Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Kuajiriwa ndo nini?................................................................ Watu mlioajiriwa huwa mna akili fupi sana.
Fedha za ndani au nje unaijua tofauti yake? Naomba kwanza tufahamiane. Ni taaluma gani unayoiweza bila makosa? Uchumi, sayansi, Historia, lugha au Hesabu? Niambie ili nijue wapi pa kuanzia maana nisingependa kuelimishana na mtu ambaye tofauti yetu ni jiwe na maji.