Bado nazidi kuona makosa makubwa kwenye usajili wa Simba. Kwa mwendo huu mashabiki jiandaeni maumivu tena na tena 2023-24

Bado nazidi kuona makosa makubwa kwenye usajili wa Simba. Kwa mwendo huu mashabiki jiandaeni maumivu tena na tena 2023-24

Mwaka 2020 ilikuwa na Mawinga 11.

1. Perfect CHIKWENDE.
2.Hassan Dilunga
3.Ibrahim Ajibu
4. Yusuph muhilu.
5.Jimyson Mwanuke.
6.Dunkan Nyoni
7. Peter Banda.
8.pape Sackho
9. BENARD MORISON.
10. Lary Bwalya

WANARUDIA MAKOSA YALE YALE.

1. KIBU Denis.
2. Saido Ntibazonkiza.
3. _ (CLOTUS chama)
4. Jimyson Mwinuke.
5. Onana.
6. Aubin kramo
7. Luis Miquesson

™(Peter Banda)
 
Back
Top Bottom