Bado hujawa specific nini kifanyike mazee!Mkuu cha kwanza ni elimu kuwa hivi ni vita vya taifa siyo vita vya mtu mmoja mmoja.
Mzee baba kule anatuangusha sana.
Maamuzi pale juu kwa mzee baba ni lazima yabadilike kulinusuru taifa hili.
Busara za marais wastaafu zinaweza saidia kumfunga huyu paka kengele. Watu hawawezi kuendelea kufa wakati wenye akili zao wakiangalia misukule ikitamalaki.
Watakuwa akili zao wamezipeleka likizo kwa muda!Itasaidia kuonyesha ukubwa au udogo wa tatizo na hasa hata kwa misukule kuelewa.
Kumbuka taarifa hakuna ili kuendelea kuwaaminisha misukule kuwa tatizo halipo.
Huwezi kuamini misukule inaamini idadi ya maambukizi ni 480 no more, no less tokea Apr 29!
Amejikarantini home kwao mazee..UNAWEZA KUTUPA KUTUPA SABABU WHY ASIWE MAGOGONI AU CHAMWINO!.. HATA CHIZI ANAJUA KUA AMEJIFICHA
Hivi hatuwezi kuja kufungua kesi za 'mauaji ya kimbari' kwa watu waliokuwa na dhamana ila wakazembea na kusababisha watu wengi kufariki?
Heshima kwako Mkuu Pascal. Nikiri kuwa nakukubali sana kwa umahiri wako.
Lakini pia kwa umahiri wako huo huo kaka yangu Pascal, lazima kuweka maanani muktadha wa sasa.
We are in the midst of a pandemic the like of which the world has not experienced since 1919. The pandemic is among us in our villages, towns and cities, causing death and ruining the economy!
It is not the fault of anybody in Tanzania, and we should join forces to face it and combat it.
Why should we resort to denial whereas the reality is right here in front of us? [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa nilikuhisigi ndio mbunge wa sumve, sasa alivorest in peace nashangaa bado upo.
Wasalimie hapo ddh, sumve luguru, mantare, kolomije na ishingisha kwa leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
We wa igombe huko mwanza vipi?Hivi waliokufa kwa corona wanafika hata idadi ya waliolipukiwa na lori la mafuta pale moro mwaka jana? Je wanafika hata wale waliokufa maji kwenye ajari ya mv nyerere mwaka juzi? Kana sivyo iweje useme vifo vimeongezeka.
Ikitokea ukahifungia ndani kisha ukaamua kuitumia jf kama mwanahabari wako wa kukujurisha yaliyonje. Unawezadhani huko nje pametapakaa maiti tu kiasi kwamba hata pakukanyaga hamna. Yaani kama uko nje ya nchi na ukawa umaperuz jf unawezajua kuwa kule kwetu wameshaishako kumbe hujapoteza hata ndugu mumoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko chato?Magufuli anatumia fursa ya corona kupiga hela. Maofisa wote wa serikali walioko huko, ikiwa ni pamoja na wasaidizi, wanausalama nk wote wako kwenye majengo na mahoteli yake yaliyotapakaa Chato nzima.
Ukweli ni kwamba kuna umafia unaendelea dhidi ya wahasimu halafu tunasingizia corona
Umenikumbusha mbali sana sumve high lenga mbali.....Na Mimi nilihisigi Kama wewe ila Sasa hiv nahis atakua au alikua mwalimu wa Sumve high, ajira ya mwaka 2015
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha..ndo ajaye, shukrani kwa hilo, baada ya bunge kuvunjwa nitatangaza nia na humu ndo itakuwa jukwaa langu la kwanza kutangazia nia, jf ni sehemu ya maisha yangu.We jamaa nilikuhisigi ndio mbunge wa sumve, sasa alivorest in peace nashangaa bado upo.
Wasalimie hapo ddh, sumve luguru, mantare, kolomije na ishingisha kwa leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha..ndo ajaye, shukrani kwa hilo, baada ya bunge kuvunjwa nitatangaza nia na humu ndo itakuwa jukwaa langu la kwanza kutangazia nia, jf ni sehemu ya maisha yangu.
Salamu zimefika huko kote, kote kwenda mpaka Malya zimefika.
Mambo haya hakuna yanayokufikirisha?
1. Hawakuwahi kufa wakuu wa wilaya 2 ndani ya wiki 3.
2. Hawakuwahi kufa wabunge 3 ndani ya wiki 3.
3. Rais hakuwahi kubakia kwao kwa zaidi ya mwezi mzima.
4. Hatukuwahi kupata ugonjwa shughuli zote za shule zikastishwa.
5. Hatukuwahi kuwa na mazishi ya kusimamiwa na serikali.
6. Hatukuwahi kuwa na mazishi waombolezaji wasiozidi 10
7. Nk nk
Yote haya yanatokea katika kipindi hicho hicho.
Kweli haya huyaoni na ni jasiri wa kuulizana kama kuna jingine?
Sote tupo dunia hii hii au wengine mnatokea anga za juu?
Kwanini anakimbia vikao na maraisi wenzake?Mkuu Kamundu , headline haiendani na main body, kwenye headline unazungumzia misiba mingi kuliko mwaka jana, hii ni issue ya data, subiri tufike mwisho wa mwaka, kisha tupate death toll ya mwaka jana compared na ya mwaka huu!.
Matangazo tuu ya vifo ndio mengi, ila jumla ni subiri mwisho wa mwaka, Wote wanaokufa kwa Corona walikuwa na issues zao za kiafya kabla, Corona ni kuwawahisha tuu.
Mzee Baba hajajificha, he is working from Ikulu ya Chato na kila siku tunamuona anapiga kazi kutokea pale unasema kajificha, kajificha vipi wakati pale ni kwake?!
P
No hakimbii vikao ni mambo madogo tuu ya lingua!.Kwanini anakimbia vikao na maraisi wenzake?
Kazi gani hiyo anayoifanya?
Kwanini akae huko takribani miezi miwili wakati office yake rasmi ni Dar au Dodoma?No hakimbii vikao ni mambo madogo tuu ya lingua!.
P
Ras Simba atumiwe tiketi ya basi Hadi mji Mtakatifu akafanye kazi, maana tumesha anza kutengwaNo hakimbii vikao ni mambo madogo tuu ya lingua!.
P