Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #421
Mkuu, either you respect me or not, I don't care, msimamo wangu utabaki pale pale kwamba binadamu hatakiwi kuzaa hovyo kama sungura. Mama/baba anazaa sambamba na watoto? Alikuwa wapi siku zote?Hujapangiwa bosi wala hakuna malipo
Hoja Tu imekua kituko
Unataka kuwapangia wazazi wazae lini lakini hutaki feedback ukipost kwenye public forum
I respect you a lot kamanda.... Ila Leo aisee
Daaah welcome to AfricaMiaka 18huyo mkubwa Sana , wamasai ni kuanzia 14
Sawa mkuuMmenikumbusha marehemu babu yangu mzaa mama.
Mimi kwenye familia ni mtoto wamwisho ila nina mama zangu wadogo wawili ambao wananiamkia. Na hapo mama yangu sio mtoto wakwanza kwao. Yani mjukuu wakwanza wa marehemu babu amewazidi umri wajomba zake na mama zake wadogo wengi sana.
Zaa tu mzee baba lakini wanao wakianza kukaribia kuzaa acha mkuuBasi na mimi nalalamika kwa nini wasizaee,waendeleee jamanii tuongeze jamiiii.
Na mimi nimeweka hoja hapo mkuu kwa sababu nimelalamika tayari.😀😀😀
Unadhani hao akina mfalme Solomon, Abraham na wengine walizaa Kwa muda gani?Mkuu, either you respect me or not, I don't care, msimamo wangu utabaki pale pale kwamba binadamu hatakiwi kuzaa hovyo kama sungura. Mama/baba anazaa sambamba na watoto? Alikuwa wapi siku zote?
Ndio ninawajua my wangu. Wamefanyaje?Unawajua wasukuma?
Hii ni aibu sana kwa familia mkuuMtu anazaa miaka 14 , baadae wanazaa kwa pamoja mama na Mwana.
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Hatari sana mkuuKimbembe ni pale Mwanaume mstaafu anapotegeshewa mimba sababu ya kuponzwa na mafao yake!
Sawa mkuu. Wee ishi utakavyo lakini usivunje sheria za nchi wala maadili ya jamii uliomoHaya mambo ya kupangiana maisha inabidi ifike wakati tuyaache jamani.