Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!
Ndoto ni kitu kizuri, keep on dreaming
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!
Shetani ccm hatimaye kung'oka rasmi 28/10/2020.
 
ElHl7xgWkAAMO52.jpeg
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!

Ccm ikishinda na hakuna konsekwensez utajisikia kama mgonjwa for the next 5 years.

Pole koz ccm inashinda anyway
 
Inasemekana leo ilikuwa Jumamosi ya mwisho chini ya utawala wa CCM. Ni siku muhimu sana kwa historia ya taifa letu.

Vyovyote itakavyokuwa, 28/10/2020 itakuwa siku itakayoibadilisha Tanzania forever!
Umenifurahisha sana ndugu, tunaomba ikawe hivyo. CCM kwa sasa imekosa mvuto kwa wananchi walio wengi kabisa. Wachache wanaopiga kelele ni wale wachumia tumbo wanaonufaika kujaza matumbo yao tu.
 
Bila figisu CCM hii hawatoboi.ccm ya kina Mkapa Na JK ndio walikuwa Wana uwezo wa kushinda upinzani kihalali.Kuna madudu kibao yanaendelea ili kuibeba CCM.

Cha kushangaza katika hizo chaguzi mlilia kuibiwa kura pia..... kama mtakavyojiliza kuanzia alhamisi
 
Ccm imezoea kushinda kwa hila. Na mwaka huu inaonekana Kuna kundi within the system limejipanga kweli kushinda na kupangua izo hila zote.
Kwa kura za kawaida, hakuna namna Ccm watashinda mwaka huu, kwa hila watu wanejipanga kuliko kawaida.

Kwaheri Ccm, kwaheri ya kuonana

Karibu Ikulu Tundu Antiphas Lissu, karibu Raisi mpya wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania

Ikulu ya Singida
 
Kwa huu upinzani dhaifu kutoka ubeligiji, Ccm itaendelea kushinda kwa miaka miamoja ijayo
 
Unaposema CCM itashindwa uwe na facts ! Kwa vigezo vipi ishindwe ?ccm ina wanachama wapiga kura takriban 15 M ! Wanashindwa vipi?! Mnapeana matumaini bure tu humu!

Kila kona ya nchi hii kuanzia kwenye mashina huko ccm wapo tele! Wanashindwaje uchaguzi!. Chama cha kukitoa ccm madarakani bado hakipo! TUSIDANGANYANE!
Hao wabachama 15m unaowataja, kumbuka wamo wa bukoba, yaani walionyimwa fedha za maafa kutoka kwa "mabeberu" wamo wa mtwara,wale wslioporwa korisho, wamo wafanyakazi waliokosa nyongeza ya mishahara, wamo waliobomolewa nyumba, wamo waliotumbuliwa, wamo waliopotezewa ndugu zao, wamo wakina mama "WEUSI" ambaa magu ameshawabagua, wamo wahanga "kibao" na wakati huo hujui idadi ya wanachama wa chadema, wakati huo hujui waliobaki na ccm ya kinafiki kwa kuchoka visa vya magu.

Wewe jifariji tu!
Three days only..................[emoji352]
 
Huu ni uongo mtupu Nchi nyingi za kiafrika COVID19 haikuwa na athari kubwa kama Western countries na huko huyo anayejiita MWENDAWAZIMU hakutia mguu kwenda kuibamiza.

Tulipokuwa tunamponda kwa strategy zake tulimuita hana akili....

Ameshinda hana akili....

Mnasahau corona ilipokuwa mtaji wa kisiasa
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!
Wakati mwingine huwa mnawaza kwa kutumia MASABURI ama?
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezu kuwaza huo utopolo na ndio maana hata huyo TUNDU ana tiketi ya kurudi UBELIGIJI kwa mabwana zake maana anajua anaangukia pua asubuhi tu.

Chadema ikifikisha wabunge kumi bungeni safari hii ikatambike. ACT Wazalendo ndio ndio chama kikuu cha upinzani 2020 na wabunge wake wengi ni kutokea Zanzibar
 
Lisu lisu
 
Uchaguzi wa vyama vingi ulianza 1995
Sasa kama tume ni ya ccm wapinzani si mgomee chaguzi zote. Hamueleweki mara nyerere aliwavusha vizuri,mara mkapa jiniasi etc ila mnahesabu miaka yote 60 daah
 
Inasemekana leo ilikuwa Jumamosi ya mwisho chini ya utawala wa CCM. Ni siku muhimu sana kwa historia ya taifa letu.

Vyovyote itakavyokuwa, 28/10/2020 itakuwa siku itakayoibadilisha Tanzania forever!
Wakati mnatapika upuuzi mtandaoni ni vema kukumbuka kwamba:
1. mpaka dakika hii CCM ina wabunge wanaosubiri kuapishwa 28 na madiwani zaidi ya 800 waliopita bila kupingwa.
2. Ccm ndicho chama pekee kati ya 15 kinachomiliki vifaa vyote vya uchaguzi vikiwemo vituo vyote na mfumo wote wa upigaji kura, ulinzi wa kura na utangazaji wa washindi wa uchaguzi.
3. Katiba inayotumika na iliyotumika chaguzi zote zilizopita bado ni ile ile haijabadilika.


Thukutane uwanja wa jamuhuri Dodoma siku kuapishwa raisi JPM hapo tar 30 October kama sijakosea tarehe yenyewe.
 
Back
Top Bottom