Bado sina imani na usajili wa Simba

Bado sina imani na usajili wa Simba

Hapo Kuna wachezaji 7.

Onana7.
CHAMA 10.
Miquesson 11.

Katika wachezaji 7. Watatu wanaanza
Wanne Benchi.
So, mapendekezo yako ni yapi, hawakutakiwa kusajili? Maana wangesajili nafasi nyingine, hata hizo ungelalamika kuwa wachezaji wamezidi
 
So, mapendekezo yako ni yapi, hawakutakiwa kusajili? Maana wangesajili nafasi nyingine, hata hizo ungelalamika kuwa wachezaji wamezidi

Kwanini wachezaji wazidi???
1. UPIGAJI.
2. Uzembe WA Benchi la UFUNDI.

Simba imekosa kiungo mkabaji 6 Tangu Lwanga aumie.
Imekosa kiungo 8 kwa Miaka Mingi mno. Hapa ndipo Simba panapo mfelisha.

ANGALAU NGOMA AMESAJILIWA NAE NI 8

ANGALIA Idadi ya Mabeki na Viungo.
Akiumia Inonga au akiwa na ADHABU hakuna Replacement yake.


Alex Ferguson ALIWAHI kusema
Safu Bora ya ushambuliaji inashindwa MAGOLi.
Safu Bora ya ulinzi inashinda Mataji.

Simba imefunga magoli mengi mno TZ kuliko timu YOYOTE MSIMU uliopita.

Haina shida na ushambuliaji
 
Simba imefunga magoli mengi mno TZ kuliko timu YOYOTE MSIMU uliopita.
Haina shida na ushambuliaji
Na mimi natembea na kauli yako hiyo hiyo, lakini kuhusu magoli ya kufungwa.
Simba imefungwa magoli machache mno TZ kuliko timu YOYOTE MSIMU uliopita. Haina shida na ulinzi
 
Kwanini wachezaji wazidi???
1. UPIGAJI.
2. Uzembe WA Benchi la UFUNDI.

Simba imekosa kiungo mkabaji 6 Tangu Lwanga aumie.
Imekosa kiungo 8 kwa Miaka Mingi mno. Hapa ndipo Simba panapo mfelisha.

ANGALAU NGOMA AMESAJILIWA NAE NI 8

ANGALIA Idadi ya Mabeki na Viungo.
Akiumia Inonga au akiwa na ADHABU hakuna Replacement yake.


Alex Ferguson ALIWAHI kusema
Safu Bora ya ushambuliaji inashindwa MAGOLi.
Safu Bora ya ulinzi inashinda Mataji.

Simba imefunga magoli mengi mno TZ kuliko timu YOYOTE MSIMU uliopita.

Haina shida na ushambuliaji
Yani simba sijui wana shida gani aisee na wakiambiwa ukweli wanaleta propaganda. Kuna mmoja anasema et yanga haina namba naye wa kutoa pasi za magoli wakati ashamuona pacome japo hajamuona akicheza japo na zingeli naye anaicheza vizur tu. Msimu ujao wasije tena na visingizio kabisa japo kwa imani yanga Robertinho mwishow wake msimu ujao.. simba bado ina mapungufu na moja ya kosa lingine walilofanya ni kumuachia Onyango
 
Wanasimba acheni propaganda. Timu yenu haikua na shida mbele. Usjali wa micson ni wa kisiasa tu cha kushangaza maeneo yenu muhimu yote au mengi hayana replacement za maana. Si rahisi kusema zimbwe apewe changamoto na duchu, au kapombe na yule dogo waliyekua na mgogoro naye au uje katikati kanoute yani ni maeneo mengi kwenu bado. Nanchoamini kwa usajili wenu labda micson tu ndo Mo alotoa ela yake napo alitoa baada ya alahly kuamua kumuachia. Fungukeni
 
Wanasimba acheni propaganda. Timu yenu haikua na shida mbele. Usjali wa micson ni wa kisiasa tu cha kushangaza maeneo yenu muhimu yote au mengi hayana replacement za maana. Si rahisi kusema zimbwe apewe changamoto na duchu, au kapombe na yule dogo waliyekua na mgogoro naye au uje katikati kanoute yani ni maeneo mengi kwenu bado. Nanchoamini kwa usajili wenu labda micson tu ndo Mo alotoa ela yake napo alitoa baada ya alahly kuamua kumuachia. Fungukeni
Hakika sijaelewa lolote hapa
 
Kweli kabisa mkuu, mm Simba ila naona Yanga wamejipanga sana.
Mimi Thimba[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
20230727_122447.jpg
 
Kwanini wachezaji wazidi???
1. UPIGAJI.
2. Uzembe WA Benchi la UFUNDI.

Simba imekosa kiungo mkabaji 6 Tangu Lwanga aumie.
Imekosa kiungo 8 kwa Miaka Mingi mno. Hapa ndipo Simba panapo mfelisha.

ANGALAU NGOMA AMESAJILIWA NAE NI 8

ANGALIA Idadi ya Mabeki na Viungo.
Akiumia Inonga au akiwa na ADHABU hakuna Replacement yake.


Alex Ferguson ALIWAHI kusema
Safu Bora ya ushambuliaji inashindwa MAGOLi.
Safu Bora ya ulinzi inashinda Mataji.

Simba imefunga magoli mengi mno TZ kuliko timu YOYOTE MSIMU uliopita.

Haina shida na ushambuliaji
Umeongea vizur leo hujala maharage, makolo kama nimagoli hawana mpinzan ila sasa kwapa hawainui ingebid wafanyie kaz sio kujaza mawinga
 
Hii Yanga isiyo na kiungo wa pasi za magoli

Isiyo na fowadi wa maana

Isiyo na kiungo wa ulinzi wa maana

Isiyo na Hela

Ikijitahidi saaana itashika nafasi ya 4 kwenye Ligi
Watu mnaitukanisha saana JF.
 
Yani simba sijui wana shida gani aisee na wakiambiwa ukweli wanaleta propaganda. Kuna mmoja anasema et yanga haina namba naye wa kutoa pasi za magoli wakati ashamuona pacome japo hajamuona akicheza japo na zingeli naye anaicheza vizur tu. Msimu ujao wasije tena na visingizio kabisa japo kwa imani yanga Robertinho mwishow wake msimu ujao.. simba bado ina mapungufu na moja ya kosa lingine walilofanya ni kumuachia Onyango
Hii sentensi ya mwisho ya wao kumuacha Onyango imetoa tafsir ya uhakika wa kile ulichozungumza.
 
Back
Top Bottom