Bado kuna wazazi wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili

Aisee..sijakupata vizuri. Siyo wanawake ndiyo wana hizo mila
 
Uswahilini ni dhambi kufunga kizazi. Hao uliozaa Mungu akiwapenda zaidi na wewe kizazi ushampa paka!
 


Hapana! Unakosea kusema for everybody!!

Tuzae kwa mpangilio na uwezo! You can still have ten kids and afford to take care of all the necessities ikiwa ni pamoja na huduma bora kabisa za afya na elimu, malazi na chakula! Na sio bora huduma!!
 
Katika vitu natamani maishani Basi Ni watoto wengi,, ingelikuwa nimezaliwa enzi za mabibi zangu, nikawa ktk hali nzuri kihuduma na afya watoto 12-15 ningewazaa,,
Ila kwa usasa huu nitajitahidi kufanya nusu yake,

Nikirudi kwenye mada yako umeileta mada as if unajua historia ya wanawake wote ktk uzazi wao, marehemu baba yangu alizaliwa style hii hii maana tayari dada yake alikuwa kashaolewa na kuzaa binti yake hivyo yeye (baba) alizidiwa miaka 2 na mpwa wake,,

Ni kawaida sana kwa mama kuzaa pamoja na binti yake na hii hutokea sana km firstborn akiwa ni wa kike na Kama ujuavyo wanawake wengi vijijini wanaolewa 17-22, Sasa akipata mtoto ktk umri huo na akawa wa kike,, huyo binti nae akikua akaolewa umri km wa mama yake uwezekano wa kukutana clinic Ni mkubwa mno

Wanawake wengi wanachofanya kukwepa maneno ya washenzi km wewe mtoa mada huwa wanatoa mimba kukwepa eti 'aibu'
,Bibi yangu angefanya huu ujinga ni wazi nisingeiona hii dunia,
nasikia unajiita last born, mada ya leo umetumia akili zako za kilast born maana huwa mnadeka na kulalamika ovyo tu,

mwisho kabisa Kama Jambo analofanya mwingine halikudhuru Basi tupunguze shobo na viherehere kwenye maisha ya wengine
 
Huyo mtoto wa pili wataka kumpata kibahati mbaya ama ushapata mume?
Na huyo mume itabidi umwangalie vizuri asije akala kuku na mayai yake maana ushasema mtoto keshavunja ungo tayari.
 
Wakubwa wakizaa wewe unadhurika nini?
Mradi hawazai na wewe kuna shida ipi?
 
Zaeni mkaijaze nchi...
Km unaweza kufikiri kuwa watoto wawili wataweza kufanya uwe na furaha,
Sasa kwann umuogope anaepata furaha yake kwa kuwa na watoto wengi?
Tuwajal watoto.
 
Acha uoga mkuu...
Sheria yoyota iliyotofauti na nature ni batili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…