Kuna msemo unasema if you want to please everyone go and sell ice cream na kazi ya Uraisi haihusiani na kuuza Ice cream so sio kila mtu will be pleased na matendo yake.
Kumridhisha kila binadamu ht Mwenyezi Mungu hajawahi kuweza na ndio maana pamoja na pumzi za bure tunazovuta na bado kuna wanadamu wamechagua njia za kishetani.
That being said tusitegemee kua kila analofanya Magufuli everyone will be pleased.
Kama hujawahi kupanda kivuko pale then Magugu maji yakasababisha feri isifike upade wa pili ukawa upo katikaji ya Maji roho mkononi huwezi Jua umuhimu.
Kama huwajawahi kukaa 4hrs kusubiri zamu yako kuvuka huwezi Elewa.
Kama hujawahi kufiwa na mgonjwa akiwa anasuburi kuvuka then huwezi elewa uchungu wa waliofiwa just wait for ur turn.
Kama hujawahi kuwaza feri inaweza kuzama ikaleta maafa ambayo thamani yake hailingani na hio 700b then Kichwa yako haipo sawa.
Mentality km hizi huwezi kuta wanazo Maraisi only Low IQ people wenye karoho ka kwann huku na sio huku ht km kinachofanyika ni kitu cha maendeleo na ndio maana Daraja la Maragarasi, Mkapa, Kigamboni na Kilombero yalijengwa ingawa Kulikua na Feri, na walipoyajenga hawakutazama Return of investment walitazama zaidi kutoa huduma na kuokoa maisha ya watu
Anyway waswahili wanasemea jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa giza(ya busisi hawayajui)...so for now wacha tuwape benefit of the doubt wasemezane wanavyoweza ila daraja ndo linajengwa there is nothing they can do to stop it zaidi ya kupiga domo.