Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mmoja akashindikiza wanunue taili zake na ndipo balaa likaanzia hapo...Ajali kila muda,upepo ulivyo tulia wkaibuka maofisa wazee shea nami nina mabus yangu nawekeza kwako....Mafisadi waliingiza mabasi yao kwenye kampuni
Hope's mkuu mada hii tusiijadili kisiasa, yes I mic service za Scandinavian Express, sijaona kampuni nyingine imefikia even half ya standard ya Scandinavian Express, kwanza ilikua na staff's wako well trained na wamemotishwa,kuanzia kukata ticket, kusubiria pale mapokezi, boarding hadi njiani wapo Safi kabisa,iam Sauli Team now ila ninaelewa what's to expect ninapokua ndani ya bus la Sauli, 1min to do number 1,number 2 sidhani utakua na muda huo, 3mins to order your food na kuingia nacho ndani ya bus,then nduki!,but Scandinavian ilikua tofauti n still unafika border on time na bila stress, nope hakuna kama kampuni Ile,I swearAlitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Hakika mkuuHope's mkuu mada hii tusiijadili kisiasa, yes I mic service za Scandinavian Express, sijaona kampuni nyingine imefikia even half ya standard ya Scandinavian Express, kwanza ilikua na staff's wako well trained na wamemotishwa,kuanzia kukata ticket, kusubiria pale mapokezi, boarding hadi njiani wapo Safi kabisa,iam Sauli Team now ila ninaelewa what's to expect ninapokua ndani ya bus la Sauli, 1min to do number 1,number 2 sidhani utakua na muda huo, 3mins to order your food na kuingia nacho ndani ya bus,then nduki!,but Scandinavian ilikua tofauti n still unafika border on time na bila stress, nope hakuna kama kampuni Ile,I swear
Tutajie hizo kampuni bwasheeAlitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Akikujibu pls tag me, na atoe facts sio blah blah, Scandinavian Express walikua na top class systems ya tickets, top class boarding lounge, ALWAYS ON TIME,they never ever cancel a trip, well serviced buses, well trained staff,no RUSH njiani,mkisimama sehemu ya mapumziko it's more than 30mins,ndani y bus ni smile tupu, binafsi nilipenda bcs always no 1Tutajie hizo kampuni bwashee
The Big Mayai1. Scandinavia
2. Fresh ya Shamba
3. Dar Express
4. Zainab
Hawa ndio wakali wa hizi kazi wa muda wote...
Scandinavia na Zainab walikuwepo zamani, wakapotea then wakaja kwa nguvu kunwa na wakapotea mazima...
Yah mfano ratco acha kabisa, tanga darAlitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Shabiby, ABC upperclass, Dar lux, Superfeo,Akikujibu pls tag me, na atoe facts sio blah blah, Scandinavian Express walikua na top class systems ya tickets, top class boarding lounge, ALWAYS ON TIME,they never ever cancel a trip, well serviced buses, well trained staff,no RUSH njiani,mkisimama sehemu ya mapumziko it's more than 30mins,ndani y bus ni smile tupu, binafsi nilipenda bcs always no 1
Point kubwa niliyoielewa ulipenda hizo gari sababu ni Scania it's seems haupo interested na Brand nyinginezo lakini kuhusu huduma tuseme ukweli kampuni nyingi zinajitahidi kuwa royal Kwa customer wao ukizingatia time hii Kuna competition kubwa kwenye game la usafirishaji.Akikujibu pls tag me, na atoe facts sio blah blah, Scandinavian Express walikua na top class systems ya tickets, top class boarding lounge, ALWAYS ON TIME,they never ever cancel a trip, well serviced buses, well trained staff,no RUSH njiani,mkisimama sehemu ya mapumziko it's more than 30mins,ndani y bus ni smile tupu, binafsi nilipenda bcs always no 1
Hoja Yao kubwa ni kuwa Scandinavian ni gari ya mzungu.Yah mfano ratco acha kabisa, tanga dar
Huduma siyo tu kuweka kondakta wa kike bwasheePoint kubwa niliyoielewa ulipenda hizo gari sababu ni Scania it's seems haupo interested na Brand nyinginezo lakini kuhusu huduma tuseme ukweli kampuni nyingi zinajitahidi kuwa royal Kwa customer wao ukizingatia time hii Kuna competition kubwa kwenye game la usafirishaji.
Picha tafadhariNatumia sana usafiri wa Mabasi bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli
Hawa akina Sauli, Shabiby sijui ABC bado saaana aisee
Scandinavian Ilikuwa Bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani SCANIA tupu hakuna Layland hadi kwenye Huduma
Ligi ya sasa ni Vyuma vya mchina aka Kambi Popote
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa
Hope's mkuu mada hii tusiijadili kisiasa, yes I mic service za Scandinavian Express, sijaona kampuni nyingine imefikia even half ya standard ya Scandinavian Express, kwanza ilikua na staff's wako well trained na wamemotishwa,kuanzia kukata ticket, kusubiria pale mapokezi, boarding hadi njiani wapo Safi kabisa,iam Sauli Team now ila ninaelewa what's to expect ninapokua ndani ya bus la Sauli, 1min to do number 1,number 2 sidhani utakua na muda huo, 3mins to order your food na kuingia nacho ndani ya bus,then nduki!,but Scandinavian ilikua tofauti n still unafika border on time na bila stress, nope hakuna kama kampuni Ile,I swe
Kwa hiyo mkuu una ushahidi wa kutosha kuwa hicho kitu hakijawahi kutokea kabisa kwenye scanivia. nyie mmeimiss scaninavia zaidi ya hapo hoja zenu ni very weak ndio Yale ya kumuongelea marehemu mazuri yake pekeeHuduma siyo tu kuweka kondakta wa kike bwashee
Hayo mabasi uliyoitaja mpandishe mtoto uone kama hajapitilizwa kitulo kea haraka zao