Bado sijaona mbadala wa Scandinavian katika usafiri wa Mabasi. Nauli ilitofautiana kwa aina ya SCANIA

Alitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Hope's mkuu mada hii tusiijadili kisiasa, yes I mic service za Scandinavian Express, sijaona kampuni nyingine imefikia even half ya standard ya Scandinavian Express, kwanza ilikua na staff's wako well trained na wamemotishwa,kuanzia kukata ticket, kusubiria pale mapokezi, boarding hadi njiani wapo Safi kabisa,iam Sauli Team now ila ninaelewa what's to expect ninapokua ndani ya bus la Sauli, 1min to do number 1,number 2 sidhani utakua na muda huo, 3mins to order your food na kuingia nacho ndani ya bus,then nduki!,but Scandinavian ilikua tofauti n still unafika border on time na bila stress, nope hakuna kama kampuni Ile,I swear
 
Hakika mkuu
 
Tutajie hizo kampuni bwashee
Akikujibu pls tag me, na atoe facts sio blah blah, Scandinavian Express walikua na top class systems ya tickets, top class boarding lounge, ALWAYS ON TIME,they never ever cancel a trip, well serviced buses, well trained staff,no RUSH njiani,mkisimama sehemu ya mapumziko it's more than 30mins,ndani y bus ni smile tupu, binafsi nilipenda bcs always no 1
 
Biashara waga hazieleweki, hasa za mabasi
Bado nipo nafatilia kwann makampuni mengi ya mabasi waga yanazingua
 
Shabiby, ABC upperclass, Dar lux, Superfeo,
 
Point kubwa niliyoielewa ulipenda hizo gari sababu ni Scania it's seems haupo interested na Brand nyinginezo lakini kuhusu huduma tuseme ukweli kampuni nyingi zinajitahidi kuwa royal Kwa customer wao ukizingatia time hii Kuna competition kubwa kwenye game la usafirishaji.
 
Kuna swali najiuliza mpaka leo sipati picha, zamani miaka ya 2000s basi kutoka ubungo Dsm, zilikua zinafika tukuyu mbeya saa kumi jioni na kyela saa kumi na moja. Leo hii basi zinafika saa nne usiku, na hapo imejitahidi. Hata kama ni tochi, lakini muda umekua mkubwa sana wa kukaa barabarani

Zamani tulitoka tukuyu na mjini DSM tulifika mapema jua linawaka, tukuyu to dar ni kama km 950 au 10000 hivi.
 
Huduma siyo tu kuweka kondakta wa kike bwashee

Hayo mabasi uliyoitaja mpandishe mtoto uone kama hajapitilizwa kituo kwa haraka zao
 
Picha tafadhari
 

Huduma siyo tu kuweka kondakta wa kike bwashee

Hayo mabasi uliyoitaja mpandishe mtoto uone kama hajapitilizwa kitulo kea haraka zao
Kwa hiyo mkuu una ushahidi wa kutosha kuwa hicho kitu hakijawahi kutokea kabisa kwenye scanivia. nyie mmeimiss scaninavia zaidi ya hapo hoja zenu ni very weak ndio Yale ya kumuongelea marehemu mazuri yake pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…