Bado kuna wazazi wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili

Mwaka 1999 ndio naanza shule, wewe unamaliza LA SABA 🤣🤣🤣🤣

Humu kuna vikongwe mnatupigia kelele sana
 
Well said
 
Amri kutoka kwa mungu au ulevi wako tu na elimu kiduchu uliyonayo?

Haiwezekani zee lina miaka hamsini bado linazaa tu!

Mtoto wako anazaa na wewe unazaa! SHAMEFUL!

Mnakuwa kama familia ya masungura!
Wanakuwa wanajenga ukoo wa hovyo sana
 
Pole wewe maskini wa fikra usiyejua nini maana ya maendeleo .Ndiyo maana huwa mnamshangaa Babu yangu anamiliki ng'ombe elfu kumi mnasema maskini mkiwa mnamiliki tafsiri kuwa lazima aishi ghorofani.
Ok Mkuu wewe Ni mjuzi
 
Kwa hiyo mwanaume aliyeoa binti yako anakuja kumpa hongera mkeo (mama mkwe wake) kwa kujifungua mtoto mchanga (shemeji yake)?
Tatizo liko wapi Sasa akijakupongeza?

Unataka kumaanisha, mtoto wako akiolewa Basi unatakiwa kutengana vyumba na mkeo ili watu wajue huwa hamfanyi chochote?

Mama mkwe kuzaa kunaleta shida gani ndugu

Inamaana tatizo lenu ni kuonekana baba anafanya mapenzi na Mama wakati binti yao ameanza kufanya mapenzi?
 
Mim kuna mtu ana miaka 65 lakin Mimi Ni mjomba wake
 
Hakika dunia ni uwanja wa fujo
 
Binafsi hii kitu pia siipendi.Mama kuendelea kuzaa na watoto wake nao wanazaa.Kwa case ya kwamba alianza uzazi akiwa bado Mdogo inaeza ikawa Sawa.Lakini katika mazingira ya kawaida mama ana miaka50 anajifungua mtoto wa Saba huko,na mwanae anajifungua mtoto wa pili.Dah kwangu naona sio kitu kizuri Sana.Nani atamsaidia mwenzie kubembeleza mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…