Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!
Yaani kati ya kipindi Ccm imepoteza mvuto ni kipindi hiki cha Bashiru na Polepole na kijana anaeitwa sijui Heri James
Jpm amepata shida sana ya kuinadi Ccm kwa sababu ya hawa watu.
Walimjaza Jpm ujinga kwamba Ccm ina pendwa. Halafu wao kama watendaji badala ya kuwa wanyenyekevu kwa wananchi waka na kiburi na dharau kwa wananchi.
Ona Jpm anavyo pata shida kuinadi Ccm.. Imembidi awanunue wasanii wote kujaza uwanja, imembidi awatumie wanafunzi huhadaa ulimwengu kwamba nae ana wafuasi.
Tumeshuhudia hadi mawaziri wanaingia madarasani kuwafundisha wapiga kura wa kuchonga jinsi ya kumpigia Magu kura.
Wanasahau kwamba hao watoto pia kuna familia za upinzani ambazo vijana wao wanajua ukombozi uko Chadema.
Naamini baada ya huyo Wziri kutoka darasani walimzomea maana hakuna kijana atakae ipigia kura Ccm.. Jpm unatakiwa ukiingia ofisini iwe Magogoni au Lumumba ondoka na vichwa vya Bashiru, Polepole na Heri James kuiokoa Ccm.. Usisahau pia biongozi wa tume na Igp.. Hawa wamekunyima kura kwa unyanyasaji wa raia.
 
Unaposema CCM itashindwa uwe na facts ! Kwa vigezo vipi ishindwe ?ccm ina wanachama wapiga kura takriban 15 M ! Wanashindwa vipi?! Mnapeana matumaini bure tu humu!

Kila kona ya nchi hii kuanzia kwenye mashina huko ccm wapo tele! Wanashindwaje uchaguzi!. Chama cha kukitoa ccm madarakani bado hakipo! TUSIDANGANYANE!
Jibu laki ni hili, katika kipindi cha miaka 5:
1) Wakulima wana hali mbaya ya kimaisha
2) Wavuvi wana hali mbaya ya kimaisha
3) Wafanyabiashara wana hali mbaya ya kimaisha
4) Zaidi ya wafanyakazi elfu 10 wa vyeti feki waliotolewa kazini na familia zao
5) Kwa miaka mitano wafanyakazi hawajawahi kupata nyongeza ya mishahara
6) Kwa miaka mitano hakuna ajira mpya kwa waliomaliza masom kutoka ktk vyuo ngazi mbalimbali
7) Makato ya ziada na yasiyozingatia sheria kwa waliokopa Bodi ya mikopo ya elimu ya juu
8) Wafugaji wana hali mbaya ya kimaisha

Na mengine na kero nyingi yinginezo, hivyo usijidanganye. Watu wengi hawana furaha hivyo lazima wapige kura za hasira
 
Hao wabachama 15m unaowataja, kumbuka wamo wa bukoba, yaani walionyimwa fedha za maafa kutoka kwa "mabeberu" wamo wa mtwara,wale wslioporwa korisho, wamo wafanyakazi waliokosa nyongeza ya mishahara, wamo waliobomolewa nyumba, wamo waliotumbuliwa, wamo waliopotezewa ndugu zao, wamo wakina mama "WEUSI" ambaa magu ameshawabagua, wamo wahanga "kibao" na wakati huo hujui idadi ya wanachama wa chadema, wakati huo hujui waliobaki na ccm ya kinafiki kwa kuchoka visa vya magu.

Wewe jifariji tu!
Three days only..................[emoji352]
Safi, kuna kura nyingi sana za HASIRA uchaguzi huu. Leo ni Jpili ya mwisho kwa chama cha kitapeli, uongo, hila na wachumia tumbo.
 
Polepole na Bashiru wote wamepotea katika ulingo wa siasa wamebaki kwenye mipango ya uovu wa kuiba kura.

Inashangaza sana katibu na mwenezi wake kutoonekana kwenye media hasa dk hizi za lala salama.

Jamaa wamekiangusha chama,hakika kikombe watakachopitia baada ya uchaguzi watajutia. Fedha zote wanazokula kipindi hiki watazitapika.

Wamemeza ndoano,ngoja mwenyekiti aivute.
 
TATHMINI YAKINAJIMU 2+8+1+2+2 SAWA NA 15 1+5 SAWA NA 6 SITA SI ALAMA NZURI KINAJIMU KWA SABABU ISRAIL ANAKALIA NAMBA HII jinsi ya kumdhibiti huyu ni kuwepo usawa atakosa nguvu kabisa na pahala pa kuanzia hatari yake huwanyima watu woga dhidi ya kifo na kuwapa ujasiri almuradi yake yatimie maafa
Embu elezea vizur mkuu, una point ya kinajimu nataka niidake hapo
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!


Na wazazi wako bado wanajisifia wana mtoto

Tutaiibua hii thread na usije hamisha magoli
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka.

Ni kwa viashiria kama hivo ambavyo vinaniambia kwamba CCM haitoboi huu mwaka.

Mbinu pekee ni wizi wa kura na hujuma, ambavyo naviona pia vikienda kuangukia pua kwasababu CCM ya sasa ina maadui wengi sana wa ndani. Kuna wana CCM wengi sana wameumizwa na huu mfumo kandamizi na wote hao japo kwa sasa hawasemi wazi, wataenda kupiga kura ya haki.

Nimefurahi pia mbinyo wa jumuiya ya kimataifa kwa utawala wa Magufuli, hii inakuambia kwamba, ikiwa Magufuli atajaribu kutumia ubabe, ni wazi shahiri lazima kuwe na consequences.

Zamani CCM walifanikiwa kuibia watanzania kura, lakini tuliwasamehe kwasababu kidogo walikuwa ni waungwana. Ila kwa sasa, hakutakuwa na msamaha wa wezi.

CCM MUST FALL!
Ukiona Kenge anatoka dam ujue anakalibia kufa. Naona CDM mnavyo haha kwenye mitandao kupeana moto kama vile mgonjwa aliekuwa mahututi mnajifariji
 
Hata hizo haramu zitakuwa na madhara kwa Ccm
Kweli...Hili la wapambe Wao wakiwemo viongozi wa dini kuhubiri amani fake(manake amani ya kweli ni Ile inayotenda haki),inaonyesha jinsi Gani njia haramu zina madhara.Lakini hakuna namna manake hiyo ndio turufu yao ya mwisho kama wanataka kusalia madarakani!
 
Back
Top Bottom