Usiwe na shaka, tumeisha mshauri kwa sauti HIIKwenye ushauri wa sauti
Tanzania itakuwa Taifa takatifu, Nchi ya AGANO,
Mlawi!!tumpe nani Sasa ??, maana kila niki tazama sioni angalau mwanga wa tumaini !.
Jpm Ali pewa mitano tu, alipo jaribu jiongezea, aka lambishwa pipi ya panya.
mpango alipo upata umakamu, aka jaribu kukoroma kidogo. Ila naye waka amua kumkumbusha hapo tume kuazima tu.
haya tuli furahi mlipo tuondolea maembe, maana ni rasmi wazee wa tabasamu wange simika mizizi!!.
nauliza nani nani atufaae!!, awe kinyume na wadhalimu. nani atakuwa kidume 2025!
Najuwa kelele ni nyingi kila Kona, kila chawa na kila mlamba asali 5 tena.
Ila nataka kuwakumbusha kama vile hamkujuwa yule ajaye na yule aondokaye ndivyo itakavyo kuwa 2025.
Kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uwamuxi ulio sahihi kwa uhai na afya la Taifa.
Mtachaguwa 5 tena au busara ktk 5 tena.
5 tena ni sunami inayokuja na kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uchaguzi sahihi mtaliponya Taifa.
Ipo njia inaonekana kuwa njema mbele ya Taifa ila mwisho ni kiama.
Kama Taifa lilikutana na msiba na nyie mwautumia msiba kufanya kile sio mapenzi ya Mungu basi kumbukeni hata misaafu. Yakuwa Taifa lisilo na vision basi Hilo huwangamia je Nini vision ya Taifa kabla ya msiba? Bado Mungu anazungumza na Taifa
Kiongozi umejiunga JF jumatatu nini?! Hicho kichwa unachojaribu kubato nacho sio saizi yako.Mwandiko tu unaonyesha wewe lafa kiasi gani. ila JF ina viumbe vya ajabu kweli!
Yupo kati yetutumpe nani Sasa ??, maana kila niki tazama sioni angalau mwanga wa tumaini !.
Jpm Ali pewa mitano tu, alipo jaribu jiongezea, aka lambishwa pipi ya panya.
mpango alipo upata umakamu, aka jaribu kukoroma kidogo. Ila naye waka amua kumkumbusha hapo tume kuazima tu.
haya tuli furahi mlipo tuondolea maembe, maana ni rasmi wazee wa tabasamu wange simika mizizi!!.
nauliza nani nani atufaae!!, awe kinyume na wadhalimu. nani atakuwa kidume 2025!
Sipo katika misingi ya kisiasa lakini naamini tanzania ni nchi ya AGANO, Ipo saa mataifa wataikimbilia!, Amein.Tanzania itakuwa Taifa takatifu, Nchi ya AGANO,
Mungu atainua kiongozi mkuu ambaye atasema hadharani kuwa Yesu ni BWANA Mungu.( Aliyeokoka).
Nuru kuu itaonekana Tanzania na mataifa yakakuja kuitafuta na kuifurahia Nuru hiyo, hivyo Utalii utaongezeka mara dufu.
Umebarikiwa sana Nyikani.
Amen
Mhh naona ardhi ya wamasai tayari.
Ndiyo. Au una jibu lako mfukoni? Ka jk alivyokuwa na jina la membe mfukono wakati ule?Najuwa kelele ni nyingi kila Kona, kila chawa na kila mlamba asali 5 tena.
Ila nataka kuwakumbusha kama vile hamkujuwa yule ajaye na yule aondokaye ndivyo itakavyo kuwa 2025.
Kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uwamuxi ulio sahihi kwa uhai na afya la Taifa.
Mtachaguwa 5 tena au busara ktk 5 tena.
5 tena ni sunami inayokuja na kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uchaguzi sahihi mtaliponya Taifa.
Ipo njia inaonekana kuwa njema mbele ya Taifa ila mwisho ni kiama.
Kama Taifa lilikutana na msiba na nyie mwautumia msiba kufanya kile sio mapenzi ya Mungu basi kumbukeni hata misaafu. Yakuwa Taifa lisilo na vision basi Hilo huwangamia je Nini vision ya Taifa kabla ya msiba? Bado Mungu anazungumza na Taifa๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐ค๐๐๐
View: https://m.youtube.com/watch?v=UJZylxUq074
Mungu anazungumza na Taifa. Mungu anazungumza na Watanzania bara na visiwani. Je hamuoni yakuwa yale yatatukia 2025 bado mnashindana na Mungu? HayaNajuwa kelele ni nyingi kila Kona, kila chawa na kila mlamba asali 5 tena.
Ila nataka kuwakumbusha kama vile hamkujuwa yule ajaye na yule aondokaye ndivyo itakavyo kuwa 2025.
Kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uwamuxi ulio sahihi kwa uhai na afya la Taifa.
Mtachaguwa 5 tena au busara ktk 5 tena.
5 tena ni sunami inayokuja na kama Taifa mtajifunza kwa Yale yametokea nakufanya uchaguzi sahihi mtaliponya Taifa.
Ipo njia inaonekana kuwa njema mbele ya Taifa ila mwisho ni kiama.
Kama Taifa lilikutana na msiba na nyie mwautumia msiba kufanya kile sio mapenzi ya Mungu basi kumbukeni hata misaafu. Yakuwa Taifa lisilo na vision basi Hilo huwangamia je Nini vision ya Taifa kabla ya msiba? Bado Mungu anazungumza na Taifa๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐ค๐๐๐
View: https://m.youtube.com/watch?v=UJZylxUq074