuma na kinatema chechee. Mwenez akipewa go ahead lumum ba pale wanaweza kubak watu 2 tu.

..anahitajika mtu mhuni na katili kama Magufuli, au kumzidi, ili watu wa chini yake kama Makonda waweze kushughulikia wengine huku chini.

..kama Mama Samia hatemi cheche usitegemee watu wa chini yake wakawa na nidhamu ya ukatili kama wakati wa Magufuli.

..jambo lingine linalompoza Mama Samia ni uoga wake kwa nchi za magharibi. Mama anataka mikopo toka magharibi hivyo hali hiyo inamtia hofu kuwa mkatili.
 
Niliwahi kuandika hapa jukwaani kwamba Makonda ndio Rais ajaye baada ya Samia raia wakanishukia but time will tell. Jamaa ana uthubutu wa hali ya juu na anakubalika na wananchi kupita maelezo.

Jamaa ni jasiri na haogopi mtu wala kitu chochote.

Hayumbishwi wala hatishwi na kitu chochote.

Halafu ana " a saviour aura " watu wakimuona wana muona mkombozi na mtetezi wa maisha yao...

Adui zake wana tetemeka na kumuogopa kama mtu alie toa sadaka ya kuwatisha na kuwoagopesha adui zake vile.

Watu kama Makonda ndo wanapataga wafuasi watiifu kwa sababu kwa nature ya binadamu huwa anamkubali na kumuamini sana binadamu jasiri.

Halafu ni lichapa kazi kinoma noma.

Jamaa atakuja kuwa Rais na watu watashangaa.
Halafu waziri Mkuu wake awe Dk. Ally Bashiru Kakurwa.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.


Paschal wewe ni mtu wa hovyo sana, kujipendekeza utaacha lini
 
Halafu waziri Mkuu wake awe Dk. Ally Bashiru Kakurwa.
Nchi itaenda mchaka mchaka.
Maana hawa wengine binafsi nawaona kama waimba mapambio tu. Sifa nyingi, lakini hakuna kinachofanyika zaidi ya kutupeleka kwenye lindi la umaskini uliotopea!
 
..anahitajika mtu mhuni na katili kama Magufuli, au kumzidi, ili watu wa chini yake kama Makonda waweze kushughulikia wengine huku chini.

..kama Mama Samia hatemi cheche usitegemee watu wa chini yake wakawa na nidhamu ya ukatili kama wakati wa Magufuli.

..jambo lingine linalompoza Mama Samia ni uoga wake kwa nchi za magharibi.
Ili tuendelee, tunahitaji watu wa aina ya PCM.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.

Niishie kusema wewe uzaeena vibaya.
 
Binafsi namwona ana nidhamu ya hali ya juu ndiyo maana baada ya kutoka madarakani aliweza kukaa kimya hadi alipoinuliwa tena.

..Ni muoga, asiyeweza kusemea wananchi mpaka awe ktk nafasi fulani ktk mfumo.

..Bashite angekuwa na uchungu na wewe, mimi, au nchi, angetoa kauli ktk mambo yanayohusu wananchi kama tozo, kikokotoo, bei ya mafuta, pembejeo, huduma za afya, nk.

..mikutano anayoifanya lengo lake ni kutulia hasira ya wananchi, na kuboresha taswira ya Ccm, kwa lengo la kubakia madarakani.

..Bashite amerejeshwa ili kuwanusuru walioko madarakani, na amekubali kutumika. Hayuko pale kutetea wananchi wanaotaabika kutokana na uongozi mbovu wa Ccm.
 
Back
Top Bottom