Bado ni kitendawili waliofaidi mabilioni ya Justine Kasusura

Bado ni kitendawili waliofaidi mabilioni ya Justine Kasusura

Mtu kama huyu Kasurura ni kwamba hakuwa smart, sema dodo lilimdondokea akashindwa kucheza kama pele....

Waafrika wengi weusi hatujui kucheza na pesa vilivyo hasa tunapo piga tukio, wazungu, waarabu, wachina na hawa wasomali hapa afrika akiotea dodo ni ngumu sana kumkamata though wanaintelejensia wao wapo vizuri sana kwenye kuwasachi.

Tukio umepiga miezi kadhaa unaenda guest bubu na kimwana asee hii ni hollshit alafu unaenda lewa na kurudi chakariii, haya ndiyo yale ya Hushpupy yaani he caughted red handed na pesa kibao.

Pesa kwa mtu mweusi haijifichi kabisa showoff na blabla kibao..... bilioni 4.4 za mwaka 2001 yaani nimefanikiwa kutokomea niambia ndugu yangu mwaminifu anichimbie Andaki langu kabisa 😁

Ikishindikana kuchimbiwa Andaki najibadilisha mwonekano wote kabisa, yaani napita hapo JNIA na mkinijua lazima mtoke jasho.
Kama i was Christian i must be a muslim......change the full identities....ndevu za bandia, kama ni mweusi najikoboa kuwa white, milioni $2 si mchezo.
Kikubwa waafrika hakuna mshikamano na watu njaa sana dili kama hizo unazikwa fasta hasa kama unacheza na ndugu,, hao jamii nyingine wanabebana mtu anapiga tukio hata ashikwe akae miaka 10 ndani akitoka fungu lake lipo,,, huku watakuto....... ea hadi waifu wako na binti zako
 
Mwezi August 2001, on average exchange rate kati ya TZS na USD ilikuwa 1 USD=TZS 897.70 na kwa hali hiyo USD 2M ilikuwa ni takriban TZS 1.80 BILLION

Chanzo:
 
Mwezi August 2001, on average exchange rate kati ya TZS na USD ilikuwa 1 USD=TZS 897.70 na kwa hali hiyo USD 2M ilikuwa ni takriban TZS 1.80 BILLION

Chanzo:
Upo sahihi sana, ilikuwa milioni 200 kasoro kufika TZS 2B. Ila thamani ya shilingi wakati huo pia ilikuwa kubwa sana
 
Mimi ningezificha, then ningewaacha cops wanikamate,nipambane mahakamani.
Ange change hata dola 100,000/ tu za kupambana mahakamani na kuwanunua askari magereza niishi kifalme.
Nawafahamu watu kadhaa wapo ndani ila hats msosi wa jela hawaujui.
 
Ishu ukiiba pesa na kufanikiwa kutokomea kama mwamba hapo inatakiwa u stay low key uwe mvumilivu hata miaka ipite ndio uanze ku spend....

Sio mda wa kulewa ni mda wa act upo choka mbaya unalima vibarua mashamban huko had joto lipoe
Ukalime bibarua ugongwe na nyoka ufe [emoji23]
 
Mimi ningezificha, then ningewaacha cops wanikamate,nipambane mahakamani.
Ange change hata dola 100,000/ tu za kupambana mahakamani na kuwanunua askari magereza niishi kifalme.
Nawafahamu watu kadhaa wapo ndani ila hats msosi wa jela hawaujui.
Kama yule marehemu Lihumba mzee wa kuhonga gari nyekundu. Inasemekana aliishi kidon sana gerezani
 
Mtu kama huyu Kasurura ni kwamba hakuwa smart, sema dodo lilimdondokea akashindwa kucheza kama pele....

Waafrika wengi weusi hatujui kucheza na pesa vilivyo hasa tunapo piga tukio, wazungu, waarabu, wachina na hawa wasomali hapa afrika akiotea dodo ni ngumu sana kumkamata though wanaintelejensia wao wapo vizuri sana kwenye kuwasachi.

Tukio umepiga miezi kadhaa unaenda guest bubu na kimwana asee hii ni hollshit alafu unaenda lewa na kurudi chakariii, haya ndiyo yale ya Hushpupy yaani he caughted red handed na pesa kibao.

Pesa kwa mtu mweusi haijifichi kabisa showoff na blabla kibao..... bilioni 4.4 za mwaka 2001 yaani nimefanikiwa kutokomea niambia ndugu yangu mwaminifu anichimbie Andaki langu kabisa 😁

Ikishindikana kuchimbiwa Andaki najibadilisha mwonekano wote kabisa, yaani napita hapo JNIA na mkinijua lazima mtoke jasho.
Kama i was Christian i must be a muslim......change the full identities....ndevu za bandia, kama ni mweusi najikoboa kuwa white, milioni $2 si mchezo.
Unaongeaongea tu Kama shangazi yako!!
 
Back
Top Bottom