Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Unaposema CCM itashindwa uwe na facts ! Kwa vigezo vipi ishindwe ?ccm ina wanachama wapiga kura takriban 15 M ! Wanashindwa vipi?! Mnapeana matumaini bure tu humu!

Kila kona ya nchi hii kuanzia kwenye mashina huko ccm wapo tele! Wanashindwaje uchaguzi!. Chama cha kukitoa ccm madarakani bado hakipo! TUSIDANGANYANE!
Uongo mtupu, hakuna cha tawala kilicho tawala daima. Hakuna jamani!
 
Wakati mnatapika upuuzi mtandaoni ni vema kukumbuka kwamba:
1. mpaka dakika hii CCM ina wabunge wanaosubiri kuapishwa 28 na madiwani zaidi ya 800 waliopita bila kupingwa.
2. Ccm ndicho chama pekee kati ya 15 kinachomiliki vifaa vyote vya uchaguzi vikiwemo vituo vyote na mfumo wote wa upigaji kura, ulinzi wa kura na utangazaji wa washindi wa uchaguzi.
3. Katiba inayotumika na iliyotumika chaguzi zote zilizopita bado ni ile ile haijabadilika.


Thukutane uwanja wa jamuhuri Dodoma siku kuapishwa raisi JPM hapo tar 30 October kama sijakosea tarehe yenyewe.
Reality!!
Though in Zanzibar there's a different as I see.
 
Ni lini CCM imewahi kushinda mitandaoni?
 
Msingi gani, wa utekaji?!
CCM itashinda kwa kishindo! Mhe.JPM miaka mitano ya kwanza kaweka sawa msingi sasa anakuja na ustawi wa wananchi! Kwanza ilikuwa kukuza uwezo wa Serikali,miradi ya kimkakati ikiwemo miundombinu, umeme, TEHAMA, madini, viwanja vya ndege, reli Barabara, umeme wa uhakika , huduma za msingi za jamii ikiwemo afya, elimu, maji nk. Sasa ni kujenga juu ya hayo mfano Bima za Afya, mafao, madawa na vifaa tiba (ndani ya hospitali siyo kwenye mwembe), maslahi kwa watumishi nk
 
CCM itashinda kwa kishindo! Mhe.JPM miaka mitano ya kwanza kaweka sawa msingi sasa anakuja na ustawi wa wananchi! Kwanza ilikuwa kukuza uwezo wa Serikali,miradi ya kimkakati ikiwemo miundombinu, umeme, TEHAMA, madini, viwanja vya ndege, reli Barabara, umeme wa uhakika , huduma za msingi za jamii ikiwemo afya, elimu, maji nk. Sasa ni kujenga juu ya hayo mfano Bima za Afya, mafao, madawa na vifaa tiba (ndani ya hospitali siyo kwenye mwembe), maslahi kwa watumishi nk
Sahiv lazima CCM iumie.. jiandae kwa maumivu
 
Alud kushika jembe mvua zime kalibia
JamiiForums2129199769.jpg
 
CCM IACHE KUWAONA WATANZANIA KAMA WATOTO WADOGO WASITENGENEZE MAZINGIRA YATAYOSABABISHA MTU AJIULIZE MARA MBILI CCM HEKIMA NI KITU BORA SANA UCHAGUZI WETU WATANZANIA UMESHIKWA NA KANENO KADOGO SANA {haki} ITAKAPOTUMIKA EXTREME FORCE DHIDI YA HAKA KANENO TUTAIHARIBU NCHI YETU WENYEWE
 

Attachments

  • 1603654288788.png
    1603654288788.png
    337.8 KB · Views: 3
HAKIKA SEREKALI ISIPOKUWA MAKINI TUENDAPO KUTAKUWA KUBAYA SANA NI NANI ATAKUWA WA KUMLAUMU? NANI ATAWAJIBISHWA? YATAKAPO TOKEA MAUAJI TUNAISHI DUNIANI KWA KIPINDI KIFUPI MNO HUKO MBELE NDIPO NYUMBANI KWETU KWENYE NYUMBA YETU YA HAKI TUSIRUHUSU HAYA CHONDE CHONDE
 
Natamani nisikie kauli hii baada ya wa Tanzania kutoa tano tena kwa JPM mwanzoni mwa Novemba 2020!
Acha kusingizia wananchi,sema(Polisi+tiss+next+wakuu wa mikoa ,wilaya na wakurugenzi,idara & taasisi za serikali) wakitoa tano.Wananchi kwa madhila waliyopitia kwa miaka mitano ya Jiwe,hawawezi toa 5
 
Acha kusingizia wananchi,sema(Polisi+tiss+next+wakuu wa mikoa ,wilaya na wakurugenzi,idara & taasisi za serikali) wakitoa tano.Wananchi kwa madhila waliyopitia kwa miaka mitano ya Jiwe,hawawezi toa 5
CCM imewekeza kwa wapiga kura! Ndiyo wanaopata Elimu bure, huduma za maji, afya, umeme wa REA, hati za ardhi nk!
 
Back
Top Bottom