Bado ni kitendawili waliofaidi mabilioni ya Justine Kasusura

Kama ni kweli basi Mimi naona yeye Mwenyewe Kasusura hakua na plan endelevu juu ya huo wizi wake, kabla hujafanya tukio unapaswa ujue kila kitu ikiwemo wapi utahifadhi hizo pesa na wapi wewe utaenda kuishi ukisubiri vurugu ziishe, hata kukamatwa kwake alikamatwa kirahisi sana japo tusihukumu polisi wetu nao wapo vizuri.
 
Kibunda kikubwa alimpa mzee mmoja wa Kichaga wa pale maeneo ya Airport amtunzie, yeye akitafuta chaka la kujificha, baada kustukiwa ilikuwa kazi ya kuwahonga ma RPC wa mikoa tofauti alikopita wamlinde! Kile kibunda alichokuwa nacho kilipoanza kuisha,kila akikamatwa anapiga simu kwa Yule mzee wa kichaga anatuma,mwishowe yule mzee akaona huu ufala, akamchana amwambia kibunda kimeisha hapo ndipo akakamatwa!..Ma RPC wengi wamekula hiyo hela Wakiongozwa na Kamanda Zombe mmoja waliokula kibunda cha maana...
 
Ni nani aliyefaidi mabilioni yaliyodaiwa kuporwa na Kasusura? Si Kasusura wala Jeshi la Polisi wameweza kujibu swali hili miaka 20 tangu tukio hilo litokee.[emoji848][emoji2827][emoji16][emoji40]
Yule hela anazo bhana alikua anadokoa kidogo kidogo baada ya kutoka jela, hawezi kuplan tukio kubwa kama lile halafu pesa zipotee kizembe zembe tu, lazima kuna sehemu alizichimbia tu
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Si bora wangenunua hata flat screen ya LG na IST.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwezekana, unajibadilisha na jinsia kabisa,,chezea pesaaa wwπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Una maana gn kuwa hela kuna kila aina ya ujuzi? Kuna watu wanaotoa elimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…