Sandiego
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 1,288
- 2,075
Inasemekana pale wazee wa difenda walikula kama 100 hivi wakamsidikiza atoroke[emoji23][emoji23]Hapana mdau, huyu alikamatiwa kwa mganga wa kienyeji akigangwa na sio gest.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana pale wazee wa difenda walikula kama 100 hivi wakamsidikiza atoroke[emoji23][emoji23]Hapana mdau, huyu alikamatiwa kwa mganga wa kienyeji akigangwa na sio gest.
Mkuu ni kweli walianza kumkamata kwa mganga akiweka vidono alichofanya aliwapiga na m100 wakamuonyesha pa kutokea!!Alikamatiwa gesti usiku wa manane, gesti ya vichochoroni
Cc britaniccaBuyobe lazima apite nayo hii
Marry me pleaseNapenda mwanaume anayejiamini kama hivi....!
Kikubwa waafrika hakuna mshikamano na watu njaa sana dili kama hizo unazikwa fasta hasa kama unacheza na ndugu,, hao jamii nyingine wanabebana mtu anapiga tukio hata ashikwe akae miaka 10 ndani akitoka fungu lake lipo,,, huku watakuto....... ea hadi waifu wako na binti zakoMtu kama huyu Kasurura ni kwamba hakuwa smart, sema dodo lilimdondokea akashindwa kucheza kama pele....
Waafrika wengi weusi hatujui kucheza na pesa vilivyo hasa tunapo piga tukio, wazungu, waarabu, wachina na hawa wasomali hapa afrika akiotea dodo ni ngumu sana kumkamata though wanaintelejensia wao wapo vizuri sana kwenye kuwasachi.
Tukio umepiga miezi kadhaa unaenda guest bubu na kimwana asee hii ni hollshit alafu unaenda lewa na kurudi chakariii, haya ndiyo yale ya Hushpupy yaani he caughted red handed na pesa kibao.
Pesa kwa mtu mweusi haijifichi kabisa showoff na blabla kibao..... bilioni 4.4 za mwaka 2001 yaani nimefanikiwa kutokomea niambia ndugu yangu mwaminifu anichimbie Andaki langu kabisa 😁
Ikishindikana kuchimbiwa Andaki najibadilisha mwonekano wote kabisa, yaani napita hapo JNIA na mkinijua lazima mtoke jasho.
Kama i was Christian i must be a muslim......change the full identities....ndevu za bandia, kama ni mweusi najikoboa kuwa white, milioni $2 si mchezo.
💪💪Marry me please
Upo sahihi sana, ilikuwa milioni 200 kasoro kufika TZS 2B. Ila thamani ya shilingi wakati huo pia ilikuwa kubwa sanaMwezi August 2001, on average exchange rate kati ya TZS na USD ilikuwa 1 USD=TZS 897.70 na kwa hali hiyo USD 2M ilikuwa ni takriban TZS 1.80 BILLION
Chanzo:TZS (Tanzanian Shilling) USD (US Dollar) Historical Data Chart 2001
Historical data for the TZS/USD (Tanzanian Shilling US Dollar) currency pair for the whole year of 2001, by date and by month.exchangerates.org
Ukalime bibarua ugongwe na nyoka ufe [emoji23]Ishu ukiiba pesa na kufanikiwa kutokomea kama mwamba hapo inatakiwa u stay low key uwe mvumilivu hata miaka ipite ndio uanze ku spend....
Sio mda wa kulewa ni mda wa act upo choka mbaya unalima vibarua mashamban huko had joto lipoe
Kama yule marehemu Lihumba mzee wa kuhonga gari nyekundu. Inasemekana aliishi kidon sana gerezaniMimi ningezificha, then ningewaacha cops wanikamate,nipambane mahakamani.
Ange change hata dola 100,000/ tu za kupambana mahakamani na kuwanunua askari magereza niishi kifalme.
Nawafahamu watu kadhaa wapo ndani ila hats msosi wa jela hawaujui.
Halafu ununue CD feki kwa jero au umwambie mwana akuwekee kwenye flashHivi bongo movie hawajaona story hii watengeneze movie
R.I.P kasusura.
Unaongeaongea tu Kama shangazi yako!!Mtu kama huyu Kasurura ni kwamba hakuwa smart, sema dodo lilimdondokea akashindwa kucheza kama pele....
Waafrika wengi weusi hatujui kucheza na pesa vilivyo hasa tunapo piga tukio, wazungu, waarabu, wachina na hawa wasomali hapa afrika akiotea dodo ni ngumu sana kumkamata though wanaintelejensia wao wapo vizuri sana kwenye kuwasachi.
Tukio umepiga miezi kadhaa unaenda guest bubu na kimwana asee hii ni hollshit alafu unaenda lewa na kurudi chakariii, haya ndiyo yale ya Hushpupy yaani he caughted red handed na pesa kibao.
Pesa kwa mtu mweusi haijifichi kabisa showoff na blabla kibao..... bilioni 4.4 za mwaka 2001 yaani nimefanikiwa kutokomea niambia ndugu yangu mwaminifu anichimbie Andaki langu kabisa 😁
Ikishindikana kuchimbiwa Andaki najibadilisha mwonekano wote kabisa, yaani napita hapo JNIA na mkinijua lazima mtoke jasho.
Kama i was Christian i must be a muslim......change the full identities....ndevu za bandia, kama ni mweusi najikoboa kuwa white, milioni $2 si mchezo.
Dah enzi zile madon walitikisa...LiyumbaKama yule marehemu Lihumba mzee wa kuhonga gari nyekundu. Inasemekana aliishi kidon sana gerezani