Bado sijaona kosa alilofanya Kiboko wa Wachawi am ambao wapinzani wake wa kilokole hawafanyi

Kwanza ni mgeni, halafu anaharibu madili ya watu akina Suguye na MWAMPOSA ambao wanadeal na akina Makonda. Biteko pia haukumwona Kwa Suguye? Iweje aendelee kusumbua? Akwende zake. Hii nchi ngumu sana.
 
Kuhani
Mussa huyo ashagombanisha sanaa familia huyu
Watu hawazikani kwa sababu hiyo kuna mambo ameyafanya kwenye familia ya dada angu huyu mtu sio mzuri Kabisa
 
tofautisha walokoke na huyu mchawi. huyu mweke fungu moja na mwamposa, geordevi, suguye na wahuni wengine wa injili. usichafue walokole tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…