mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi mmegeuka kuwa wachumi elekezi! Mambo ya vivuko yameshapitwa na wakati basi tu hatuna jinsi nchi haijengwi kwa maboksi, kupanga ni kuchagua brother.Tungechukua tu hapo kidogo tukawanunulia feri za kisasa.
2. Tukatumia hapo fedha nyingine kuboresha maisha ya watu wa eneo hilo kama kuwapa mikopo yenye riba nafuu kisha mzunguko wao wa hela ukawa mkubwa. Yani kiufupi tungefanya mambo mengine mengi sana na hii hela! Ila kwa kuzitumia kwenye huu mradi ni HAPANA!
Singida kwa Lissu kutakuwa kwa kwanza kwa umasikini sababu hawana kitu Mwanza wana dhahabu samaki na pamba.Dawa hapa ni Lisu ili Tiwe na majimbo kila mtu ale usawawakamba hizi hela zinakopwa halafu wakati wa kulipa tunalipa wote nchi nzima
Mpira! Michezo! Nenda ukariri majina ya timu urudi kijiweni kusimulia, inatosha! Uwanja wa Mkapa umeinua michezo gani?Hizo hela ni bora angejenga viwanja vya mpira kila kuboresha industry ya football ili kupunguza hii concepts za kukosa ajira yaani CCM hovyo tu.
Dah! Umenikumbusha vituo vya mafuta vya barabara ya morogoro. Sijui ilikuwa ni mipango ya familia gani vile!Mayanga Construction Company Limited! Tenda nyumbani
Nani kabeza kujenga hizo meli?Nyie hamna jema katika nchi hii.
Sasa hivi unaleta unafiki wako hapa wa Bora angenunua feri mpya wakati nyie hao hao mlikuwa mna mubeza kukarabati na kujenga meli mpya za ziwa Victoria kwa kusema hivyo siyo vipa umbele vya Tanzania.
Shame on you Wanafiki Wakubwa nyie.
Mimi mwenyewe ni mkaazi wa Usagara na ninasubiri daraja hilo kinipe faida na wenzangu wa upande wa pili wapate kitu, nina eneo kule Busisi ambalo daraja likipita na kukawa na urahisi wa kwenda na muda mchache wananchi wa kule watanifaidisha na mimi nitawafaidisha, kiufupi mradi huo utatupa maendeleo makubwa sisi tuliopo kama walivyopata irahisi wa maendeleo watu Kigamboni.Lissu alipita hapo kigongo ferry akaubeza huo mradi lakini mhe Magufuli aliusifia na kueleza umuhimu wake. Ngoja tuone tar 28 wananchi watatuambia.
Mimi ninavyofahamu hilo eneo kwa siku linapitisha magari na watu wengi sana. Kuvuka kwa kivuko inakula kama dk 30 mpaka 45.
Bila shaka na wewe umejibu kama ulivyojibu kwa SABABU UPO KWENYE MLENGO WA KUUNGA MKONO kila kitu hata kama ni cha kijinga!!!!Si kila daraja lipo kwa ajili ya kupata faida. Mwanza kuna hospitali kubwa ya kanda, unapotumia feri wagonjwa wanachelewa kuvuka na kuhatarisha uhai/afya wao/zao.
Pia kivuko cha feri hakiaminiki si tu kwa usalama lakini pia hata utengemano si muda wote kitakuwa kizima.
Na inawezekana hata hata kwa mwaka usiwahi kupita kwenye njia hii.
NOTE: NIMEKUJIBU LAKINI NATAMBUA WAZI UPO MLENGO WA KUPINGA.