Bado nafasi mbili wazi Katibu Mkuu CCM na Waziri wa Fedha, hivyo January, Dkt. Nchimbi na Dkt. Mwigulu vuteni subra

Bado nafasi mbili wazi Katibu Mkuu CCM na Waziri wa Fedha, hivyo January, Dkt. Nchimbi na Dkt. Mwigulu vuteni subra

Mwanry kuwa katibu mkuu CCM
Ni katika kuwatia moyo makada wa CCM ndugu zangu January Makamba, Dr Nchimbi na Mwigullu Nchemba kwamba wawe na subra nafasi bado zipo.

Bado kuna nafasi ya Katibu mkuu wa CCM iko wazi.

Kadhalika imejitokeza nafasi nyingine nyeti ya Waziri wa fedha.

Ila na nyie muachane na hayo makundi yenu ya urais kwa sababu 2030 bado ni mbali sana!

Maendeleo hayana vyama!
 
In short wote wapitie mafaili yai confidential a wanayo kuanzia utendaji , ufisadi insubirdination , kuunda mitandao,Kutoheshimu katiba ya CCM eg Mwigulu hajafuta maandishi ya Chagua Mwigulu 2015 kwenye mawe nchi nzima wakati chama hata kilikuwa hakijamteua mgombea kachafua mawe nchi nzima barabarani halmashauri ilitakiwa wamdai kodi ya mabango

Hao wengine wanajijua .Nchimbi anajijua na ufisadi wake na Lowasa wake akiwa vijana

Makamba ni mtu wa business as usual sii mbunifu ni mtu tu wa mifaili nayo hata utendaji hawezi .Mifuko ya Plastic alipewa assignment ndogo alishindwa kuimaliza

Wawekezaji walikuwa hadi wakiondona kwa umangi meza wake wa kufanya impact eniviroment assesment hadi watoe pesa ndio aidhinishe hana spidi kwenye maaumuzi na ni laizer faire fulani hivi spi ya kazi hana
 
Kama mnashindwa kumtambua rais aliyeko madarakani na kukubaliana na miradi ya kimkakati mmebaki kupinga nani atawapa ushirikiano. Badilikeni vinginevyo mtasubiri sana, Wazanzibari wamegundua kuwa siasa zimewachelewesha sasa hawataki tena vurugu za kisiasa. Umeona jana uchaguzi kule ACT kachukua na bado vyama vyote vimekubali matoke kwa maslahi ya zanzibar, lakini kwa siasa za bara mpaka upinzani ujifunze.
Rais ambaye hata kusimamia kwa HAKI na USAWA zoezi dogo tu la kuchaguana kwa HAKI hawezi - HAKI ni suala muhimu sana kwa binadamu - hata nyumbani kwako kajaribu kuondoa neno HAKI then uone kitakachokutokea after sometime.
 
In short wote wapitie mafaili yai confidential a wanayo kuanzia utendaji , ufisadi insubirdination , kuunda mitandao,Kutoheshimu katiba ya CCM eg Mwigulu hajafuta maandishi ya Chagua Mwigulu 2015 kwenye mawe nchi nzima wakati chama hata kilikuwa hakijamteua mgombea kachafua mawe nchi nzima barabarani halmashauri ilitakiwa wamdai kodi ya mabango

Hao wengine wanajijua .Nchimbi anajijua na ufisadi wane na Lowasa wake akiwa vijana

Makamba ni mtu wa business as usual sii mbunifu ni mtu ti wa mifaili nayo hata utendaji hawezi .Mifuko ya Plastic alipewa assignment ndogo alishindwa kuimaliza

wawejezaji walikuwa hadi wakiondona kwa umangi meza wake wa kufanya impact eniroment assesment hadi watoe pesa ndio aidhinishe hana spidi kwenye maaumuzi na ni laizer faire fulani hivi spi ya kazi hana
Nimekuelewa mkuu!
 
Bashiru alitokea CUF akawa Katibu Mkuu wa CCM Taifa kabla ya kuwa Mwanachama

Polepole kawa Katibu Mwenezi huku akiwa sio Mwana Ccm

Mwingine alitoka JWTZ akawa Katibu wa Uchumi wa Chama wakati si Mwanachama

Makosa hayarudiwi

Jahazi linarudishwa Baharini linatolewa kwny 'Swiming pool'

Tungekuwa na katiba inayoruhusu uundwaji wa Serikali ya pamoja na vyama vya upinzani basi kuna majenbe mazuri mno yapo yametulia tu huko!!
 
Tunahitaji mtu ambaye ana experience na masuala ya fedha , hatuitaji politician , hatuhutaji kuitwa wanyonge tena, hatuhitaji kuitwa maskini tena, mana watu wanakutwa na viroba vya dola majumbani, tunahitaji watu ambao hawatalamba viatu vya mteuzi ila atapiga kazi, kusifu na kuabudu tumezika rasmi tarehe 26.
Tayari makamu mtarajiwa kashatuita WANYONGE [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Takataka kabisa hizo lingine kimesomea uuaji halafu likawe li waziri la fedha di kituko hicho .
 
Katiba haina kikwazo kuwachagua wapinzani serikalini, ndio maana unamuona Anna Mgwhira RC Kilimanjaro. Aliteuliwa kabla hajahama hata ACT
Tungekuwa na katiba inayoruhusu uundwaji wa Serikali ya pamoja na vyama vya upinzani basi kuna majenbe mazuri mno yapo yametulia tu huko!!
 
Katiba haina kikwazo kuwachagua wapinzani serikalini, ndio maana unamuona Anna Mgwhira RC Kilimanjaro. Aliteuliwa kabla hajahama hata ACT
Kikwazo kipo - unatakiwa uikane ilani yako na utekeleze ya wenzako!! Kuikana ilani ni sawa na kukikana chama chako!! Usaliti ni dhambi kubwa!!
 
Back
Top Bottom