Bado nalia na Kamati ya Usajili ya Simba, kushinda michezo ya kimataifa kusitusahaulishe

HiVi mugalu Bado yupo simba
 
Hebu msikilizeni mtoa mada, anapoint sio rahisi kuigundua kwa Sasa wakati bado tunafuraha. Tukivuka kwenda makundi pia wachezaji imara wanahtajika
 
Hebu msikilizeni mtoa mada, anapoint sio rahisi kuigundua kwa Sasa wakati bado tunafuraha. Tukivuka kwenda makundi pia wachezaji imara wanahtajika
Usajiri ni kama kamali. Ndio maana kuna dirisha dogo la kufanya marekebisho ya usajiri.
Ni vigumu kusajiri wachezaji wazuri watupu.
Fuatilia sajiri zote
 

Kama Viungo Wenu Wenyewe Ni Akina Mzamiru Na Mkude Tena Wanaanza Kikosi Cha Kwanza, Basi Aucho Na Bangala Wanachukua Namba Mchana Kweupee! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulia mtoa mada mambo yashaanza kujipa inamaana hujaona namba zote kwa sasa zinajipa zenyeewe??
 
Tulia mtoa mada mambo yashaanza kujipa inamaana hujaona namba zote kwa sasa zinajipa zenyeewe??

Zinajipa kwa Hivi vi timu vidogo vidogo, NENDA mkapambane na Alahally, mazembe, Orlando kaizer nk.

Hiki kikosi hata robo fainali hakiwezi kufika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…