Najuwa kelele ni nyingi kila Kona, kila chawa na kila mlamba asali 5 tena.
Ila nataka kuwakumbusha kama vile hamkujuwa yule ajaye na yule aondokaye ndivyo itakavyo kuwa 2025.
Kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uwamuxi ulio sahihi kwa uhai na afya la Taifa.
Mtachaguwa 5 tena au busara ktk 5 tena.
5 tena ni sunami inayokuja na kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uchaguzi sahihi mtaliponya Taifa.
Ipo njia inaonekana kuwa njema mbele ya Taifa ila mwisho ni kiama.
Kama Taifa lilikutana na msiba na nyie mwautumia msiba kufanya kile sio mapenzi ya Mungu basi kumbukeni hata misaafu. Yakuwa Taifa lisilo na vision basi Hilo huwangamia je Nini vision ya Taifa kabla ya msiba? Bado Mungu anazungumza na Taifa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤐🙏🙏🙏
View: https://m.youtube.com/watch?v=UJZylxUq074
Ila nataka kuwakumbusha kama vile hamkujuwa yule ajaye na yule aondokaye ndivyo itakavyo kuwa 2025.
Kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uwamuxi ulio sahihi kwa uhai na afya la Taifa.
Mtachaguwa 5 tena au busara ktk 5 tena.
5 tena ni sunami inayokuja na kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uchaguzi sahihi mtaliponya Taifa.
Ipo njia inaonekana kuwa njema mbele ya Taifa ila mwisho ni kiama.
Kama Taifa lilikutana na msiba na nyie mwautumia msiba kufanya kile sio mapenzi ya Mungu basi kumbukeni hata misaafu. Yakuwa Taifa lisilo na vision basi Hilo huwangamia je Nini vision ya Taifa kabla ya msiba? Bado Mungu anazungumza na Taifa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤐🙏🙏🙏
View: https://m.youtube.com/watch?v=UJZylxUq074