Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Wakati mnatapika upuuzi mtandaoni ni vema kukumbuka kwamba:
1. mpaka dakika hii CCM ina wabunge wanaosubiri kuapishwa 28 na madiwani zaidi ya 800 waliopita bila kupingwa.
2. Ccm ndicho chama pekee kati ya 15 kinachomiliki vifaa vyote vya uchaguzi vikiwemo vituo vyote na mfumo wote wa upigaji kura, ulinzi wa kura na utangazaji wa washindi wa uchaguzi.
3. Katiba inayotumika na iliyotumika chaguzi zote zilizopita bado ni ile ile haijabadilika.


Thukutane uwanja wa jamuhuri Dodoma siku kuapishwa raisi JPM hapo tar 30 October kama sijakosea tarehe yenyewe.
Usihofu Mkuu, tutarudia uchaguzi kwenye hayo majimbo yote yaliyopitisha CCM kwa njia za HARAMU.
 
Bado hajatokea wa kuiangusha CCM.
Labda mabeberu walete silaha wachukue madini Tanzania iwe kama Libya
Huyu jamaa alikua waziri katika serikali dhalim ya Libya Sasa ni mjasiria Mali kule misri
I can't wait to see Magufuli anauza mitumba kule Kenya
 

Attachments

  • IMG_20201025_085656.jpg
    IMG_20201025_085656.jpg
    129.9 KB · Views: 2
Sawa mkuu
Labda mabeberu walete silaha wachukue madini Tanzania iwe kama Libya
Huyu jamaa alikua waziri katika serikali dhalim ya Libya Sasa ni mjasiria Mali kule misri
I can't wait to see Magufuli anauza mitumba kule Kenya
 
Kwa sababu chama chako cha kijani kilikuwepo kabla ya 1995 na hakikuwa na upinzani wowote kufanya chochote ilichokuwa inakitaka.
Kumbe sasa mbona hamuishi kuitaja miaka 60?
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.
Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!

Mada zingine mtu unakimbilia ukidhani ni utafiti au uchambuzi kumbe mahaba binafsi ya mtu!!
 
Wapinzani baada ya kuanzishwa kwenu mmepata maendeleo gani,ofisi zenu tu vichekesho
Kwa sababu chama chako cha kijani kilikuwepo kabla ya 1995 na hakikuwa na upinzani wowote kufanya chochote ilichokuwa inakitaka.
 
Mkuu unakurupuka sana mmeshasema tumeccm na polisiccm. Sasa kama tume ni ya ccm hao wasingekua wabunge hata kabla ya magufuli
Kwa taarifa yako hao wote walitangazwa kwa watu kuhatarisha usalama wao.
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!
Oct 29 ndo utajua hujui na hz pumba ulizondika hapa mkuu
 
Unaposema CCM itashindwa uwe na facts ! Kwa vigezo vipi ishindwe ?ccm ina wanachama wapiga kura takriban 15 M ! Wanashindwa vipi?! Mnapeana matumaini bure tu humu!

Kila kona ya nchi hii kuanzia kwenye mashina huko ccm wapo tele! Wanashindwaje uchaguzi!. Chama cha kukitoa ccm madarakani bado hakipo! TUSIDANGANYANE!
Ushawahi kuwaona haonwanàchama au unadanganywa ana akila Pole pole tu! Tumaia akili
 
Back
Top Bottom