Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

Kafa kwa tatizo gani?
Anazikwa lini?
Nilisikia alipelekwa kituo cha afya kwema akazidiwa usiku huo huo akafa kwa tatizo la upumuaji japo tetesi za kitaa wanasema alikuwa mgonjwa wa dozi za hisani ya watu wa marekani ( mtaani kuna maneno sana)

Sent using Jamii Forums mobile app

Alikuwa anaumwa tangu kitambo tuu
 
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Ngw'ana ngw'ise Tanzania uwezo wa kurekodi kila kifo kinachotokea inautoa wapi?

Na tena sasa hivi watu wengi wanafia majumbani zaidi na wala hawapelekwi cha mochwali hivi vifo wana virekodi kwa namna gani?

Wengine wako vijiji ambavyo havina hata ki-dispensary cha kanisa wanakufa daily wanajuaje hivi vifo?
 
Si nia ya uzi huu kuorodhesha visa vya tanzia tangia kuondokewa bila ya kutarajia na mama yetu mpendwa mama mchungaji. Ikumbukwe kuwa majina ambayo yamekuwa yakiripotiwa ikiwamo humu jamvini ni yale yenye kuhusisha majina makubwa makubwa tu.

Hapa ninaangazia matukio ya juzi peke yake kutokea katika maeneo ya vijijini kuonyesha hali iko je:

Juzi katika mazingira tata kama yanazolingana na sababu za tanzia zinazowekwa humu jamvini siku za hivi karibuni, mkuu wa kituo cha polisi Nyakanazi (Biharamulo) naye katangulia mbele za haki.

Mtu mdogo huyo vijijini huko. Kufariki kwake hakukuonekana mahali popote.

Juzi hiyo hiyo maeneo karibu na mizani ya Nyakahura (Biharamulo) amefariki mtu njiani akipelekwa hospitali akiwa na matatizo ya kupumua.

Juzi hiyo hiyo huko Kahama (Shinyanga) ofisa halmashauri wa wilaya alifariki ghafla kwa matatizo kama hayo hayo ya kupumua.

Nani anawajua wadogo hawa huko madongo kuinama kiasi cha kufanya iwe habari ya kuripotiwa popote? Hii ikizingatiwa pia kuwa, hata kwa hao wakubwa juhudi za kudunisha matukio yao zimekuwa kubwa kwa kiasi tunachokiona?

Hebu basi hata tuweke japo sababu za vifo pembeni. Hata kujiuliza tu, hivi hii kasi ya vifo ni sawa sawa pia hamna?

Tumekuwa kama tuliopigwa upofu. Tunetekwa na shetani. Tumekuwa mawakala kamili na waaminifu wa shetani. Hatuoni wala hatusikii hadi pale mmoja mmoja litakapomfika peke yake mlangoni?

Nakumbuka kale kawimbo:

"nyoka huyo, nyoka huyo" (kibwagizo)
"Mwache apite" (kiitikio)

"nyoka huyo, nyoka huyo" (kibwagizo)
"Mwache apite" (kiitikio)

Hadi wote wanaangamia na nyoka wakiwa wakiitik ia acha apite.

Matukio ni mengi sana lakini ajabu ya Mussa pana kaupepo kengine siku za hivi karibuni ka kuona mtu au watu kufa ni jambo la kawaida. Hakuna kujali wala kufuatilia. Eti kuwa hata zamani watu walikuwa wanakufa.

Walikuwa wanakufa hivi?

Dalili kamili za kumtumikia shetani.

Enyi mnaodunisha vifo vya wengine ni vyema mkajitathimni:

"you could be in possession of the devil. Faithful agents of the devil himself".

Badilikeni jamani mnatia kinyaa.

Mshereheshaji katika mazishi ya ruge,hakufanikiwa kurudi dsm,tuache upuuzi tutaisha kwa hofu kama ya kwako.
 
Wewe unabahati sana nimeokoka umbugira mbugira wako huo una bahati saba
Huko kuokoka kwako kunanihusu nini mimi?,we shika wokovu wako si kunambia na bahati

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Mshereheshaji katika mazishi ya ruge,hakufanikiwa kurudi dsm,tuache upuuzi tutaisha kwa hofu kama ya kwako.

Mkuu ni kweli mshehereshaji hakurudi lakini pia hakukuwa na tanzia nyingine kwenye tanzia ya ruge wala kwenye tanzia ya mshehereshaji.

Hali kadhalika hakukuwa na tanzia nyingine kati ya ruge na mshehereshaji about 7 days apart.

Tuacheni upuuzi wa kuwatoa watu kafara kwa ubinafsi wenu.

Leo tu hapa pana tanzia zaidi ya 4 and it is normal? Jana pia hivyo hivyo. Hivyo ni kweli hamuoni au mnaigiza?
 
kuna kitu kimoja tena nilipo kiona ni waongo watu wamitandao ya jamii kila anayekufa kupakazia ni corona imeshamiri sana kwa jamaa mmoja kigogo na hawa wengine.hata mtu unaye mjua kaumwa na maradhi mengine alafu unakuja kusikia mtu hana sema mambo corona.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Tumeshatahadharishwa virusi vya covid-19 vipo na dunia nzima inashuhudia cha muhimu ni kufuata masharti ya kujikinga na hili janga kuliko kusubiri serikali ikutangazie watu waliokufa kwa hili janga.
 
Huko kuokoka kwako kunanihusu nini mimi?,we shika wokovu wako si kunambia na bahati

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Ufala uache otherwise I'll be back to my evilness nikufundishe nidhamu
 
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Magufuli anatumia fursa ya corona kupiga hela. Maofisa wote wa serikali walioko huko, ikiwa ni pamoja na wasaidizi, wanausalama nk wote wako kwenye majengo na mahoteli yake yaliyotapakaa Chato nzima.
 
Ile ajali ya lori la mafuta Morogoro itasaidia sana ulingano.
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
 
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Pasco stop being an idiot as such, Chato kuna ikulu ya Rais wa Tanzania?
Does the President work from his home?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasco stop being an idiot as such, Chato kuna ikulu ya Rais wa Tanzania?
Does the President work from his home?

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya faida za jf ni kuelumishana
Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! - JamiiForums
When someone becomes a president, his status changes from being just a human being and turns into being an institution, rais sio binadamu bali ni Taasisi!.

His home is his home when he just eat, sleep and rest there, but if he works from home, then his home transforms into Ikulu ya Chato!.
Most welcome
P
 
Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.

Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.

Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!

P
Yani wewe mzee hujitambua wallah mbaya zaid teuzi zote zinakupita kushoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba kuna umafia unaendelea dhidi ya wahasimu halafu tunasingizia corona
 
Pamoja na kupigwa kimya, tatizo lipo na watu wanafariki hata kama hatupewi taarifa na wanaotakiwa kutoa ila wenye uwezo wa kusema na kupeana taarifa sisi na sisi tunazipata.
Hatari sana kusema kweli, huu ukimya kwenye utoaji wa takwimu unatia mashaka.
 
Pasco stop being an idiot as such, Chato kuna ikulu ya Rais wa Tanzania?
Does the President work from his home?

Sent using Jamii Forums mobile app
Amejikarantini na kujilokidauni kwao mazee, huku anamuhudumia mama yake mzazi, aje apambane vipi wataka?
Kazi za watu wa afya yeye anapokea taarifa na kuzifanyia kazi tu!
By the way, hata wabunge wetu wako makwao wakijitizamia afya zao nasi wapiga kura tunaendelea kuchapa kazi huku tukijikinga kadri ya uwezo wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom