May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Mimi huwa nafuatilia pia Mechi za Yanga, kiukweli sijaona tofauti kubwa sana ya kiuchezaji au kiupambanaji.
Tofauti pekee ni kuwa Yanga wanafanya juu chini wapate walau Goli moja na kuhakikisha hawaruhusu goli...ukitoa ile mechi yao na Namungo ambapo ilibidi Refa ajiongeze lakini Wazee Wenzetu nao walikuwa wameshikwa pabaya na walikuwa wanapoteza.
Mechi karibia zote Yanga wana strugle kama Simba tu, Vijana wote wanaokutana nao wanawatoa jasho kama tu inavyotokea kwa Simba, hata Mechi ya leo tumeona Mbao walivyodinda utasema Yanga wanacheza na Azam au Namungo.
Mechi ya Kagera Simba wamecheza kwa bidii na waliwazidi Kagera pakubwa lakini changamoto ikawa ni hiyo tu ya kutokufunga bao...nafasi zilipatikana kukakosekana umaliziaji, tuliona Muzamiru aliukosa mpira aliohitaji kugusa tu mpira uingie golini...attempt ya Onyango kwa bahati mbaya aliushika mpira.
Yanga wakipata penati kimbilio lao ni Saydoo, na kwa bahati nzuri hajakosa, hata Simba wangezitumia penati zao vizuri wasingekuwa hapa walipo sasa.
Sasa sijui hawa wanaosema au kudhani kuna sababu za nje ya Uwanja wanayatoa wapi hayo...sana sana ni kuhimizana njia za mkato ambazo ni ujinga tu, Watu wanatakiwa wapambane uwanjani.
Simba bado wana nafasi ya kurudi kwenye traki na wasiruhusu Watu wa nje kuingiza ujuaji wao...ila kama watataka kubadilisha Kocha hapo mimi sina kipingamizi lakini Wachezaji ni Wazuri na wana nafasi wa kuipa Simba ushindi hata kama haitafanikiwa kutetea ubingwa kwa msimu huu lakini walau basi Vikombe vyote vitakavyokatiza mbele waruke navyo.
Tofauti pekee ni kuwa Yanga wanafanya juu chini wapate walau Goli moja na kuhakikisha hawaruhusu goli...ukitoa ile mechi yao na Namungo ambapo ilibidi Refa ajiongeze lakini Wazee Wenzetu nao walikuwa wameshikwa pabaya na walikuwa wanapoteza.
Mechi karibia zote Yanga wana strugle kama Simba tu, Vijana wote wanaokutana nao wanawatoa jasho kama tu inavyotokea kwa Simba, hata Mechi ya leo tumeona Mbao walivyodinda utasema Yanga wanacheza na Azam au Namungo.
Mechi ya Kagera Simba wamecheza kwa bidii na waliwazidi Kagera pakubwa lakini changamoto ikawa ni hiyo tu ya kutokufunga bao...nafasi zilipatikana kukakosekana umaliziaji, tuliona Muzamiru aliukosa mpira aliohitaji kugusa tu mpira uingie golini...attempt ya Onyango kwa bahati mbaya aliushika mpira.
Yanga wakipata penati kimbilio lao ni Saydoo, na kwa bahati nzuri hajakosa, hata Simba wangezitumia penati zao vizuri wasingekuwa hapa walipo sasa.
Sasa sijui hawa wanaosema au kudhani kuna sababu za nje ya Uwanja wanayatoa wapi hayo...sana sana ni kuhimizana njia za mkato ambazo ni ujinga tu, Watu wanatakiwa wapambane uwanjani.
Simba bado wana nafasi ya kurudi kwenye traki na wasiruhusu Watu wa nje kuingiza ujuaji wao...ila kama watataka kubadilisha Kocha hapo mimi sina kipingamizi lakini Wachezaji ni Wazuri na wana nafasi wa kuipa Simba ushindi hata kama haitafanikiwa kutetea ubingwa kwa msimu huu lakini walau basi Vikombe vyote vitakavyokatiza mbele waruke navyo.