BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Kafa kwa tatizo gani?
Anazikwa lini?
Nilisikia alipelekwa kituo cha afya kwema akazidiwa usiku huo huo akafa kwa tatizo la upumuaji japo tetesi za kitaa wanasema alikuwa mgonjwa wa dozi za hisani ya watu wa marekani ( mtaani kuna maneno sana)
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anaumwa tangu kitambo tuu