Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

Mkuu cha kwanza ni elimu kuwa hivi ni vita vya taifa siyo vita vya mtu mmoja mmoja.

Mzee baba kule anatuangusha sana.

Maamuzi pale juu kwa mzee baba ni lazima yabadilike kulinusuru taifa hili.

Busara za marais wastaafu zinaweza saidia kumfunga huyu paka kengele. Watu hawawezi kuendelea kufa wakati wenye akili zao wakiangalia misukule ikitamalaki.
Bado hujawa specific nini kifanyike mazee!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itasaidia kuonyesha ukubwa au udogo wa tatizo na hasa hata kwa misukule kuelewa.

Kumbuka taarifa hakuna ili kuendelea kuwaaminisha misukule kuwa tatizo halipo.

Huwezi kuamini misukule inaamini idadi ya maambukizi ni 480 no more, no less tokea Apr 29!
Watakuwa akili zao wamezipeleka likizo kwa muda!
Hakuna ugonjwa kwanini shule bado zimefungwa?
Mahali nilipo barakoa na kuosha mikono ni compulsory mpaka sasa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii joining force mnamaanisha tukasaidiane na waganga na wauguzi au?
Maana tunaelekezwa kujikinga kwa mbinu za kisayansi, au kuna zingine tunakosea taifa lilipaswa kutuelekeza?( ukiondoa lockdown ya kiserikali ile fully,maana shule na vyuo tayari viko lockdown)
Heshima kwako Mkuu Pascal. Nikiri kuwa nakukubali sana kwa umahiri wako.

Lakini pia kwa umahiri wako huo huo kaka yangu Pascal, lazima kuweka maanani muktadha wa sasa.

We are in the midst of a pandemic the like of which the world has not experienced since 1919. The pandemic is among us in our villages, towns and cities, causing death and ruining the economy!

It is not the fault of anybody in Tanzania, and we should join forces to face it and combat it.

Why should we resort to denial whereas the reality is right here in front of us? [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi waliokufa kwa corona wanafika hata idadi ya waliolipukiwa na lori la mafuta pale moro mwaka jana? Je wanafika hata wale waliokufa maji kwenye ajari ya mv nyerere mwaka juzi? Kana sivyo iweje useme vifo vimeongezeka.

Ikitokea ukahifungia ndani kisha ukaamua kuitumia jf kama mwanahabari wako wa kukujurisha yaliyonje. Unawezadhani huko nje pametapakaa maiti tu kiasi kwamba hata pakukanyaga hamna. Yaani kama uko nje ya nchi na ukawa umaperuz jf unawezajua kuwa kule kwetu wameshaishako kumbe hujapoteza hata ndugu mumoja

Sent using Jamii Forums mobile app
We wa igombe huko mwanza vipi?
Nasikia karantini za buswelu na isangijo watu wamejaa sana wengine wanatoroka huko, hebu kafanye uchunguzi utuletee data, pia nasikia makaburi yamejaa sana mwanza kiasi hakuna pa kuzika tena na wazikaji pia wamechoka na wamekimbia kazi,mochwari za bugando na sekou toure nasikia hali tête na hospital za wilaya nyamagana na ilemela pia.
Tujuze mazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa nilikuhisigi ndio mbunge wa sumve, sasa alivorest in peace nashangaa bado upo.
Wasalimie hapo ddh, sumve luguru, mantare, kolomije na ishingisha kwa leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha..ndo ajaye, shukrani kwa hilo, baada ya bunge kuvunjwa nitatangaza nia na humu ndo itakuwa jukwaa langu la kwanza kutangazia nia, jf ni sehemu ya maisha yangu.

Salamu zimefika huko kote, kote kwenda mpaka Malya zimefika.
 
Hahaha..ndo ajaye, shukrani kwa hilo, baada ya bunge kuvunjwa nitatangaza nia na humu ndo itakuwa jukwaa langu la kwanza kutangazia nia, jf ni sehemu ya maisha yangu.

Salamu zimefika huko kote, kote kwenda mpaka Malya zimefika.

Wewe sio uligombea ukapigwa chini ukamlaumu sana marehemu?
Msalimie Mchele mwenye Ntunduru kama sio wewe mwenyewe!
 
Mambo haya hakuna yanayokufikirisha?

1. Hawakuwahi kufa wakuu wa wilaya 2 ndani ya wiki 3.
2. Hawakuwahi kufa wabunge 3 ndani ya wiki 3.
3. Rais hakuwahi kubakia kwao kwa zaidi ya mwezi mzima.
4. Hatukuwahi kupata ugonjwa shughuli zote za shule zikastishwa.
5. Hatukuwahi kuwa na mazishi ya kusimamiwa na serikali.
6. Hatukuwahi kuwa na mazishi waombolezaji wasiozidi 10
7. Nk nk

Yote haya yanatokea katika kipindi hicho hicho.

Kweli haya huyaoni na ni jasiri wa kuulizana kama kuna jingine?

Sote tupo dunia hii hii au wengine mnatokea anga za juu?

5 na 6 Sio kweli ushawahi shuhudia mazishi ya watu waliokufa kwa Cholera/Kipindipindu ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Kwanini anakimbia vikao na maraisi wenzake?
Kazi gani hiyo anayoifanya?
 
Back
Top Bottom