Bado sijaona kama kuna sababu za nje ya uwanja zinazosababisha Simba kukosa matokeo, tuache kukuza mambo

Bado sijaona kama kuna sababu za nje ya uwanja zinazosababisha Simba kukosa matokeo, tuache kukuza mambo

Mpira wa bongo ndio ulivyo,.. Simba na Yanga zinatakiwa kushinda mechi zote, zikishindwa utasikia kuna hujuma.... ujinga mtupu
 
Mimi huwa nafuatilia pia Mechi za Yanga, kiukweli sijaona tofauti kubwa sana ya kiuchezaji au kiupambanaji.

Tofauti pekee ni kuwa Yanga wanafanya juu chini wapate walau Goli moja na kuhakikisha hawaruhusu goli...ukitoa ile mechi yao na Namungo ambapo ilibidi Refa ajiongeze lakini Wazee Wenzetu nao walikuwa wameshikwa pabaya na walikuwa wanapoteza...
Kiuhalisia uko sahihi kabisa, lakini inawezekana pia kucheza mechi nje ya uwanja( sio kwa uchawi), bali match fixing.

Hata hivyo sina maana kwamba yanga au simba wamefanya hivyo.
 
Back
Top Bottom