Bado sijaelewa lengo kuu la kufufuliwa kwa "Kisumu port"

Heeeee eti bajeti yenu poor tony bajeti ya Kenya siyo Mali ya mwananchi ni Mali ya Uhuru na familia yake na marafiki wake
 
Hiyo ni opinion yangu na kila mtu ako na right ya kusema anachotaka.
Sawa. Acha tuone kama jito la jiwe atafikisha ujumbe maana kina Uhuru, ruto na wengineo hawajui kama kuna kitu kinaitwa jf.. Wangesoma malalamiko yako..
Heee tony ujui huyo anaitwa miss kibera original
Ukivunja makaazi ya kibera lazima ahandamane
 

Na kule mliendanga China, Uhuru na Raila wakaambulia dili ya maparachichi. Hukumbuki mlichofuata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…