Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Wabunge watatu,wanasheria 8,maa dc 2,ma dk bingwa3,,,,haya tusubiri mwaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna kitu kimoja tena nilipo kiona ni waongo watu wamitandao ya jamii kila anayekufa kupakazia ni corona imeshamiri sana kwa jamaa mmoja kigogo na hawa wengine.hata mtu unaye mjua kaumwa na maradhi mengine alafu unakuja kusikia mtu hana sema mambo corona.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Uingereza ilipokuja Corona vifo vya magonjwa mengine navyo viliongezeka. Wamekuja kujua baadaye kuwa kumbe hata vingi vingine ilikuwa Corona.

Sina hakika kama umeielewa mada. Vifo vimeongezeka. Matatizo ya kupumua. Hakuna aliyesema ni Corona.

Haitushangazi vifo vimeongezeka? Haitushangazi ukisikia ni matatizo ya kupumua? Haitushangazi ni kwa nini ni siku za karibuni? Hatujali wala kuona kama hali sawa sawa.

Hatuoni kuwa kuna tatizo hadi litukute mlangoni. Kuna kitu halipo sawa.

Kama hatuoni hii ni serious tutakuwa watu wa ajabu mno.
 
Of course, inawezekana vifo mwaka huu ni vingi sana, na siwezi kushangaa kwa sababu hata mahali kama Dar es salaam ambako kwa kawaida kuna msimu mmoja tu wa mvua lakini kwa sasa tangia mwaka jana mwezi wa 9 mvua zimeendelea kunyesha na hazijakata bado!

Matokeo yake, madimbwi ya maji yameongezeka na yanashindwa kukauka kutokana na mvua za mara kwa mara, hali inayopelekea kuongezeka kwa mazalia ya mbu and eventually kuongezeka kwa ugonjwa wa malaria!

Pamoja na kuongezeka kwa malaria, hizi mvua zinasababisha baridi za mara kwa mara na hali inayopelekea kuibuka kwa magonjwa ya vichomi na pumu!

Kuongezeka kwa malaria, vichomi, pumu ambayo husababisha ugumu kwenye kupumua; yote hayo kwa pamoja bila shaka yana uwezo mkubwa wa kuongeza vifo!

Una lingine?!
HGL, HKL et el
 
Of course, inawezekana vifo mwaka huu ni vingi sana, na siwezi kushangaa kwa sababu hata mahali kama Dar es salaam ambako kwa kawaida kuna msimu mmoja tu wa mvua lakini kwa sasa tangia mwaka jana mwezi wa 9 mvua zimeendelea kunyesha na hazijakata bado!

Matokeo yake, madimbwi ya maji yameongezeka na yanashindwa kukauka kutokana na mvua za mara kwa mara, hali inayopelekea kuongezeka kwa mazalia ya mbu and eventually kuongezeka kwa ugonjwa wa malaria!

Pamoja na kuongezeka kwa malaria, hizi mvua zinasababisha baridi za mara kwa mara na hali inayopelekea kuibuka kwa magonjwa ya vichomi na pumu!

Kuongezeka kwa malaria, vichomi, pumu ambayo husababisha ugumu kwenye kupumua; yote hayo kwa pamoja bila shaka yana uwezo mkubwa wa kuongeza vifo!

Una lingine?!

Mambo haya hakuna yanayokufikirisha?

1. Hawakuwahi kufa wakuu wa wilaya 2 ndani ya wiki 3.
2. Hawakuwahi kufa wabunge 3 ndani ya wiki 3.
3. Rais hakuwahi kubakia kwao kwa zaidi ya mwezi mzima.
4. Hatukuwahi kupata ugonjwa shughuli zote za shule zikastishwa.
5. Hatukuwahi kuwa na mazishi ya kusimamiwa na serikali.
6. Hatukuwahi kuwa na mazishi waombolezaji wasiozidi 10
7. Nk nk

Yote haya yanatokea katika kipindi hicho hicho.

Kweli haya huyaoni na ni jasiri wa kuulizana kama kuna jingine?

Sote tupo dunia hii hii au wengine mnatokea anga za juu?
 
Mambo haya hakuna yanayokufikirisha?

1. Hawakuwahi kufa wakuu wa wilaya 2 ndani ya wiki 3.
2. Hawakuwahi kufa wabunge 3 ndani ya wiki 3.
3. Rais hakuwahi kubakia kwao kwa zaidi ya mwezi mzima.
4. Hatukuwahi kupata ugonjwa shughuli zote za shule zikastishwa.
5. Hatukuwahi kuwa na mazishi ya kusimamiwa na serikali.
6. Hatukuwahi kuwa na mazishi waombolezaji wasiozidi 10
7. Nk nk

Yote haya yanatokea katika kipindi hicho hicho.

Kweli haya huyaoni na ni jasiri wa kuulizana kama kuna jingine?

Sote tupo dunia hii hii au wengine mnatokea anga za juu?
What is your point, pal?!
 
What is your point, pal?!

Did you read your preceding comment that I replied to? What was your point patsy?!

Please get back to it or to your senses. If you gotta eyes, I promise, you won't miss it!
 
Hii Corona haiui kwenye kitu kimoja wakati mwingine inachochoe ugojwa mwingine na nampongeza sana Magu kwa kujificha kijijini kwa zaidi ya mwezi.

Kila siku tutasikia misiba lakini kibaya wale wengi ambao si wanasiasa hatuwasikiia.Tuombe Mungu dawa ipatikane maana hali ni mbaya.

Pamoja na ukweli kwamba ni ngumu kufunga la kuomba ni dawa kupatikana.

Kwahiyo serikali ndio huwa inapanga nani afe nani asife,kichwa sio kwa sababu yakufuga nywele tu tumia hata akili kupambanua mambo


Sent using IPhone X
 
sisi(watoto) tumelelewa hivyo kimizaha ndivyo tunakua hivyo kimizaha.

Kama mwenyewe ulivyokiri.
Akili yako nyembamba , haijajua methali,
Pembamba hukatika kamba,angalia fumbo hili,

Fumbo afumbiwe mjinga, mwerevu hung'amua.

Aliyekuwa mjinga ,akifundishwa hujua.

Mshairi huru Chakochangu.
 
Of course, inawezekana vifo mwaka huu ni vingi sana, na siwezi kushangaa kwa sababu hata mahali kama Dar es salaam ambako kwa kawaida kuna msimu mmoja tu wa mvua lakini kwa sasa tangia mwaka jana mwezi wa 9 mvua zimeendelea kunyesha na hazijakata bado!

Matokeo yake, madimbwi ya maji yameongezeka na yanashindwa kukauka kutokana na mvua za mara kwa mara, hali inayopelekea kuongezeka kwa mazalia ya mbu and eventually kuongezeka kwa ugonjwa wa malaria!

Pamoja na kuongezeka kwa malaria, hizi mvua zinasababisha baridi za mara kwa mara na hali inayopelekea kuibuka kwa magonjwa ya vichomi na pumu!

Kuongezeka kwa malaria, vichomi, pumu ambayo husababisha ugumu kwenye kupumua; yote hayo kwa pamoja bila shaka yana uwezo mkubwa wa kuongeza vifo!

Una lingine?!
Huu utaratibu wa kunawa kila wakati nao unatichanganya mkuu, hebu fafanua na hapa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Data siyo lazima mwisho wa mwaka. Tunaweza ku complile data ya first ,second and third quarter . Mwisho ya mwaka tunafunga hesabu.
 
Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Wengi tu wanajificha na kuchapa kazi. Unapojificha kuna kitu hutaki kikuone au unakikwepa-kwa mfano-Korona. Hata mimi nimejificha nyumbani kwangu lakini kazi nachapa. Utamu unakuja pale kwa Mzee Baba aliposepa. Nasikia anaongoza "vita" toka huko mafichoni-hata Churchil alijificha underground wakati wa vita kukwepa mabomu ya wajerumani (LoL). Jambo hapa ni perception-ni kweli amekimbia mdudu?
 
Did you read your preceding comment that I replied to? What was your point patsy?!

Please get back to it or to your senses. If you gotta eyes, I promise, you won't miss it!
I repeat, what's your point?! Don't you think it'd be wiser to directly respond to my question?!

Sounds like you're not sure of what exactly you're arguing, are you? If not, what's your point? Tiririka...
 
I repeat, what's your point?! Don't you think it'd be wiser to directly respond to my question?!

Sounds like you're not sure of what exactly you're arguing, are you? If not, what's your point? Tiririka...

I repeat, did you read your preceding comment that I had replied to?

Get back to your senses if you have any left with you, patsy. You had my promise - "you won't miss it!"

Miminika ....
 
Ni kwamba corona ikikukuta upo tit inakusukumiza!
kuna kitu kimoja tena nilipo kiona ni waongo watu wamitandao ya jamii kila anayekufa kupakazia ni corona imeshamiri sana kwa jamaa mmoja kigogo na hawa wengine.hata mtu unaye mjua kaumwa na maradhi mengine alafu unakuja kusikia mtu hana sema mambo corona.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom