Bado nalia na Kamati ya Usajili ya Simba, kushinda michezo ya kimataifa kusitusahaulishe

Bado nalia na Kamati ya Usajili ya Simba, kushinda michezo ya kimataifa kusitusahaulishe

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari wakuu.

Naomba niwaeleze ukweli, japo ukweli ni mchungu.

Bado NALIA na kamati ya usajili ya Simba. Simba bado ni underdog kwa YANGA.

Tunawachezaji Baadhi wa KIMATAIFA nadhani uongozi uwaangalie kwa jicho la tatu.
1. Peter Banda.
2. Mohamed Ottara
3. Dejan aliyeondoka.
4. Okwa Nelson.
5.victor Akpan.

Hawa ni wachezaji wa kigeni ambao mchango/msaada wao ni MDOGO. Nadhani dirisha lijalo wapukutishwe wote.

2. Simba haina namba 6CDM baada ya kuumia na kuondoka kwa Thadeo Lwanga.

3. Simba inahitaji beki mzuri wa pembeni wa KIMATAIFA anayeweza kucheza kulia ama kushoto. Backup ya Shomari na Shabalala.

4. Simba haina mshambuliaji wa asili No 9 kama ilivyokuwa Mugalu au Kagere wa kusaidiana na Phili.

5. Wajitahidi kusajili wachezaji wenye urefu zaidi ya Foot 6, tuna wachezaji wafupi mno. Linapokuja suala la matumizi ya NGUVU na mipira ya juu tupo hovyo. Tofauti na zamani tulipokuwa na Lwanga na akina Mugalu.

Naomba kuwaailisha, mnifikishie kwenye uongozi wa SIMBA.

IRP Zacharia Hancepope.
 
Habari wakuu.

Naomba niwaeleze ukweli, japo ukweli ni mchungu...
Wacha mbuzi uchwara Wanaongeaga kama Wewe Vile.

Hlf Wanamaliziaga na Kusema Yanga ni Timu Kubwa Tz Kuliko Simba na Al hilal Ya Sudan.

Sasa na Wewe Uwe unajiongeza kidogo, CAF wenye michuano Yao Wanasemaje? Uwe unasoma soma basi...!
 
Foot sita.

Mmekomaa na nchi sita.

Madini yote hayo mmkosa hoja za kujibu au kuunga mkono?
 
Wacha mbuzi uchwara Wanaongeaga kama Wewe Vile.

Hlf Wanamaliziaga na Kusema Yanga ni Timu Kubwa Tz Kuliko Simba na Al hilal Ya Sudan.

Sasa na Wewe Uwe unajiongeza kidogo, CAF wenye michuano Yao Wanasemaje? Uwe unasoma soma basi...!

Yanga Ina wachezaji wazuri na WAKUBWA kuliko wa Simba. Baadhi ya wachezaji wanaoingia kikosi Cha Simba Moja kwa Moja.
JUMA Shaban,
Bangala.
AUCHO.
Fiston Mayele nk.
 
Banda ni hasara ambayo Simba ilijitakia
Akpan ataachwa dirisha dogo au mwisho wa msimu

Banda alisajiliwa sababu tu aliwahi chesa Sherrif iliyokuwa inatarajia shiriki UEFA
 
Habari wakuu.

Naomba niwaeleze ukweli, japo ukweli ni mchungu.

Bado NALIA na kamati ya usajili ya Simba. Simba bado ni underdog kwa YANGA.

Tunawachezaji Baadhi wa KIMATAIFA nadhani uongozi uwaangalie kwa jicho la tatu.
1. Peter Banda.
2. Mohamed Ottara
3. Dejan aliyeondoka.
4. Okwa Nelson.
5.victor Akpan.

Hawa ni wachezaji wa kigeni ambao mchango/msaada wao ni MDOGO. Nadhani dirisha lijalo wapukutishwe wote.

2. Simba haina namba 6CDM baada ya kuumia na kuondoka kwa Thadeo Lwanga.

3. Simba inahitaji beki mzuri wa pembeni wa KIMATAIFA anayeweza kucheza kulia ama kushoto. Backup ya Shomari na Shabalala.

4. Simba haina mshambuliaji wa asili No 9 kama ilivyokuwa Mugalu au Kagere wa kusaidiana na Phili.

5. Wajitahidi kusajili wachezaji wenye urefu zaidi ya Foot 6, tuna wachezaji wafupi mno. Linapokuja suala la matumizi ya NGUVU na mipira ya juu tupo hovyo. Tofauti na zamani tulipokuwa na Lwanga na akina Mugalu.

Naomba kuwaailisha, mnifikishie kwenye uongozi wa SIMBA.

IRP Zacharia Hancepope.
Simba walishatoka kusajili ili kuifunga Yanga. Na sisi Yanga tutoke kwenye makamasi hayo. Ndo maana unaona Simba hata inapofungwa na Yanga wala hawahangaiki au kugombana. Wao focus yao ni matches za kimataifa. Sisi Yanga bado tunakwama na kuangalia match yetu na Simba kama ndo match ya Fainali. Ni kujaza makamasi kichwani. Simba fanyeni kweli.
 
Yanga Ina wachezaji wazuri na WAKUBWA kuliko wa Simba. Baadhi ya wachezaji wanaoingia kikosi Cha Simba Moja kwa Moja.
JUMA Shaban,
Bangala.
AUCHO.
Fiston Mayele nk.
Aisee...! Yaani Hawa Wazee uliowataja hapo Watachukua namba Ya Nani pale Simba?
Juma Shabani kashakuwa mzee ni mzito sana na Nina hakika baada ya yanga kutolewa CAF CL itaanza kutafuta mbadala.
Aucho alishamaliza Soka la Ushindani Sasa anakula Pensheni.
Kwa mbaali Mayele ndo anaweza kugombea nafasi na Hawa..
Okrah Magic
General Phiri
Shakho etc
 
Watanzania bwana we unajua kwa nini wanamwita malawi wonder kid

Sasa nikwambie yule lary bwalya sadio kanoute na Peter banda nchini kwao hao wote walikuwa wachezaji bora chipukizi kwa vijana na ndio unaona kwenye team zao za taifa kama wako huwa wanaitwa mara kwa mara wenzetu wanafuatilia wachezaji wao wana watu maalum sio sisi ukiuliza serengeti boys ya gabon iko wapi,

hakuna anayejua zaidi ya hawa wachache tunaowaona premier league na hao wengine ni wageni hawawezi moja kwa moja wakaingia kwenye mfumo hivi ni mpira gani mnafuatilia aisee mnataka mchezaji mechi moja afunge hatrick halafu ww utakuwa ni yanga tu maana kule mmejaza wazee watupu wanasubiria pension tu.
 
Aisee...! Yaani Hawa Wazee uliowataja hapo Watachukua namba Ya Nani pale Simba?
Juma Shabani kashakuwa mzee ni mzito sana na Nina hakika baada ya yanga kutolewa CAF CL itaanza kutafuta mbadala.
Aucho alishamaliza Sola la Ushindani Sasa anakula Pensheni.
Kwa mbaali Mayele ndo anaweza kugombea nafasi na Hawa..
Okrah Magic
General Phiri
Shakho etc
Hakuna mchezaji hata mmoja hapo kati ya uliowataja
 
Back
Top Bottom